S.Aleykum , Bwana asifiwe.
Tafadhali mada hapo juu yahusika.
Niko America mwaka wa pili huu nimejifunza mengi kwa kweli-
a)Bila kazi hakuna maisha, kazi ndo itakuwezesha kumudu gharama za food, cloth, shelter.
B)Bila Saving hutoboi hata wao wenyewe wanakwambia saving ni kitu cha...