Kipi bora au kipi gharama kubwa?Hivi kati ya kujenga nyumba au kununua kipi ni gharama kubwa?
Kuuziwa unaweza kuuziwa mbuzi kwenye gunia usipokuwa makini kujua imejengwaje, material gani yametumika. Sijui kama umenielewaHivi kati ya kujenga nyumba au kununua kipi ni gharama kubwa?
Aisee we jamaa wa kulog off kumbe bado uko mzimamzima.Ukinunua nyumba unanunua na majini
Nalog off Z
Ni muda hujaonekana jukwaani.Ukinunua nyumba unanunua na majini
Nalog off Z