Nyumba inauzwa kitunda kwa mpemba dsm nyumba ina vyumba 3 chumba kimoja masta sebule jiko sehem ya kulia chakula choo public inauzwa ml 67 nicheki whatsap 0743 257 669
Duniani kote nyumba ni namba moja kwa mwanadamu, matajiri wote unaowajua duniani kila kukicha wanajenga na kununua nyumba.
Hutakaa ujue nguvu ya nyumba mpaka siku utakapokosa pa kulaza familia yako au pale utakapotembelea mitaa ya kariakoo usiku uone watu wanavyolala kwenye mabox na kwenye mitaro.
Gorofa la kumalizia
linauzwa ni nzur sana””
Lina vyumba vitano
master
Ukumbwa wa kiwanja
ni square mitter 1200”
Price million 500”
maongez yapooo
Kuna hat miliki
Locationbahar beach
🇹🇿call/whatsapp +255758844717
Prime Property for sale at Haile Selassie, Masaki
-There is a house inside the plot
The plot is suitable for Apartment, Residential or office block ect
-Plot size Sqm 4,000+
-Document; Title Deed (Ownership)
Price $ 3.7 million negotiable
Eneo lenye Nyumba 3 linauzwa.
Mahali: Tegeta Namanga, Mtaa wa Kibera.
Eneo liko mita chache kutoka barabara ya Old Bagamoyo.
Ukubwa wa Eneo: SQM 1204.
Bei: Tzs Milioni 300. Mazungumzo yanaruhusiwa.
Nyaraka: Hatimiliki.
Gharama ya kwenda kuona Eneo itahusika.
Mawasiliano: 0784 829565 au 0767...
Natumai Mu wazima wa afya..
Tunafanya Skimming bora na ya viwango vya juu kwa gharama nafuu..
Kazi ya Rangi ni kupendezesha, sasa unapokosea Skimming Jengo haliwezi kupendeza kamwe hata urudie Rangi Mara5..
Skimming haitakiwi kubaki na dosari ya Aina yetote..
(Achana na Skimming unamuuliza...
Hii ni moja ya picha (MJ look-alike) inayo trend sana hivi sasa mitandaon, inasemekana jamaa ni mtu kutokea Mexico, amefanana kinoma noma na The late Michael Jackson.
Watu wanadai hakuna video Clip yoyote kuhusiana na huyu jamaa na kwa umri wake na ukubwa wa teknolojia, basi tungefahamu muda...
Wakuu sisi wakazi wa goba kuna ligi ya nani ana nyumba kali huku vijana ni kupambana nani awe juu sasa kuna dada amejenga ghorofa wanaita losheni sasa akalewa akatamba kuwa wanaume mtaa zima hakuna wa kumuweza hakuna wanaume wote hawana nyumba sasa mtaa umechangamka kil mtu anajipanga ajenge ka...
Sisi ambao Tunatafuta Ridhiki kupitia Biashara, Vidogo Vidogo.
Mara Nyingi kupandishiwa Kodi mara kwa Mara, Ukilipia Kodi ya mwaka, au miezi 6 Tegemea mda wowote kukutana Bonge la waraka wa kupandishiwa Kodi.
Wengine wanakupandishia Kodi Ili ushindwe uhame akiona unakomaa zaidi anazidi...
Ramani za nyumba zilikuwa na chumba maalum cha computer
Chumba cha computer kilikuwa na meza kubwa, screen yenye chogo, speaker mbili, mouse yenye mpira ndani, cpu yenye kitufe kikubwa cha kuwashia unachoweza tumia dole gumba la mguu.
Winga wa Manchester United, Alejandro Garnacho yupo kwenye mpango wa kuiuza nyumba yake iliyopo Jijini Manchester uamuzi ambao umeanza kutafsiriwa na mashabiki wa timu yake kuwa inawezekana ni sehemu ya mpango wa kujiandaa kuondoka.
Raia huyo wa Argentina aliinunua nyumba hiyo kwa Pauni Milioni...
Nyumba inauzwa Goba, Dar es Salaam.
Mahali: Lilian Kibo kwa Mwakifulefule.
Sifa za Nyumba:
*Nyumba haijakamilika, imefikia kwenye hatua ya finishing.
*Iko mita chache kutoka barabara ya Goba.
*Iko upande wa kushoto ukitokea mbezi beach, na upande wa kulia ukitokea mbezi stendi ya Magufuli.
*Ina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.