nyumba

  1. Hharyson

    JamiiForums Tanzania Unahitaji nyumba nzurii? Basi hapa umefika we do best design for your project call us 0624004650

    CHECK OUT THIS 4BEDROOMS DESIGNS PLOT SIZE 800SQM TUNAPATIKANA SINZA DAR ES SALAAM
  2. Madame B

    JamiiForums Tanzania Nyumba inauzwa Mil 20 chap!

    Rejea hapa https://www.jamiiforums.com/threads/karibu-umalizie-nyumba-kwa-mkataba-kisha-uhamie-nahama-kikazi.2306587/ Nimeamua kuiuza. Mwenye Mil 20 chap aje nimpatie. Ni yangu mwenyewe. Nyumba ina vyumba viwili vyote master, chumba kimoja cha master ni kikubwa (cha baba na mama), Ina public...
  3. Madame B

    JamiiForums Tanzania Nyumba inauzwa Mil. 20 chap!

    Rejea hapa https://www.jamiiforums.com/threads/karibu-umalizie-nyumba-kwa-mkataba-kisha-uhamie-nahama-kikazi.2306587/ Nimeamua kuiuza. Mwenye Mil 20 chap aje nimpatie. Ni yangu mwenyewe. Cc: Half american na wengineo mliokuwa mnauliza. Nyumba ina vyumba viwili vyote master, chumba kimoja cha...
  4. Kasri Homes Tz

    JamiiForums Tanzania House4Sale Kibamba: Nyumba ya Vyumba 3 ya Ghorofa 1 Inauzwa - Dar

    • Direction: • Features: • Facilities: • Plot Area: • Document: • Ideal: • Price: • Site visiting: . #InRealEstateWeConnect ☎💬: Mitandaoni:
  5. E

    JamiiForums Tanzania Polisi wazingira nyumba ya Lissu, Muliro aeleza sababu 'Sisi tumeweka ulinzi wa kawaida'

    Wakati kesi za Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu zikiendelea leo katika Mahakama ya Haki Mkazi Kisutu Dar es Salaam, askari wa Jeshi la Polisi wakiwa kwenye magari manne wamezingira nyumbani kwake kinachoelezwa kuwa wanataka kufanya upekuzi. Lissu aliyekamatwa Aprili 12, 2025 wilayani Mbinga...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Maombi ya uchunguzi kuhusu uchangishaji fedha kinyume na taratibu kwa ajili ya ukarabati wa nyumba ya mkuu wa wilaya ya Maswa

    Kwa Waziri,Mh Mohamed Mchengerwa,Waziri wa TAMISEMI. Sisi wafanyabiashara wa mji wa Maswa kunapenda kuwasilisha malalamiko yetu kuhusu utaratibu unaoendelea wa kuchangishwa fedha na Katibu Tawala wa wilaya ya Maswa,Athuman Kalaghe kwa ajili ya ukarabati wa nyumba ya Mkuu wa Wilaya. Taarifa...
  7. Darren2019

    JamiiForums Tanzania Msaada wa nyumba ya kupanga maeneo ya Uyole

    Msaada wakuu, kuna mtanzania anahitaji nyumba ya kupanga maeneo ya Uyole. Tupe sifa ya nyumba na bei tafadhali tutakufuata inbox🙏🙏
  8. Hyrax

    JamiiForums Tanzania Kwanini nyumba nyingi za Dar zinauzwa na Benki?

    Nimefanya utafiti kupitia ukurasa wa Dsm Brokers (Instagram) mpaka sasa nimegundua nyumba nyingi za dar zinauzwa na benki kwasababu ya madeni sasa sijui tatizo ni nini ikiwa mkoa wa dar unasifika kuwa kitovu kikuu cha fursa za kifedha na biashara, Katika utafiti wangu kupitia ukurasa wa hao...
  9. Bosspraise

    JamiiForums Tanzania Nyumba nzuri ya ghorofa kisasa goba half lanod inauzwa

    Modern House for Sale – Goba Half London An exceptional opportunity to own a contemporary underground single-storey home: 5 Self-contained Bedrooms, including a Grand Master Suite 2 Elegant Living Rooms Dedicated Study Room Spacious Dining Area Fully Equipped Modern Kitchen Servant's...
  10. Bosspraise

    JamiiForums Tanzania Nyumba ya kisasa nzuri ya ghorofa underground half landon inauzwa

    Modern House for Sale – Goba Half London An exceptional opportunity to own a contemporary underground single-storey home: 5 Self-contained Bedrooms, including a Grand Master Suite 2 Elegant Living Rooms Dedicated Study Room Spacious Dining Area Fully Equipped Modern Kitchen Servant's...
  11. winnerian

    JamiiForums Tanzania Kwa vigogo wote wa serikali na wananchi kwa ujumla

    Kumbuka, umekuwa ukijulishwa vitu vingi; umekuwa ukipewa taarifa nyingi kabla ya wewe kutenda au kutendewa chochote. Umejiaminisha kuwa hakuna kitu chochote kibaya au kizuri kitakachokupata bila wewe kuwa na taarifa ya mapema. Lakini, wakati wako wa kuaga dunia ukifika—muda wa kufariki...
  12. A

    JamiiForums Tanzania Nyumba inauzwa, ipo Kiluvya Madukani. Bei milioni 110, maongezi yapo

    Nyumba inauzwa. Ipo Kiluvya Madukani. Eneo lake 60x20. Nyumba ina vyumba 2 vya kulala na master 1. Ina sebule kubwa. Jiko, stoo na choo cha jumuiya. Parking ya kutosha. Kwa nyuma kuna nyumba ndogo, ina vyumba viwili na choo. Mambo yote ni ndani ya fensi ya matofali. Bei: Tsh.110, mazungumzo...
  13. A

    JamiiForums Tanzania Nyumba inauzwa, ipo Kiluvya Madukani makabe. Bei milioni 110, maongezi yapo

    Nyumba inauzwa. Ipo Kiluvya Madukani. Eneo lake 60x20. Nyumba ina vyumba 2 vya kulala na master 1. Ina sebule kubwa. Jiko, stoo na choo cha jumuiya. Parking ya kutosha. Kwa nyuma kuna nyumba ndogo, ina vyumba viwili na choo. Mambo yote ni ndani ya fensi ya matofali. Bei: Tsh.110, mazungumzo...
  14. radhiya

    JamiiForums Tanzania Nyumba inauzwa Bahari Beach

    Nyumba Inauzwa Bahari beach, Dar es Salaam. Mahali: Mtaa wa Simba/Mugeta. Sifa za Nyumba: *Iko Mita 100 kutoka barabara kubwa ya ununio. *Ina vyumba vitano vya kulala, vyote ni master. *Huduma zote za kijamii zipo. Ukubwa wa Eneo: SQM 1833. Nyaraka: Ina Hatimiliki. Bei: Tzs Milioni 900...
  15. Y

    JamiiForums Tanzania Nyumba inauzwa milioni mia moja sabini [170m]

    Habari wadau ,nyumba inauzwa iko na fensi 170milion Iko mtaa wa kibela,ununio Wilaya ya kinondoni Dar es salaam Contact 0653 652755 Ninavideo nashindwa ku upload n ndefu anayetaka anichek mtaa mzuri barabara imenyoka iko na fensi na geti
  16. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Ramani ya nyumba za kupangisha

    Ramani ya kupangisha Wapangaji wawili kila mpangaji anavitu vifuatavyo Chumba 1 self Chumba 1 havina choo Seble Jiko Choo cha wageni Nyumba nzima kwa wapangaji wote Inachukua mita 8 kwa mita 12 (jengo zima) Vyumba vyake ukubwa ni standards Hata kama unakiwanja kidogo unawezakuweka uwekezaji...
  17. Dalali wa kimataifa

    JamiiForums Tanzania Ghorofa linauzwa,kariakoo daressalaam tanzania,bei ni billion 2.5,maongezi yapo

    GHOROFA LINA UZWA LOCATION:KALIAKOO MTAA WA KIUNGANI STREET Kuna vyumba 10 floor no 1 Floor no 2 Ina vyumba 10 Ground floor Ina flem 10 Mbele zipo flem 3 nyuma zipo flem 7 Na kuna Godown 1 Eneo lite lina SQm 290 BEI NI Bilion 2.5 tish maongezi kidogo sana Mtaa mzur sana kwa biashara yeyote ile...
  18. radhiya

    JamiiForums Tanzania Nyumba inauzwa Goba

    Nyumba inauzwa Goba, Dar es Salaam. Mahali: Lilian Kibo kwa Mwakifulefule. Sifa za Nyumba: *Nyumba haijakamilika, imefikia kwenye hatua ya finishing. *Iko mita chache kutoka barabara ya Goba. *Iko upande wa kushoto ukitokea mbezi beach, na upande wa kulia ukitokea mbezi stendi ya Magufuli. *Ina...
  19. radhiya

    JamiiForums Tanzania Nyumba inauzwa Tabata Liwiti

    Nyumba inauzwa Tabata. Mahali: Misewe B, Liwiti. Sifa za nyumba: •Ina vyumba vya kulala 3 na master 1. •Ina sehemu ya chakula(dining), sebule, jiko na stoo. •Ina korido kubwa ya ndani na baraza ya nje kubwa. •Ina umeme, maji pamoja na simtank ya 2000ltr. •Ina sehemu ndogo ya nje ndani ya geti...
  20. stabilityman

    JamiiForums Tanzania House4Sale Nauza nyumba Madale Flamingo

    NYUMBA KALI YA KISASA INAUZWA MADALE FLAMINGO MITA 200 KUTOKA BARABARA KUU (MADALE ROAD) BEI NI TSH MILLION 150 VYUMBA 3 VYOTE MASTER JIKO LA KISASA DINNING PUBLIC TOILET STORE SEBULE UMEME MAJI UKUBWA WA ENEO NI SQM 800 KARIBUNI MABOSS PIGA SIMU 0743 257 669 WhatsApp wa.me/255743257669
Back
Top Bottom