nmb

NMB Bank Nepal is a commercial bank in Nepal with headquarters in Kathmandu. The bank is licensed by central bank of Nepal, the Nepal Rastra Bank and has 163 branches across the nation providing retail and commercial banking services.
Recently, it acquired Om Development Bank.
The bank's shares are publicly traded in the Nepal Stock Exchange. The Bank has a joint venture agreement with Netherlands Development Finance Company (FMO) a Dutch development bank which holds 17% of the bank's shares and is the largest shareholder of the Bank.

View More On Wikipedia.org
  1. K

    JamiiForums Tanzania Faida kubwa waliyoipata CRDB na NMB sasa sehemu kubwa iende kwenye gawio la wanahisa

    Nimebahatika kusoma ripoti ya mabenki ya CRDB na NMB kuwa mwaka huu wamepata faida ya zaidi ya 200bn/- kila mmoja. Itakuwa ni vema sana kama sehemu ya faida hiyo ielekezwe kwenye gawio la wana hisa. Ninaishauri CRDB itoe gawio linaloendana na faida na iige NMB inayotoa gawio inayoridhisha.
  2. STUKA M1

    JamiiForums Tanzania Huduma ya NMB Bank Mkononi ipo active?

    Eti wadau, hivi hizi habari wanazosema NMB Bank Mkononi zipo active kweli? Kana kwamba kila muamala utakaoufanya kwa account yako ya NMB utapokea ujumbe kwa simu. Maana naona sisikii meseji yoyote ya kamshahara kangu mwezi huu ikiingia kwa simu yangu hadi leo hii 24 January!
  3. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Relationship Manager, Chinese Desk at NMB Bank plc

    Relationship Manager, Chinese Desk Job Title: Relationship Manager, Chinese Desk Reporting Line: Senior Manager, Corporate Banking Location: Head Office | Unit: Corporate Banking Job Purpose To develop and maintain relationships with a portfolio of Chinese clients within Corporate Banking while...
  4. Naantombe Mushi

    JamiiForums Tanzania Shareholder mkubwa wa NMB ameondoka – Rabobank Nederland

    Ni kwenye trading session ya jana 28.12.2020 Dar es salaam stock exchange, sijajua kama NMB wame buy back au kuna local investor amenunua, au zimebadilisha ownership kwa foreign investor mwenzao (ntazidi kufuatilia) Ikiwa kama NMB wame buy back au local investor amenunua, ina maana inakuwa moja...
  5. MGOGOHALISI

    JamiiForums Tanzania NMB tawi la UDOM mjirekebishe

    Yaaani watu tumejaa foleni wafanyakazi wanapiga stori huku wamemweka mtu mmoja dirishani. Hata kama mmetoka sikukuu mjue muda wa kazi huu. Naandika uzi huu nikiwa kwa foleni inakera sana.
  6. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Chief Finance Officer at NMB Bank Plc

    Chief Finance Officer Job Title: Chief Finance Officer Reporting Line: Chief Executive Officer Location: NMB Head Office Job Purpose The job holder is responsible for all the Bank’s fiscal operating results utilizing generally accepted accounting principles. The job holder will also be...
  7. Red Giant

    JamiiForums Tanzania CRDB na NMB zimelala sana ukifananisha na Equity Bank

    1. Kijitanua: kwa East Africa Equity nafikiri ni bank inayoongoza kwa kujitanua. ipo nchi zote za EAC na imeingia kwa nguvu kubwa DRC na inanyemelea kuingia Ethiopia. Hizi zetu zipozipo tu. Nilisikia CRDB wana tawi Burundi, bado lipo. 2. Ufasta wa huduma: Equity ukiwa na namba au kitambulisho...
  8. Petro E. Mselewa

    JamiiForums Tanzania Kuuliza si ujinga: Ni sawa/sahihi Kamishna Mkuu wa TRA kuwa Mwenyekiti wa Bodi NMB?

    Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Dr. Edwin Mhede ndiye pia Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya NMB. TRA ndiye mkusanya kodi na mapato wa nchi hii wakati NMB ni mmoja wa walipakodi. Bodi ya Wakurugenzi ndiyo itoayo maamuzi makubwa ya kikampuni ikiwemo kuteua, kukopa...
  9. Mlalamikaji daily

    JamiiForums Tanzania Naombeni msaada wa haraka, NMB wamenikalia kooni

    Wandugu poleni na majukumu, mwaka huu mwezi wa 2 nilienda kuwapelekea deni la loarn board walinunue na kwa kuwa nilikua na mkopo nao hao NMB wakanipigia mahesabu ya jumla kuwa pamoja na kununua hilo deni na kutoa deni lao watanipa jumla ya Tsh 5,660,000 nikasema poa tu kwakuwa nilikua na...
  10. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Head of Technology Infrastructure at NMB Bank Plc

    Head; Technology Infrastructure Job Purpose Driving strategy and execution of operations of the bank’s technology infrastructure and ensuring operational availability, performance, scalability, recoverability, security and continuous improvement of these infrastructure. Main Responsibilities...
  11. beth

    JamiiForums Tanzania Watatu waburuzwa Mahakamani kwa utakatishaji wa Bilioni 2 za NMB

    Watu watatu wamefi kishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka matatu, likiwemo la wizi na utakatishaji wa zaidi ya Sh bilioni mbili mali ya Benki ya NMB. Washitakiwa hao ni Joseph Nicas (63) Mlinzi na Mkazi wa Kimara, Paston Pangaja (37) Mkazi wa...
  12. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Senior Manager, Compliance at NMB Bank Plc

    Senior Manager, Compliance Job Purpose Serving as the Data Protection Officer of the bank (DPO), is expected to support the design, development and implementation of strategies, standards and procedures to support the Data Governance program while facilitating adherence to NMB Enterprise Data...
  13. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Data Risk Analyst at NMB Bank Plc

    Data Risk Analyst Job Purpose The Analyst is responsible for executing investigations to identify relationships that pose money laundering, terrorist financing, fraud, and sanctions risks. The Analyst/Investigator compiles evidence and documentation in compliance with AML procedures and...
  14. Mhandisi wa Umeme

    JamiiForums Tanzania Nimeshindwa ku-upload CV yangu kwenye website ya NMB

    Habari wandugu. kwa yeyote anayeweza kunisaidia namna ya ku-upload CV kwenye website ya Bank ya NMB. Mimi kila ninapo upload inanikatalia. Please help!
  15. B

    JamiiForums Tanzania NMB acheni mambo ya kizamani, mnapoteza wateja wengi zama hizi za ushindani

    Kama kuna benki yenye kiwango cha chini kwenye ubunifu basi NMB ni moja wapo! Wakati benki zingine zikiwa zimeshaachana na lile sharti la kung'ang'ania mfanyakazi anayetaka mkopo lazima mshahara wake upitie benki yao, NMB wao ndo kwanza wanazidi kusisitiza hilo sharti kama kigezo namba moja...
  16. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Dar: Polisi wakamata watu 32 kwa wizi wa Bil 2.082, ndani ya benki ya NMB

    JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAMBO YA NDANI JESHI LA POLISI TANZANIA TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUKAMATWA KWA WATU 32 KWA TUHUMA ZA MABILIONI YA BENKI YA NMB JIJINI DSM. Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam linawashikilia watu 32 kwa tuhuma za wizi wa fedha kiasi cha...
  17. M

    JamiiForums Tanzania NMB yampongeza Saniniu kwa lugha ya kimasai

    Hakika ule msemo wa pesa sabuni ya roho umejidhihirisha baada ya Bilionea Laizer kupongezwa kimasai na Benki ya NMB wakionyesha heshima kubwa kwake. Pata pesa benki zikufate popote ulipo tena kwa kutumia lugha yako.
  18. K

    JamiiForums Tanzania Tawi la NMB lililopo Makao Makuu ya TRA Mwanza wana huduma mbovu sana

    Leo nilitakiwa nipate huduma katika Tawi hilo kwa kulipia mapato ya TRA lakini nilipofika pale sikuamini macho yangu. Tawi lile lina madirisha matano ya kutolea huduma lakini ni dirisha moja tu ndilo lililokuwa na mtumishi wao anayetoa huduma. Wateja tulikuwa zaidi ya 200 na wengi wa wateja...
  19. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Mjue tapeli aliyewatapeli graduates wengi kwa kuwahadaa nafasi za kazi NMB

    Jamaa Facebook anajiita Venance Mbike akitaka kukutapeli anakuanzia mbali kidogo kwenye kipengele cha kukuomba urafiki. Kisha anajifanya mlisoma wote aidha chuo kikuu au sekondari lakini yeye alikutangulia kidogo but anakufahamu sana. Kama unapenda siasa atakupeleka huko, kama u mpenzi wa mpira...
  20. Wacha1

    JamiiForums Tanzania NMB Watatoa Dividend ya 48 Billion mwaka huu, kwa Serikali na shareholders

    NMB declares 48bn/- dividend to govt, shareholders THE government and other NMB Plc shareholders will pocket 48bn/- dividend payment this year which is equivalent to 45 per cent increase compared to 33bn/- paid in the previous year. Last year, the bank handed over 10.48bn/- dividend to the...
Back
Top Bottom