Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,401
- 5,526
Eti wadau, hivi hizi habari wanazosema NMB Bank Mkononi zipo active kweli?
Kana kwamba kila muamala utakaoufanya kwa account yako ya NMB utapokea ujumbe kwa simu. Maana naona sisikii meseji yoyote ya kamshahara kangu mwezi huu ikiingia kwa simu yangu hadi leo hii 24 January!
Kana kwamba kila muamala utakaoufanya kwa account yako ya NMB utapokea ujumbe kwa simu. Maana naona sisikii meseji yoyote ya kamshahara kangu mwezi huu ikiingia kwa simu yangu hadi leo hii 24 January!