Wakuu naamini mpo salama,
Kwa anayehitaji kununua usafiri wake, nipo na Nissan Teana nzuri na nzima, nauza. Gari limesajiliwa Tanzania kwa usajili wa DMK
DETAILS
Make
Nissan
Model
Teana
Manufacturing Year
2007
Engine Capacity
2340 cc
Fuel Type
Petrol
Transmission
Automatic
Color...
Habari
Nauza gari Nissan extrail for repair or spare.
Ilipata ajali ikagongwa mbele. Inahitaji nose cut complete. 2004
Tuwasiliane kwa namba 0713750760 bei 3,800,000 gari iko Dar Goba. Engine haina shida kabisa
Gari imekaza.
Gari inatembea mwendo mdundo
Haina shida wala kelele
Njoo na Mil 2 nikuachie
sms 0625750755 gari za bei kitonga zipo.
imebaki hii tu
INAFUATA FORD XLT manual gear kwa milioni 7
Husika na kichwa cha habari hapo juu,
Namshukuru Mungu ni mzima hata sasa, Jumapili nilinusurika ajali mbaya san, Kikubwa Uzima.
tuende kwenye Mada
Kama unajua/unauza vifaa hivi vya nisaan dualis niuzie upate pesa chap chap
1. Engine Cover, hii ndio ninayohitaji.
2. Inner fender(madgad)...
Bila Catalytic Converter kuna sumu zinazotoka kwenye moshi ambazo zitakuwa zinaingia kwenye hewa.
Sumu hizo hazifanani kulingana na aina ya engine,
Engine za petrol hutoa Hydrocarbons, Carbon monoxide pamoja na Oxygen gas.
Engine za Diesel hutoa NOX, Oxygen gas pamoja na Carbon dioxide...
Wakuu naomba kujua kiundani juu ya hii gari bei, upatikanaji wa vipuli pamoja na ulaji wa mafuta nimetokea kupenda bajeti yangu ni 20milioni je naweza pata?
NICHUKUE IPI KATI YA NISSAN MURANO, DUALIS NA XTRAIL?
Na KIMOMWE MOTORS (T) Ltd- Waagizaji Magari
1. Nissan Murano
Injini bora ya hii ni ile yenye Cc 2500 inayokadiriwa kwenda Km 10.6/L. Katika safari ndefu hii inasifika kufanya vizuri zaidi ya hizo nyingine sababu ina uzito mkubwa wa tani...
Habari wakuu, nina Nissan Dualis ya 2010. Pindi ukikata kona inakuwa inagonga.
Wiki iliyopita nilikagua CV Rubber boot na mojawapo ikawa imekatika. Nikaenda kwa fundi akaisafisha CV joint na kuweka rubber mpya.
Ndani ya siku mbili ule mlio haukuwepo, ila sasa umerudi tena na hakuna rubber...
Picha: Nissan Dualis
Wakuu nianze kwa kuwasalimu na kuendelea kukumbushana pia kuhusu namna ya kujikinga na hili gonjwa la sasa.. Corona
Naomba nije kwenye topic kuu sasa.
Nimekuwa nikitamani sana kumiliki gari lililo juu juu (wenyewe wanaita SUV), kutokana na mazingira niliyopo, gari la...
Wakuu nawasalimu katika jina la Jamhuri ya Muuungano wa Tanzania,
Nina uhitaji wa half Engine ya Nissan hardbody QD 32, mwenye nayo au maelekezo wapi pa kuipata kiurahisi itakuwa msaada kwangu muhimu iwe jiji mwetu humu la joto.
Asanteni.
Habari wadau,hivi ni kwanini magari aina ya Nissan matengenezo na marekebisho yake yanasumbua mafundi wengi?pia ni gharama kubwa kurekebisha ukilinganisha na Toyota
Habari.
Nimeombwa ushauri, na mie nikaona busara kupata mawazo chanya zaidi kutoka hapa JF.
Ninaye jirani yangu ambaye anataka kununua gari jingine (naweza sema ku-upgrade) na kuliuza hili alilonalo kwa sasa.
Kwa sasa anamiliki IST ambayo anaiona ndogo kwa sababu familia imekua kubwa. Mara...
Engine ya Nissan:
Code: QG18
Gearbox yake:
Code:N16
Applications:
Nissan Almera, Nissan Sentra, Nissan Sunny, Nissan Bluebird/Sylphy
Mwenye clue na bei ya engine ndogo za Nissan, hio engine tajwa ni 1796cc au 1.8L! Tafadhali taarifa yako ni muhimu.
Nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa magari ya Toyota na Nissan kwa hapa Tanzania. Ambayo kwa kiasi kikubwa yamefanikiwa kuteka soko la magari kwa nchi yetu kwa kiasi kikubwa. Kama kichwa kinavyojieleza toleo la Nissan y62 lina muda sasa lakini sioni watu wakiyakimbilia kama ilivyo tokea kwa matoleo ya...
Heshima kwenu wakuu.
Wiki iliyopita niliamua kuifanyia nissan dualis majaribio ya mbio barabarani.( nilikua natafuta ligi kwa udi na uvumba)
Nilitenga hela ya faini 150,000.00 kwa safari ya kutoka Dsm to Singida. Ilipigwa 100,000 nikabaki na 50,000.
Nilianza ligi na Vanguard, crown, subaru...
Habari zenu wana jukwaa? Mimi kwa sasa ni Mkaazi wa Zanzibar, niliporudi nyumbani nilivitiwa na Muonekano wa Nissan March nikaamua niinunue, ila Marafiki zangu wa karibu wamekua wananilaumu sana kwa nini nimenunua Nissan March na nisinunue gari za Toyota kama IST?
Hivo wana jukwaa nawaombeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.