Naomba ushauri kuhusu Nissan X-Trail toleo la kuanzia 2015

The Evil Genius

JF-Expert Member
Mar 21, 2014
5,449
17,148
Habari wakuu.

Kuna staff mwenzangu kaniomba ushauri kuhusu Xtrail toleo la pili kuanzia 2015 anataka kununua nimpe ushauri.

Sasa ukizingatia mimi sio mtaalamu wa masuala ya magari, nikaona niombe ushauri huku kwanza ili nipate abc za kumpa.

Waomba reviews za hiyo gari wakuu.
images (8).jpeg

Ahsante sana.
 
Habari wakuu.

Kuna staff mwenzangu kaniomba ushauri kuhusu Xtrail toleo la pili kuanzia 2015 anataka kununua nimpe ushauri.

Sasa ukizingatia mimi sio mtaalamu wa masuala ya magari, nikaona niombe ushauri huku kwanza ili nipate abc za kumpa.

Waomba reviews za hiyo gari wakuu.
View attachment 2199302
Ahsante sana.

Anahitaji ya petrol au ya Diesel....

Wale wanaolia na D4 kwenye Toyota hizo Nissan zina engine za muundo huo. Simply hazitaki ubabaishaji.

Nissan alichelewa sana kutumia huo mfumo.
 
Back
Top Bottom