nissan

  1. Lee

    JamiiForums Tanzania Msaada: Half engine Nissan Hardbody

    Wakuu nawasalimu katika jina la Jamhuri ya Muuungano wa Tanzania, Nina uhitaji wa half Engine ya Nissan hardbody QD 32, mwenye nayo au maelekezo wapi pa kuipata kiurahisi itakuwa msaada kwangu muhimu iwe jiji mwetu humu la joto. Asanteni.
  2. Elias400

    JamiiForums Tanzania Kwanini magari aina ya Nissan yanasumbua mafundi kwenye matengenezo?

    Habari wadau,hivi ni kwanini magari aina ya Nissan matengenezo na marekebisho yake yanasumbua mafundi wengi?pia ni gharama kubwa kurekebisha ukilinganisha na Toyota
  3. T

    JamiiForums Tanzania Gari lipi linafaa zaidi? Naombeni ushauri wenu

    Habari. Nimeombwa ushauri, na mie nikaona busara kupata mawazo chanya zaidi kutoka hapa JF. Ninaye jirani yangu ambaye anataka kununua gari jingine (naweza sema ku-upgrade) na kuliuza hili alilonalo kwa sasa. Kwa sasa anamiliki IST ambayo anaiona ndogo kwa sababu familia imekua kubwa. Mara...
  4. Extrovert

    JamiiForums Tanzania Naombeni kujuzwa bei ya Engine na Gearbox hii ya Nissan

    Engine ya Nissan: Code: QG18 Gearbox yake: Code:N16 Applications: Nissan Almera, Nissan Sentra, Nissan Sunny, Nissan Bluebird/Sylphy Mwenye clue na bei ya engine ndogo za Nissan, hio engine tajwa ni 1796cc au 1.8L! Tafadhali taarifa yako ni muhimu.
  5. Mapank

    JamiiForums Tanzania Nini kimepelekea gari za nissan Y62 isifanye vizuri kama nissani y61 na y60

    Nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa magari ya Toyota na Nissan kwa hapa Tanzania. Ambayo kwa kiasi kikubwa yamefanikiwa kuteka soko la magari kwa nchi yetu kwa kiasi kikubwa. Kama kichwa kinavyojieleza toleo la Nissan y62 lina muda sasa lakini sioni watu wakiyakimbilia kama ilivyo tokea kwa matoleo ya...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Niliamua Kuitest Nissan Dualis barabarani

    Heshima kwenu wakuu. Wiki iliyopita niliamua kuifanyia nissan dualis majaribio ya mbio barabarani.( nilikua natafuta ligi kwa udi na uvumba) Nilitenga hela ya faini 150,000.00 kwa safari ya kutoka Dsm to Singida. Ilipigwa 100,000 nikabaki na 50,000. Nilianza ligi na Vanguard, crown, subaru...
  7. aleesha

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri wa namna ya kuihudumia Nissan March

    Habari zenu wana jukwaa? Mimi kwa sasa ni Mkaazi wa Zanzibar, niliporudi nyumbani nilivitiwa na Muonekano wa Nissan March nikaamua niinunue, ila Marafiki zangu wa karibu wamekua wananilaumu sana kwa nini nimenunua Nissan March na nisinunue gari za Toyota kama IST? Hivo wana jukwaa nawaombeni...
  8. Manyema

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu gari aina ya Nissan Dualis

    Wakuu tukienda moja kwa moja kwenye mada, nipo kwenye mchakato wa kubadili kababy walker kangu hivyo basi katika pita pita zangu huku na kule mtandaoni nikakutana na huyu mnyama anaitwa Nissan Dualis na akanivutia sana. Kwa hiyo nilikuwa naomba ushauri wenu kuhusu hiyo gari. Kuanzia kwenye...
  9. Tebajanga

    JamiiForums Tanzania Gereji na oil nzuri kwa Nissan Dualis

    Habari wakuu. Ninatarajia kuchukua Nissan Dualis. Napenda kujua ni oil zipi (Brand na vipimo) na ni gereji ipi kwa hapa Dar es Salaam wana mafundi wazuri wa Nissan? Pia kuna uzi niliusoma unasema oil ya engine inabidi iwe 5w 30, je kuna ukweli kuhusu hilo? Na oil ya transmission, gearbox oil...
  10. KIMOMWEMOTORS

    JamiiForums Tanzania Special thread: Kutana na waagizaji wa magari kutoka Japan

    HABARI YA MAJUKUMU? KIMOMWE MOTORS (T) LTD, TUNAPENDA KUKUKARIBISHA KUAGIZA GARI LAKO KWA GHARAMA NAFUU, HARAKA NA UHAKIKA KUPITIA KAMPUNI YETU. VILE VILE TUNAKUKARIBISHA KATIKA FURSA YA BIASHARA YETU NA UKAWEZA KUTENGENEZA KIPATO CHA ZIADA ENDAPO TU UTAWEZA KUAGIZA GARI AMA KUMLETA MTEJA...
  11. P

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kumpata fundi/gereji wa nissan hard body hapa Dar

    Poleni na Majukumu ya kila siku. Changamoto niliyonayo ni jinsi gani ya kupata fundi/gereji nzuri ya nissan hardbody hapa dar ambayo imepack kama miezi sita.Hapo awali ilikuwa iko poa tu,tatizo niliposafiri hapakuwa na mtu wa kuwa anaiwasha kila siku asubuhi. Naomba mwenye kujua fundi...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Msaada kati ya subaru Forester ya 2005 na Nissan Dualis ya 2007

    Wakubwa naitaji kumiliki gari moja wapo kati ya hizi Subaru Forester ya 2005 na Nissan Dualis 2007 je, Ipi inanifaa zaidi ikizingatiwa ndo mara ya kwanza kutaka kumiliki gari? Nilitaka kujua kuhusu ubora ,gharama ya vifaa Subaru Forester 2005 Nissan Dualis 2007
  13. I

    JamiiForums Tanzania Mjadala: Je, ni kweli Magari aina ya Nissan Xtrail ni mabovu?

    Naona watu siku hizi magari haya ya Nissani Extrail wananunua sana. Je, wanajua kuwa ni mabovu na spea zake ghari au hawaambiwi na watu. BAADHI YA MAWAZO YALIYOTOLEWA NA WADAU KUHUSU GARI HII --- --- --- --- --- --- --- ---
  14. Mwl Evarist Mchele

    JamiiForums Tanzania Nakaribisha offer za exchange deal. Nissan xtrail

    Kwa yeyeto mwenye mapenzi na xtrail na yuko tayar kufanya xchange deal, nakaribisha ofa
  15. G

    JamiiForums Tanzania Mjadala: Je, ni kwanini gari hupoteza nguvu? Je, unawezaje kutatua tatizo hili?

    MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU TATIZO HILI Gari ninayotumia ni Chaser GX100. Nimesafiri nayo kutoka Dar kuja Iringa na ninatarajia kuitumia kurudi Dar. Imetokea ghafla steering imekuwa nzito (stiff) ie unatumia nguvu kidogo kukata kona. Hakuna kelele za belt kwisha, hakuna leakage...
  16. blakafro

    JamiiForums Tanzania Nissan Patrol Nyeupe ya Mwaka 2008 inauzwa, Ina Engine ya TD42

    TD42 ENGINE | MANUAL | 4WHEEL DRIVE | DIESEL WHITE COLOUR | AFTER MARKET RIMS |BRAND NEW TYRES. FULL AC | 93,000KM VERY CLEAN INTERIOR. UN-REGISTERED. Price : 50Million Negotible. 📞 0744183343
  17. funzadume

    JamiiForums Tanzania Nataka nimnunulie wife Nissan Dualis

    Wataalam wa hizi kazi nataka nimchukulie wife Nissan Dualis baada ya kukaa sana kwenye Toyota. Je, wajuvi mnasemaje kuhusu uimara na ubora au udhaifu wa hizo gari?
  18. C

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Used gear box ya Nissan Caravan

    Salamu wana bodi, Nina shida na gear box ya nissan caravan. Natafuta used. Msaada tafadhali. Hata kwa asiye nayo ningeoenda nipate mchango kuwa bei zake zikoje. Asanteni
  19. Mb-one

    JamiiForums Tanzania Fuel consumption ya Nissan x trail 2007/2008 ikoje?

    Wakuu habari, Poleni na janga la corona. Nilikuwa nauliza kuhusu matumizi ya mafuta ya hi gari Nissan xtrail 2007 au 2008 ikoje kiuhalisia kwa wale waliotumia hii gari au wanijua vizuri. Kutokana na specification Yake ni 1990CC Nitashukuru \
  20. hp4510

    JamiiForums Tanzania Wapi kuna fundi mzuri wa magari ya Nissan?

    Jamani leo asubuhi nimeona jambo la ajabu kwenye gari yangu Pale kwenye top cover Kuna vuja oil ambayo inaenda kuungua chini na kutoa Moshi mwingi Sana So please wandugu kama kuna mtu anajua fundi mzuri wa hizi Nissan teana au gereji mzuri naomba connection
Back
Top Bottom