Habari wakuu,
Bwana mi nimewamiss,
Ila ngoja twende kwenye mada yetu ya huyu baro Jux na Vee Money mpambano unaendelea.
JUX kwanini aoe Nigeria?
Mi sijui naona Nini, ila ni kama naona Kuna mpambano wa Simba na Yanga.
Yaani naona kama Jux anacheza na mpinzani mwenzake ambaye ni X wake wa...