Katika harakati za maisha ya kila siku, tunashuhudia tabia ambazo, kwa kiasi kikubwa, zinaashiria kupungua kwa maadili, nidhamu, na staha ndani ya jamii yetu.
Sio kila jambo linahitaji sheria kali. Baadhi ya mambo yanahitaji tu busara, utu na heshima ya msingi. Ustaarabu ni namna mtu anavyoishi...