ngozi

Chimamanda Ngozi Adichie ( (listen); born 15 September 1977) is a Nigerian writer whose works range from novels to short stories to nonfiction. She was described in The Times Literary Supplement as "the most prominent" of a "procession of critically acclaimed young anglophone authors [who] is succeeding in attracting a new generation of readers to African literature".Adichie has written the novels Purple Hibiscus (2003), Half of a Yellow Sun (2006), and Americanah (2013), the short story collection The Thing Around Your Neck (2009), and the book-length essay We Should All Be Feminists (2014). Her most recent book, Dear Ijeawele, or A Feminist Manifesto in Fifteen Suggestions, was published in March 2017. In 2008, she was awarded a MacArthur Genius Grant.

View More On Wikipedia.org
  1. Ibrahim daud

    Msaada: Ngozi yangu imeharibika, tazama picha hii

    Habarini wataalamu, Nna mwezI Sasa nilianza kuona vidoti vidogo vidogo mbele kumbe mgongoni vimezagaa. Siku naenda faragha na mchumba wangu ndo kaniambia umeharibika. Ushauri wa dawa itakayo tibu naombeni mawazo yenu
  2. Chimunguru

    Tatizo la kuwashwa mwili mara kwa mara- Fahamu chanzo, pata ushauri na tiba ya tatizo hili

    Habari JF Doctor na wana jamii wote. Mdogo wangu wa kiume (23yrs) ana tatizo la kuwashwa mwili mzima tokea mwaka 2002. Nimezunguka naye takribani hospitali zote kubwa hapa Dar lakini hatujafanikiwa kupata ufumbuzi wa tatizo lake. Kwa ufupi ni kwamba alianza tu kuwashwa jichoni, macho...
  3. MAKOLE

    Ugonjwa wa ngozi

    samahani, ngozi yangu inaukavu na kukunjamana huku kuna vipele vidogo dogo sana na vinawasha. Ushauri tafadhali
  4. N

    INAUZWA Nauza sandals za ngozi OG za kike na kiume Dar

    Habari wana JF, Nauza sandals za ngozi OG za kike na kiume Dar..Jumla 18,000 rejareja 20,000. Ni imara na hazipauki kirahisi wala kukakamaa. Kwa mawasiliano nipigie 0657940974
  5. Ben Zen Tarot

    Madhara ya kuchora Tattoo Mwilini

    Tattoo ni nini? hii ni uwekaji wa wino kwenye ngozi ya ndani kitaalamu kama dermis kubadilisha rangi kabisa ya maisha yako yote au kwa muda tu, inategemea na uwekaji.. kwa dunia ya sasa kujichora tatoo ni kama fasheni fulani kwenye jamii, ukienda kuchora tattoo kuna uwezekano mkubwa sana...
  6. N

    Kumbe wenzetu ngozi nyeupe wanaendesha teknolojia kwa uchawi, leo nimeshuhudia kwa macho yangu

    Hapa mahali ninapofanyia kazi kwenye kampuni kuna ujenzi mkubwa unaendelea wanasimika mitungi mikubwa ile ya ardhini. Sasa kampuni inayofanya kazi hiyo ni ya wahindi aisee nimeona kwa macho yangu kabla kazi haijaanza wameenda katikati ya uwanja wakapasua nazi yaani bila hata kificho...
  7. Da Vinci XV

    Manii huboresha ngozi za wanawake

    Kwa bahati nzuri kila mwanamke anapenda uzuri, na sifa ya wanaume ni kupenda wanawake wazuri,na uzuri wa kuwa mzuri ni uzuri wa kusifiwa kwa maneno mazuri kutoka kwa wanaume wazuri yakwamba wewe ni mzuri. Wakati ule 'ninaimba jua lile literemke mama' pale shule ya msingi miaka kadha iliyopita...
  8. my name is my name

    Wanaume ngozi nyeupe wapo tofauti sana

    Kuna mkaka anatokea misri nilikua kwenye mahusano nae tulidumu miaka 3 halafu tukaachana. Tulivoachana atukuachana vizur lkn baadae tukayamaliza tukawa tunawasiliana km marafiki wa kawaida mpk sasa. Mara ya mwisho kuonana nae ilikua 2019 mwshoni. Tumeachana lakin kla mwaka ananitumia zawadi siku...
  9. Teleskopu

    Usimwamini kwa ngozi yake tu, utaumia

    Mbele ya kamera barakoa sana kwa ajili yetu. Nje ya kamera hakuna barakoa kwa ajili ya afya yake. Hata social distancing hakuna! Read between the lines.
  10. At Calvary

    Tatizo la ngozi mguuni

    Hi doctors! for a while nimekuwa nikipatwa na hali ya ngozi kubanduka kama gamba. Sijajua hi hali inasababishwa na nini. pia hii imepelekea kutopenda kuvaa viatu. Maana nikivaa kwa muda miguu huuma. Msaada please. Wenu. At Calvary Mrejesho: Nilienda hospitali nliambiwa ni Fungus.
  11. E

    Chimamanda Ngozi Adichie Mwandishi nguli Afrika

    Chimamanda Ngozi Adichie was born in Enugu, Nigeria in 1977. She grew up on the campus of the University of Nigeria, Nsukka, where her father was a Professor and her mother was the first female Registrar. She studied medicine for a year at Nsukka and then left for the US at the age of 19 to...
  12. DULAIKI COMPANY

    Karibu ofisini kwetu upate buti original za ngozi

    Piga 0762967368(WhatsApp)0655325457 kununua Tsh. 55000/=
  13. Sky Eclat

    Ubunifu zaidi unahitajika katika bidhaa zetu za ngozi

    Mwanzoni mwa mwaka huu katika kusherehekea kutimiza kwangu miaka 20 tangu nizaliwe, nilipata zawadi ya mkoba kutoka katika viwanda vya hapa kwetu. Mkoba ni nadhifu sana, bidhaa za ngozi huwa zinadumu kwa muda mrefu. Kasoro kubwa ilikua kwenye kumalizia, hadhi ya zipu hailingani na ubora ya...
  14. hata mimi

    Hivi kuna dawa/kinga maalum ya kudhibiti upupu au vitu vingine viwashavyo kwenye ngozi?

    Habari ndugu wanajukwaa, Nauliza ukiachilia mbali kuvumilia mpaka muda fulani vipoe na usiwashwe au kupaka mchanga majivu na mbinu nyingine za kawaida je, kuna dawa ya vitu vinavyowasha kwa mfano upupu?
  15. Mparee2

    Ngozi ya kutengeneza Makochi ( first CLASS)

    Kijana wangu amepata order ya makochi ya Leather Inaweza kuwa ile NGOZI ya kutengeneza ( Artificial) ila first class Inapatikana wapi kwa Arusha au Dar? bei kwa meter?
  16. U

    Kama uliwahi kula mishkaki ya mia mia, Morogoro basi uliwahi kula mbwa, jamaa wamekamatwa huko

    Mbwa ni mnyama ambaye amekuwa akitumiwa na binadamu kwa muda mrefu kwa ajili ya ulinzi katika maeneo mbalimbali, ikiwamo majumbani. Ni mnyama ambaye amekuwa akitumia nyama kama chakula chake kikuu. Pamoja na kuwa na sifa hizo, miaka ya zamani mnyama huyo alikuwa akitumiwa kama kitoweo na kabila...
  17. Kaporand

    Ugonjwa wa ngozi kukakamaa

    Jamani Nina tatizo la ngozi Naomba kujua Tiba yake ngozi Ina kakamaa miguu yote ilianza kidogo saiv naona inaongezeka Kama unajua dawa au namba ya dokta anaye weza nisaidia tafadhari
  18. Premij canoon

    Ipi tiba ya tatizo sugu la M'BA kwenye ngozi?

    Wanajamii poleni na msiba wa taifa... Kama mada inavyojieleza, ni ipo tiba ya m'ba kwenye ngozi, mimi nasumbuliwa na m'ba mara kwa mara. Yaani ni kama nina allerg ya ngozi, nikitumia dawa za kupaka wanaisha baada ya mida wanarudi tena. Nimegundua hili tatizo lipo ndani ya mwili inahitajika...
  19. konda msafi

    Ujio wa Khumbu ulisambaratisha penzi langu na katoto kenye ngozi nzuri na sauti kama Wema Sepetu

    Mnamkumbuka kwenye stori ya Khumbu niliwaambia nikiwa Durban kuna wasichana takribani 5 nilijihusisha nao ukiachilia Khumbu? Sasa kulikuwa na kasichana kamoja english figure, kilikuwa na ngozi nzuri balaa. Ukikavua nguo huchoki kukaangalia. Kalikuwa na mvuto wa ajabu. Kalikuwa na ngozi kama...
  20. Sky Eclat

    Kushirikiana taulo ni chanzo kikubwa cha maambukizi ya magonjwa ya ngozi

    Unakuta mtu anamtembelea rafiki yake, akitoka kuoga anakuta taulo kwenye kamba analichukua na kutumia, utamsiki “huyu wangu sana “. Watoto wakiwa boarding school, taulo linaweza kula vichwa vitatu bafuni. Hata hizi hotelini kama unaweza safiri na taulo lako. Fikiria hoteli haina mashine ya...
Back
Top Bottom