At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,513
- 3,554
Hi doctors!
for a while nimekuwa nikipatwa na hali ya ngozi kubanduka kama gamba.
Sijajua hi hali inasababishwa na nini.
pia hii imepelekea kutopenda kuvaa viatu. Maana nikivaa kwa muda miguu huuma.
Msaada please.
Wenu.
At Calvary
Mrejesho: Nilienda hospitali nliambiwa ni Fungus.
for a while nimekuwa nikipatwa na hali ya ngozi kubanduka kama gamba.
Sijajua hi hali inasababishwa na nini.
pia hii imepelekea kutopenda kuvaa viatu. Maana nikivaa kwa muda miguu huuma.
Msaada please.
Wenu.
At Calvary
Mrejesho: Nilienda hospitali nliambiwa ni Fungus.