Hapa mahali ninapofanyia kazi kwenye kampuni kuna ujenzi mkubwa unaendelea wanasimika mitungi mikubwa ile ya ardhini.
Sasa kampuni inayofanya kazi hiyo ni ya wahindi aisee nimeona kwa macho yangu kabla kazi haijaanza wameenda katikati ya uwanja wakapasua nazi yaani bila hata kificho wamefanya laivu.
Wamepasua nazi ndio wakaanza rasmi kufanya shughuli.
Leo nimejua kumbe uchawi upo kila sehemu tatizo waafrika badala ya kuutumia kwa maendeleo wao wanalogana.
Sasa kampuni inayofanya kazi hiyo ni ya wahindi aisee nimeona kwa macho yangu kabla kazi haijaanza wameenda katikati ya uwanja wakapasua nazi yaani bila hata kificho wamefanya laivu.
Wamepasua nazi ndio wakaanza rasmi kufanya shughuli.
Leo nimejua kumbe uchawi upo kila sehemu tatizo waafrika badala ya kuutumia kwa maendeleo wao wanalogana.