Kwanini kitimoto haichunwi ngozi?

Kwanini kitimoto haichunwi ngozi?

Kwa nini nyama ya nguruwe huwa haichunwi ngozi kama ya Ng'ombe au Mbuzi badala yake inatolewa tu manyoya kwa kukwanguliwa?
Mkuu wapo ambao huwa wanatoa ngozi na mafuta yake kisha wanaitengeneza, wengine wanachuna tu manyoya.

BUT vyovyote utakavyoandaa bado kitimoto ni nyama tamu zaidi kuwahi kutokea kwenye hii Dunia.

Jinsi ya kuandaa (Kutoa ngozi/manyoya) huwa inategemea na Tamaduni ya sehemu husika.
 
Back
Top Bottom