Ukiroho wa tendo la Ngono

Ukiroho wa tendo la Ngono

Surya

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
9,874
Reaction score
15,870
Mambo manne (4) yanayotokea wakati wa Ngono.

a. Kukidhi matamanio au kujifurahisha (Satisfying desires)

b. Kutengeneza muunganiko au mfanano ( To create bond)

c. Kuchangia nishati au nguvu ya ndani ( To share energies)

d. Kubadilishana roho or (inherit spirit)

Wawili wanaposhiriki tendo...
Mwenye nguvu kubwa ya kiroho ndie atatawala kitendo

KAMA MWENZA SIO AGENT WA GIZA.

1. Mkikutana wote mna energy zinazoendana mtafurahia tendo wote wawili.

2. Kama mmoja energy yake itakua chini atafaidika zaidi endapo yule mwenye energy kubwa kadhamilia kutuo mapenzi yake ya dhati siku hiyo.

Endapo mwenza wako ni Agent wa Giza na kaja kwa nia ya kukuibia ulichonacho na kukupandikizia roho chafu kadhaa...
Endapo utafanya mapenzi na mtu huyo na wewe nguvu yako ya kiroho ni ndogo basi utapoteza kikubwa na utajuta.

Ukiwa na nguvu kubwa ya Mungu wa Kweli sio pepo sio uchawi unaopitia sehemu za siri haviwezi kushinda,

Kuna baadhi ya watu nafsi zao ni rahisi sana kuingilika na baadhi ya watu hata wakati wa sex kwa msaada wa nguvu ya kiroho bado roho chafu haziwezi kumuingia mtu huyo.

Note: Kila ulinzi unamakusudi yake.
 
Ni kweli inategemea wewe umekubariana na kipi katika kile alichoandika ila mengi aliyoyaandika ni ukweli hususani huo mstari waa mwisho kabisa
Matokeo ya kufanya mapenzi ni mimbaa, magonjwa, kupunguza hamu & raha hayo ya sijui energy, mikosi na vifungo vya Kiroho vitabakia tu kua mwendelezo wa kupiga ramli.
 
Wawili wanaposhiriki tendo...
Mwenye nguvu kubwa ya kiroho ndie atatawala kitendo💥💪🏿
 
Hakuna uhusiano wowote kati ya sex na izo roho mnaziita ,
Ni muafrika tu ndo anaamini ivyoo!
Ndo maana bado tupo kwenye umaskini wa kutisha..
 
Hakuna uhusiano wowote kati ya sex na izo roho mnaziita ,
Ni muafrika tu ndo anaamini ivyoo!
Ndo maana bado tupo kwenye umaskini wa kutisha..
Sawa hauamini kama kuna roho au Mapepo ? Nyie ndio wale ambao mnakataa uwepo wa Mungu.

sibishani na nyie akili zenu mnazijua wenyewe
 
Back
Top Bottom