Kenya on Saturday recorded 688 new cases of Covid-19, raising the country's total confirmed cases to 12, 750, Health CS Mutahi Kagwe has confirmed
This is out of 4, 522 samples that were tested in the last 24 hours as the cumulative samples tested so far rose to 238,163.
425 of the cases are...
The trains are finally on the way. They are currently being loaded onto trucks in Mallorca en route to Barcelona and from where they will be shipped to Mombasa on the 21st of July 2020 & arrive 25 days later. Nairobi is continuing to leave to all East African cities behind and I can remember I...
Kuna dogo walikuwa wanamhoji XXL ana miaka 25 kaja na solution ambayo watanzania wengi walikuwa wakihihitaji. Nayo ni kununua umememoja kwa moja ukainia kwenye luku.
Lakini kahangaika na TANESCO kapigwa dandana mpaka alipoenda VETA na mwisho kaja XXL nina imani sasa watalifanyia kazi.
Idea...
The New Kenya Planters Cooperative Union (KPCU) Dandora plant has milled more than 5,000 bags of coffee following its revival as the government opens talks with overseas buyers interested in the produce.
Agriculture Chief Administrative Secretary Anne Nyaga said the plant had received over 430...
Trump aliwahi kusema thanks for social media we can fight back fake news.
Nawaza kipindi ambacho hizi mainstream media ndio chanzo kikuu cha habari si wamezushia watu wengi sana?
Juzi New York Times walitoa habari kua Urusi imewalipa hongo wapiganaji wa Taliban kuwaua wamarekani au waingereza...
These are additional solved problems (attachment below) intended to be incorporated in the document whose link appears below.
Enjoy your reading
Undregraduate soil mechanics solved problems-download
Aina mpya ya mafua ambayo inaweza kuwa janga kubwa la kiafya imegunduliwa na Wanasayansi nchini humo. Mafua hayo ni aina mpya ya virusi na kutokana na hilo, inawezekana binadamu wana kinga mwili ndogo ya kupambana nayo au hawana kabisa.
Imeelezwa kuwa mafua hayo yapo kwa nguruwe lakini binadamu...
Watu watatu wamefariki, watatu wengine wana hali mbaya na mmoja awa kipofu baada ya kunywa sumu ya methanol. Madaktari wamesema walikunywa vitakasa mikono vyenye sumu hiyo
Matukio hayo yaliwahi kuripotiwa Idara ya kuthibiti sumu New Mexico, kwa zaidi ya wiki, lakini walikuwa wanasema...
Tv ni mpya
One year warranty pamoja na EFD receipt
Free HDMI wire and wall Bracket
Bei:275,000Tsh
piga/whatsapp 0788622610
tupo kkoo mtaa wa masasi/ndanda
KenGen targets new income with Sh60m detergent factory
FRIDAY, JUNE 26, 2020 0:01
BY PATRICK ALUSHULA
Kenya Electricity Generating Company (KenGen) has started constructing a Sh60 million factory for manufacturing detergents, expanding its revenue streams beyond power production.
The firm...
Nauza Redmi Note 7 Blue.
Brand New and straight From Xiaomi
Global ROM (Ina full google apps pamoja na google playstore + ni multilanguage)
ROM ni 64GB
RAM 6 GB
6.3'' inch display
Snapdragon 660 Processor
48 MP Camera
Line mbili na inasupport 4G mitandao yote Bongo
Battrey kubwa 4000 Mah (It...
Sanamu ya Kapten John Fane Charles Hamilton, imeondolewa katika mji wa Hamilton, New Zealand, mji uliopewa jina lake kwa heshima aliyopewa
Wanaopinga ubaguzi wa rangi na Maori waliomba sanamu hiyo iondolewe kwa kuwa ni kielelezo cha utamaduni mbaya uliowahi kuwepo duniani
Hamilton alikuwa ni...
Akizungumza kwa njia ya simu kupitia Global TV msemaji wa serikali,Dr. Abbas amewashangaa wote wanàodai kuwa Dodoma sio salama kisa eti kumetokea vitukio viwili Tena vya kawaida tu.
Amesema watu hawa wanaosema Dodoma sio sehemu salama hawajawahi kufika London na New York na kujionea matukio...
Call/whatsapp 0788622610
Offer offer bei 195,000 tu
Oven mpya ya umeme ya kisasa
Ina plates 2 juu za kupikia chochote
Ina ujazo lita 48
Ina grill pamoja na kuchoma mikate, cake, nyama, kuku etc
Ina timer
Ina warranty mwaka mmoja
Location: DSM
Mabibi na mabwana hii ni habari njema na kumbe kweli inawezekana. New Zealand kafanikiwa kumgaragaza kirusi Corona vilivyo.
Hii leo kwa siku ya 17 hawana mgonjwa hata 1 wala maambukizi yoyote. Yote hii si kwa nyungu, maombezi wala mitishamba. Si kwa ubabarishaji wala kwa takwimu magumashi bali...
Ujenzi wa Daraja la New Selander linalokatisha juu ya bahari jijini Dar es Salaam wafikia asilimia 35. Ujenzi wa daraja hilo lenye urefu wa kilomita 6.5 utagharimu $126.6M (TZS 293B), litakamilika mwaka 2021 na litapitisha magari 55,000 kwa siku.
Ulaya wanayo mkakati kufikia 2025 wawe wameachana kabisa na sarafu na waende kwenye Cashless Society. Moja ya vitu ambavyo janga hili litafanikisha ni kuongeza kasi ya kusambaa kwa Cashless Society kwenye uwigo mpana, na wakati ambapo tutakuwa tunaandika historia ya janga hili dunia nayo itakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.