Nauza simu yangu kwa shida za kifedha.
Details kama internal memory ni 64 GB RAM ni 3GB
Bei 190,000
Niko old moshi ...Moshi mjini
Mawasiliano 0756294771....karibuni wandugu .........
Toyota harrier NEW model 🚘 *(EDG)
Year 2010
☎️0689-357-572 }whatsapp ✅
☎️0768_041_126 }whatsapp ✅
Engine Capacity Cc 2360
Engine 2AZ
Automatic gear
Mileage 55,338km
Full option Music Android TV✅
Usb/Dvd player
Sport rims
Full document📑
✅
PRICE MLN35 maongezi yapo kidogo
Toyota Harrier NEW model 🚘 *(EDG)
Year 2010
☎️0689-357-572 }whatsapp ✅
☎️0768_041_126 }whatsapp ✅
Engine Capacity Cc 2360
Engine 2AZ
Automatic gear
Mileage 55,338km
Full option Music Android TV✅
Usb/Dvd player
Sport rims
Full document📑
✅
PRICE MLN35 maongezi yapo kidogo
Yani sijui tuna kwama wapi yani ukikaona kandege kenyewe utazani kakupeleka watalii mbugani.yani wenzetu wasio na kitu kwenye ardhi wanajaribu kisicho kuwa kitu kuwa kitu.
bado na kazia ma ubongo yetu yana tumia masanturi
Prolonged exposure to the same work environment can breed stagnation and limit professional growth.
Working with the same colleagues for extended periods can lead to ingrained stereotypes and biases, hindering the ability to recognize individual potential and value diverse perspectives...
The World Mosquito Program (WMP) is a not-for-profit group of companies owned by Monash University that claims it works to protect the global community from mosquito-borne diseases such as dengue, Zika, yellow fever and chikungunya. But is this true.They have projects operating in 14 countries...
Hello guys,
Nashukuru kupata nafasi ya kujiunga pamoja nanyi katika jukwaa hili, nimatumaini yangu nitajifunza mengi mazuri kutoka kwenu hasa kwenye Siasa, ushauri, urembo na mengine mengi.
Shukrani
GENTAMYCINE nawaambieni hili mapema na Asubuhi hii kwakuwa tayari nimearifiwa na Chanzo Muhimu kuwa Ombi lenu la kwenda Zanzibar kuutumia Uwanja wa New Amani Complex kwa Mechi zenu za Ligi Kuu (NBC) na FA (ASFC) halitokubaliwa ila kwa Kuutumia kwa Mechi zenu za CAFCL mtaruhusiwa nyie na Yanga SC...
Huhitajiki kua Rais ili uwe Kiongozi Bora Bali kuielewa tafasiri halisi ya Uongozi inatosha kabisa kuwekwa Moyoni mwa Wananchi.
Mpango, Majaliwa, Mko wapi?? Mbona Uthubutu alonao Makonda, ni mkubwa kuliko hata Nafasi yake?.
Ni sahihi kusema Makonda amezaliwa kua Kiongozi?.
Katibu Mwenezi...
I would like to announce the launch of a new course for Swahili speakers to learn basic English.
Its name is Kiingereza - Hatua kwa Hatua.
I'm the author of this course and I feel that it has the potential to have a very positive impact on education in Tanzania, in particular by providing a...
Ajali Ya Basi la New Force lililokuwa linatoka Mbeya Kuja Dar ( Hakuna Kulala ) Maeneo ya Kidai B baada ya Kugongana na Lori na Gari Ndogo
Abiria wako Salama Kuna Majeruhi Wadogo Tu
Iii imetokea leo 23/01/2024 asubuhi Mtoremko wa Iyovi
Pia soma: New Force/Golden Deer kwanini ajali mnapata...
Match Day.
Updates...
Mlandege FC ambao ni mabingwa watetezi, watamenyana na Simba Leo Januari 13, 2024 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex mjini Zanzibar, ambapo mchezo wa fainali utaanza kutimua vumbi saa 2:15Usiku.
Fainali iliyopita;
Mlandege ilishinda mabao 2-1 dhidi ya Singida Fountain...
Match Day
Simba SC Vs Jamhuri SC
Mapinduzi Cup
New Amaan Complex
Robo Fainali
08.01.2024
Mchuano huu ni kwa ajili ya mchezo wa soka uliosubiriwa kwa hamu huku robo fainali ya nne ikiendelea leo saa 2:15 Usiku kwa kuwakutanisha Simba SC dhidi ya Jamhuri FC katika Uwanja wa Amaan.
Mchezo...
Match Day.
Simba Vs APR
Msimamo wa Kundi B Ulivyo.
Hii nimetengeneza mwenyewe, hivyo kama kuna error tujuzane.
Hapa Simba tunahitaji tu Draw yoyote ili tuweze kuingia robo fainali.
APR anahitaji kutufunga Goli 4 - 0 ili aweze kuingia robo.
Kitu ambacho hakiwezekani.
Akipata huo ushindi...
🔰𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇𝐃𝐀𝐘🔰
🏆 #mapinduzicup
⚽️ Young Africans SC Vs KVZ FC
📆 04.01.2024
🏟 Amaan, Zanzibar
🕖 2:15 Usiku
Ni Match ya Round ya Tatu.
Yanga Tayari ameshaingia Robo fainali,
Mechi inachezwa kukamilisha ratiba tu.
Tunategemea kupata burudani kweli kweli kutoka kwa Wananchi.
KIKOSI CHA YANGA...
Ni jambo la kushangaza kidogo ila katika hali ya kustua kidogo ni kwamba rangi za nguo unazovaa au unayopendelea kuvaa inaelezea maisha yako yalivyo kiroho na mtu mwingine anayeelewa anaweza kuibaini hali unayoipitia.
Ndiyo maana wapo watu wanaoweza kukutazama tu rangi jpya nguo ulizovaa na...
It's now 2024 in eastern parts of Australia, with Sydney, Canberra and Melbourne becoming the latest cities to welcome the new year.
Rasmi ni 2024 imeingia kwa Sehemu ya Miji ya Australia-Sydney,canberra na Melbrone wamekwisha uona Mwaka mpya, hata hivyo Tanzania kutokana na Utofauti wa Masaa...
Wakati wengine tukiendelea kusubiri mwama mpya, Auckland New Zealand tayari walishaanza mwaka 2024 masaa 2 yaliyopita.
Auckland wako mbele yetu zaidi ya Masaa 8, GMT+13.
https://twitter.com/AP/status/1741427952116506698?s=19
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.