new

  1. Lexus SUV

    Phone4Sale Tecnk Pop 7 New Model

    Nauza simu yangu kwa shida za kifedha. Details kama internal memory ni 64 GB RAM ni 3GB Bei 190,000 Niko old moshi ...Moshi mjini Mawasiliano 0756294771....karibuni wandugu .........
  2. gozy busness

    Car4Sale Harrier for sale

    Toyota harrier NEW model 🚘 *(EDG) Year 2010 ☎️0689-357-572 }whatsapp ✅ ☎️0768_041_126 }whatsapp ✅ Engine Capacity Cc 2360 Engine 2AZ Automatic gear Mileage 55,338km Full option Music Android TV✅ Usb/Dvd player Sport rims Full document📑 ✅ PRICE MLN35 maongezi yapo kidogo
  3. gozy busness

    Car4Sale Harrier New Model for sale

    Toyota Harrier NEW model 🚘 *(EDG) Year 2010 ☎️0689-357-572 }whatsapp ✅ ☎️0768_041_126 }whatsapp ✅ Engine Capacity Cc 2360 Engine 2AZ Automatic gear Mileage 55,338km Full option Music Android TV✅ Usb/Dvd player Sport rims Full document📑 ✅ PRICE MLN35 maongezi yapo kidogo
  4. Kaka yake shetani

    Dubai wana kituo cha kusababisha mvua kwa kumwaga nchunvi kwa kutumia ndege.Sisi huku tukimtanguliza mungu na kununua V8 new model

    Yani sijui tuna kwama wapi yani ukikaona kandege kenyewe utazani kakupeleka watalii mbugani.yani wenzetu wasio na kitu kwenye ardhi wanajaribu kisicho kuwa kitu kuwa kitu. bado na kazia ma ubongo yetu yana tumia masanturi
  5. F

    Networking: The Secret Weapon for Unlocking Purpose and Performance

    Prolonged exposure to the same work environment can breed stagnation and limit professional growth. Working with the same colleagues for extended periods can lead to ingrained stereotypes and biases, hindering the ability to recognize individual potential and value diverse perspectives...
  6. Mathanzua

    Releasing Mosquitoes into our enviroment by the Gates Foundation in collaboration with the World Malaria Program has led to the new Malaria crisis

    The World Mosquito Program (WMP) is a not-for-profit group of companies owned by Monash University that claims it works to protect the global community from mosquito-borne diseases such as dengue, Zika, yellow fever and chikungunya. But is this true.They have projects operating in 14 countries...
  7. L

    New Member

    Hello guys, Nashukuru kupata nafasi ya kujiunga pamoja nanyi katika jukwaa hili, nimatumaini yangu nitajifunza mengi mazuri kutoka kwenu hasa kwenye Siasa, ushauri, urembo na mengine mengi. Shukrani
  8. GENTAMYCINE

    Simba SC tafuteni Uwanja kwa Mechi zenu za Ligi na FA, New Amani Complex kiwe tu kwa Mechi zenu za CAFCL

    GENTAMYCINE nawaambieni hili mapema na Asubuhi hii kwakuwa tayari nimearifiwa na Chanzo Muhimu kuwa Ombi lenu la kwenda Zanzibar kuutumia Uwanja wa New Amani Complex kwa Mechi zenu za Ligi Kuu (NBC) na FA (ASFC) halitokubaliwa ila kwa Kuutumia kwa Mechi zenu za CAFCL mtaruhusiwa nyie na Yanga SC...
  9. Carlos The Jackal

    Uongozi ni karama ya kuzaliwa, Paul Makonda anaendelea kulithibitisha hilo

    Huhitajiki kua Rais ili uwe Kiongozi Bora Bali kuielewa tafasiri halisi ya Uongozi inatosha kabisa kuwekwa Moyoni mwa Wananchi. Mpango, Majaliwa, Mko wapi?? Mbona Uthubutu alonao Makonda, ni mkubwa kuliko hata Nafasi yake?. Ni sahihi kusema Makonda amezaliwa kua Kiongozi?. Katibu Mwenezi...
  10. James M Kiingereza HkH

    New app for learning English: Kiingereza - Hatua kwa Hatua

    I would like to announce the launch of a new course for Swahili speakers to learn basic English. Its name is Kiingereza - Hatua kwa Hatua. I'm the author of this course and I feel that it has the potential to have a very positive impact on education in Tanzania, in particular by providing a...
  11. dubu

    Morogoro: Basi la New Force lapata ajali Iyovi

    Ajali Ya Basi la New Force lililokuwa linatoka Mbeya Kuja Dar ( Hakuna Kulala ) Maeneo ya Kidai B baada ya Kugongana na Lori na Gari Ndogo Abiria wako Salama Kuna Majeruhi Wadogo Tu Iii imetokea leo 23/01/2024 asubuhi Mtoremko wa Iyovi Pia soma: New Force/Golden Deer kwanini ajali mnapata...
  12. uran

    FT: Mlandege 1 - 0 Simba SC | Mapinduzi Cup | New Amaan Complex | Fainali | 13.01.2024. Kombe limebaki Mlandege

    Match Day. Updates... Mlandege FC ambao ni mabingwa watetezi, watamenyana na Simba Leo Januari 13, 2024 kwenye Uwanja wa New Amaan Complex mjini Zanzibar, ambapo mchezo wa fainali utaanza kutimua vumbi saa 2:15Usiku. Fainali iliyopita; Mlandege ilishinda mabao 2-1 dhidi ya Singida Fountain...
  13. uran

    FT: Simba SC 1-0 Jamhuri SC | Mapinduzi Cup | New Amaan Complex| Robo Fainali | 08.01.2024

    Match Day Simba SC Vs Jamhuri SC Mapinduzi Cup New Amaan Complex Robo Fainali 08.01.2024 Mchuano huu ni kwa ajili ya mchezo wa soka uliosubiriwa kwa hamu huku robo fainali ya nne ikiendelea leo saa 2:15 Usiku kwa kuwakutanisha Simba SC dhidi ya Jamhuri FC katika Uwanja wa Amaan. Mchezo...
  14. uran

    FT: Simba SC 0 - 0 APR SC | Mapinduzi Cup | New Amaan Complex | 05.01.2024

    Match Day. Simba Vs APR Msimamo wa Kundi B Ulivyo. Hii nimetengeneza mwenyewe, hivyo kama kuna error tujuzane. Hapa Simba tunahitaji tu Draw yoyote ili tuweze kuingia robo fainali. APR anahitaji kutufunga Goli 4 - 0 ili aweze kuingia robo. Kitu ambacho hakiwezekani. Akipata huo ushindi...
  15. kiwatengu

    FT: Yanga SC 0 - 0 KVZ FC | Mapinduzi Cup | New Amaan Stadium | 04.01.2024

    🔰𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇𝐃𝐀𝐘🔰 🏆 #mapinduzicup ⚽️ Young Africans SC Vs KVZ FC 📆 04.01.2024 🏟 Amaan, Zanzibar 🕖 2:15 Usiku Ni Match ya Round ya Tatu. Yanga Tayari ameshaingia Robo fainali, Mechi inachezwa kukamilisha ratiba tu. Tunategemea kupata burudani kweli kweli kutoka kwa Wananchi. KIKOSI CHA YANGA...
  16. Victor Mlaki

    Siri ya rangi za nguo unazovaa Kila siku

    Ni jambo la kushangaza kidogo ila katika hali ya kustua kidogo ni kwamba rangi za nguo unazovaa au unayopendelea kuvaa inaelezea maisha yako yalivyo kiroho na mtu mwingine anayeelewa anaweza kuibaini hali unayoipitia. Ndiyo maana wapo watu wanaoweza kukutazama tu rangi jpya nguo ulizovaa na...
  17. S

    Mpenzi wangu hajani-wish happy new year hadi muda huu! Kam-wish nani? Na mimi nimeuchuna tu nione mwisho wake

    Yaani mwaka umeanza saa sita usiku kakaa kimya mpk muda huu. Anasubiri mimi ndiyo nimuanze? Acha niuchune ili niijue rangi yake halisi.
  18. vvm

    Happy New Year 2024

    It's now 2024 in eastern parts of Australia, with Sydney, Canberra and Melbourne becoming the latest cities to welcome the new year. Rasmi ni 2024 imeingia kwa Sehemu ya Miji ya Australia-Sydney,canberra na Melbrone wamekwisha uona Mwaka mpya, hata hivyo Tanzania kutokana na Utofauti wa Masaa...
  19. The Evil Genius

    Mji wa Auckland New Zealand tayari sasa ni sa 8 na Nusu Usiku ya Tarehe 1, Januari 2024.

    Wakati wengine tukiendelea kusubiri mwama mpya, Auckland New Zealand tayari walishaanza mwaka 2024 masaa 2 yaliyopita. Auckland wako mbele yetu zaidi ya Masaa 8, GMT+13. https://twitter.com/AP/status/1741427952116506698?s=19
Back
Top Bottom