network

  1. Moselyn11

    SoC02 Mtandao

    Mambo vipi? Nimekuja kukuambia machache kuhusu mimi mpenzi wangu. Mimi ndiye ninayekufahamu wewe kuliko hata unavyojifahamu wewe, Naam. Mimi ndiye ninamjua mpenzi anayekufaa kuliko hata wazazi wako wanaokushauri kila siku, umesahau juzi ulikuwa una-gugo sifa za mpenzi bora? Ni mimi huyuhuyu...
  2. M

    Share network kutoka Ethernet source to huawei b68a-24 router

    Habari wadau Ningependa kufahamu kama router ya airtel huawei b68a-24 inapokea network(internet) kutoka kwenye ethernet na kushare kwa Hotspot? Maana niliconnect ethernet (rj45) kutoka kwenye switch yenye source ya internet Yani kutumia hii router kama bridge tu
  3. T

    Request for Proposal (RFP) - ICT Local Area Network (LAN), Wireless LAN (WLAN) and Data Centre revamping and overhauling for The School of St Jude

    Are you a reputable Information Technology firm? Do you have experience with Local Area Networks and Wireless Area Networks? Interested parties are hereby invited to submit their proposal for; “: ICT Local Area Network (LAN), Wireless LAN (WLAN) and Data Centre revamping and overhauling,” to...
  4. Komeo Lachuma

    Mzee anategemea kupokea kiinua mgongo, lakini simwelewi elewi kabisa

    Kwanza niwasalimu ndugu zanguni wapendwa. Kiukweli naona kuna mambo kadhaa nahitaji ushauri wenu. Mzee anastaafu mwezi ujao tu. So nimeona ni wakati muafaka nami kupanga bajeti. Kwa mzee salary aliyokuwa anapokea ni kama mil 7 kwa mwezi. Pia ana miradi yake kadhaa so maisha hayasumbui. Je...
  5. Jamii Opportunities

    Specialist: IP Network & VAS Networks at Vodacom

    Job Description Role Purpose • Maintain and support of IP/MPLS network operational activities • Controlling, managing and acting as second level support for data and internet customers • Ensure MPESA is supported and well protected on the network layer • Maintain operational excellence and...
  6. Binadamu Mtakatifu

    Nataka kufungua ad network

    Oy wazee wa tech nilikua na wazo la kufungua ad network ambayo ni special sana kwa blogu za kuswahili ila lugha nyingine nitalipa pia japo bado nipo kwenye mawazo wapi nitapata matangazo au publishers Haya nimelileta kwenu vipi mtanisapoti au ?????? Wenye blog/tovuti N.B NATENGENEZA BLOGU...
  7. Mshamba wa kusini

    Sahili za vitendo (practical) kada network administrator wanatoa maswali ya namna gani?

    Habari Nimeitwa kwenye practical ya utumishi kada network administrator, ningependa kupata hints jinsi namna maswali yanavyotoka na ni part ipi nijiandae vizuri.
  8. Nchi Kavu

    TRA ni taasisi ya kukosa network kweli?

    Nimekuwa nafuatilia masuala yangu TRA (sisemi ni wapi) hapa Dar. Wakati wahudumu wakiendelea na huduma unasikia wanasema subiri network irudi. Hapo majukumu inabidi yasimame hadi network ikae tena sawa. Ikifika hapo baadhi ya wateja huamua muahirisha kilichowapeleka pale. Hili nimekumbana nalo...
  9. Binadamu Mtakatifu

    Ad network bora zaidi kwa walio kataliwa na googleadsense katika tovuti au blog zao instant aproval

    Jamani habari nimekua nikitafuta kampuni bora ya matangazo ambayo ingenilipa vizuri kama google adsense hii ni baada ya kukataliwa na google adsense kutokana content language ambayo ni kiswahili nimejiunga mingi ila ambayo niliipenda ni ADSTERRA huyu alikuwa wa moto mpaka naearn my first $1...
  10. K

    No network kwa mitandao TIGO na Aitel.

    Nina neno: No network kwa mitandao hiyo miwili toka asubuhi ya Leo 21/12/2021. Naomba kujuzwa: Kuna zoezi la kuhakiki upya line?
  11. LIKUD

    Mechi ya Simba Na Yanga mpaka Sasa hivi network ya tiketi haipo Sawa. What is going on?

    HII Ni hujuma ama Nini? Rudisheni mtandao nyie sio mtandao unarudi saa tisa Na foleni ya kuingia uwanjani MTU unaingia ndani dakika ya ishirini wakati mayele Kisha fanya yake
  12. LIKUD

    Mechi ya Simba Na Yanga mpaka Sasa hivi network ya tiketi haipo Sawa . What is going on?

    HII Ni hujuma ama Nini? Rudisheni mtandao nyie sio mtandao unarudi saa tisa Na foleni ya kuingia uwanjani unaingia ndani dakika ya ishirini wakati mayele Kisha fanya yake
  13. Masokotz

    Ukitaka Fursa ni lazima uwe Fursa

    Ukiitiwa Fursa Ujue wewe ni Fursa. Je umewahi kuitiwa Fursa?Je umewahi kujiuliza kama ni fursa kweli kwa nini haitumii mwenyewe?Je umekuwa mtu wa wasi kila mara unapoona fursa na kuhisi kuwa unapoteza?Kama jibu ni Ndio Basi hauko peke yako.Wako wengi sana ambao wamejikuta katika mtego huo ni...
  14. Quavohucho

    Baada ya video kuvuja utofauti wa Nigeria social network vs Tanzania waonekana

    Week hii zimevuja sex video za Msanii mkubwa Africans Nigerian singer Tiwasavage ,akiwa na boy friend wake. Hata hivo bado exactly ajajulikana nana kavujisha, licha ya video kurecordiwa na wao wenyewe. Baada ya kuleak video hizo blogs ,social network, fanpage zote zimekuwa zikimfariji star...
  15. teac kapex

    Msaada juu ya data network ya hii Galaxy note 9.

    Kwa kweli simu nilizoamini ni nzuri ni pamoja na Samsung lakini kwangu imekuwa tofauti, mwanzoni simu ilikuwa vizuri lakini sasa hivi natamani kurudi kwenye tecno na infinix, maana nikiwa safarini nawaona wenzangu wakivinjari kwenye mitandao ya kijamii mwanzo mwisho wa safari lakini hili la...
  16. Ziroseventytwo

    Kuna tofauti kati ya network ya kupiga simu na network ya internet?

    Simu infinix ina line ya tigo. Ikiwa kwenye 4G au 3G ukiipigia haipatikani. Hata kama umezima data. Ila ikiwa kwenye 2G simu ukiipigia inapatikana hata kama umezima data. Sasa nimeshindwa kuelewa hii kitu inakuwaje. Naomba ufafanuzi kwenye hili. Cc. reyzzap na Chief-Mkwawa
  17. N

    Internet ya Vodacom imekuwa na kasi ndogo

    Tangu nianze kutumia laini ya Vodacom natamani nidiriki kusema hii speed yao ya Internet siielwi kabisa. Mwanzoni ilikuwa kilio cha vifurushi-- Ila kwa bahati nzuri vifurushi-- nafuu vimerudishwa Mana naweza pata 1GB kwa 1000/= Ila shida imekuwa kwenye speed ya internet, speed n ndogo sana...
  18. FRANCIS DA DON

    Nini kinaendelea Airtel tatizo la network?

    Je, Airtel mmefikia wapi kutatua hilo tatizo la voice call na sms kugoma kwa asilimia kubwa? Yaani tunaishi kwa network ya kubahatisha, why?
  19. Usipanic buana nakutania

    Ushauri kuhusu Network marketing

    Habari wakuu Moja kwa moja kwenye mada, nina mpango wa kuingia katika biashara ya mtandao(Network Marketing), asilimia 80% ya maoni niliyoyapata kwa watu wa karibu ni negative; yaani wanaamini huko nitaenda kutapeliwa. Ninaombq wana JF wale ambao mna ufahamu wa kutosha na huenda mlio kwenye...
  20. Gibeath-Elohimu

    Halotel, Network yenu leo ina shida gani?

    Enyi mtandao wa halotel, network yenu leo haisomi kabisa. Shida ni nini au tatizo ni katelephone kangu.Au ndo maboresho ya vifurushi. Naomba muongozo wenu katika hili.
Back
Top Bottom