ndoa

  1. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania Ndoa Zinavyovunjika Dar/mikoani: Takwimu zinatisha

    Takwimu za Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (Rita), mwaka 2020, zinaonyesha kuwa wakala ulisajili talaka 511 Tanzania nzima kati ya hizo 221 kutoka Dar es Salaam pekee. Idadi hiyo ni ongezeko la talaka 69 ikilinganishwa na talaka 442 zilizosajiliwa mwaka 2019. Msajili wa ndoa na talaka wa...
  2. Replica

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baada ya kufunga ndoa, wapanda zao mkokoteni. Kupanga ni kuchagua..

    Efrahim Mgala ameamua kutumia usafiri wa mkokoteni baada ya kutoka kubariki ndoa na Mkewe Emakulatha Mwashiuya katika Kanisa Katoliki katoliki Vwawa mkoani Songwe, Efrahim na Emakulatha ambao ni wakazi wa mtaa wa Ilembo ulipo Vwawa wameamua kubariki ndoa baada ya kuishi pamoja miaka mitano...
  3. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta rafiki wa kike kwa ajili ya mahusiano ya kuelekea ndoa

    Wapendwa, Wasalaam! Kama kichwa cha habari kinavyojieleza natafuta msichana ambaye tutaanza naye urafiki wa kimapenzi. Lakini lengo hasa ni kuona kama tunaweza kuelewana na kuelekea katika ndoa. Awe na sifa zifuatazo: - 1) Elimu: Form Four na kuendelea. Kama ni la saba, awe tayari...
  4. Equation x

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukiniona nipo kwenye ndoa na sijawahi kukupa kadi ya harusi kwa ajili ya mchango; usiniletee kadi yako ya mchango wa harusi

    Kutokana na ugumu au vipaumbele vya maisha, watu wengi wanajitahidi kupunguza matumizi ya fedha yasiyokuwa ya lazima. Sasa wewe kipato chako hakitoshelezi kufanya sherehe ya harusi kubwa, huku ukitaka sherehe yako ianzie labda milioni 20, wakati wewe kianzio ulichonacho labda milioni 1; hizo...
  5. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini ndoa nyingi zinavunjika? (Sehemu ya 1: Upande wa wanaume)

    Katika siku hizi za mwisho, migogoro ya kindoa imekuwa ni mingi sana, kiasi kwamba ndoa kudumu hata mwaka mmoja, ni jambo la kushukuru sana. Kila kukicha mikwaruzano, hakuna amani, kila mmoja amemchoka mwenzake. Mpaka wengine kudhani huyo mwenzi aliyemuoa au aliyeolewa naye halikuwa chaguo...
  6. West standard

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Anapika chakula hanipi, hanifulii nguo halafu anataka ndoa

    Nilipozaliwa nilitamani siku moja niwe na familia yenye Amani furaha na upendo lakini vyote hakuna badala yake, Mwanamke hanifulii anapika Chakula hanipi, Anaenda mbali na tulipo haniambii. Halafu ananiambia anataka tufunge ndoa. Kweli? Nimfanye nini huyu mwanamke?
  7. Cobra70

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Bariki ndoa na si kufunga ndoa

    Ndoa ni nadhiri au maagano mnaojiapiza mbele ya Mungu yaani kwamba mume na mke mtavumiliana kwenye raha na shida. Katika karne hizi vijana mnafunga ndoa kama sanaa za maonesho tu baada ya hapo ni usimbe na umalaya kwenda mbele. Huwezi ukamfahamu mtu tabia yake vizuri ndani ya miezi, mwaka au...
  8. Yofav

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Onyo kwa wanaume mnaotaka kuingia kwenye ndoa

    Habari za muda huu ndugu, jamaa na marafiki zangu wa JF, Leo nitakwenda fastafasta maana hamnilipi, ambae atanielewa sawa ambae atapuuza sawa pia; Kwanza cha kwanza kwa utafiti nilioufanya kwa hizi siku kadhaa nilipokuwa kimya nimegundua kuwa kumbe wanawake wa sasa wanaingia kwenye ndoa kwa...
  9. Dumuzii

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwaka 2017 nilimuokoa kaka yangu wa hiari aliyekuwa anasumbuliwa na ndoa yake

    Kama kawaida katika harakati zangu za hapa na pale nikiwa kwenye fukwe nabalizi akatokea bro mmoja tusie fahamiana ila tulisalimiana na kila mtu akaendelea na mishe zake 2017 hiyo. Baada Kama ya wiki mbili/tatu hivi tunakutana town Tena tukasalimiana na akaniuliza vipi umeenda Tena kule beach...
  10. Jerlamarel

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mambo ya kuzidiana na mambo ya kuwiana kwenye ndoa

    Mume Unatakiwa Umzidi Mkeo Mambo Matatu: 1. Umri 2. Akili 3. Pesa Mke Wako Anatakiwa Akuzidi Mambo Matano: 1. Subira 2. Usafi 3. Upendo 4. Mipango 5. Maombi Mume na Mke Mnatakiwa Muwe Sawa Kwenye Mambo Matatu: 1. Maelewano 2. Uvumilivu 3. Heshima Mbali na hapo tegemea ndoa ndoano.
  11. Nchi Kavu

    JamiiForums Tanzania Utaratibu wa kuvunja ndoa

    Wakuu za asubuhi. Nahitaji kuvunja ndoa niliyomo. Nifika ustawi wa jamii wakasema kwa sasa, yaani muda uliobakia mwaka huu hawafanyi michakato ya talaka. Hiyo hadi mwakani February. Ni sawa? Pia nauliza njia mbadala ya kutengua ndoa bila kupitia ustawi. Ndoa ilifungwa ya kiserikali Ndoa ina...
  12. F

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini ndoa za kizazi hiki zinabagua ndugu?

    Dondoo za kuzingatia katika mjadala:- 1. Ndoa nyingi zimeacha kufanyika baraka kwa ndugu (Charity that does not begin at home). 2. Ndugu za mwanamke akiishi katika ndoa anatoboa kimaisha kuliko ndugu wa mwanaume. 3. Mwanaume akifa jibu ni moja tu kwamba ameuawa na mwanamke, mwanamke akifa...
  13. Msanii

    JamiiForums Tanzania Ndoa ya CCM na Polisi inatuharibia nchi

    Nimekuwa naipinga sana CHADEMA kwa sababu ya uCCM wangu. Lakini kwa hizi pilika zinazofanywa na serikali kukandamiza wapinzani kwa sababu ya kulinda uozo wetu zinanipa mashaka kuwa CCM ndo imekuwa inashika dola na siyo kuongoza dola. 1. Ukikosana na kipngozi wa CCM jiandae kupambana na polisi...
  14. Liverpool VPN

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Let's have man talk:- Hivi ndio vitu mnavyofata kwenye ndoa?

    Wajumbe igweee..... Wale mnaosema sijui nahitaji mwanasaikolojia, hebu Njooni hapa muone Hawa mabaharia wanavyoteseka. Wale mnaosema soon naoa, aisee kilicho bora kwasasa ni KUTAFUTA HELA. Hawa ni wanaume wenzangu NAWAONEA SANAA HURUMA. Ukute wengine nawajui sema ni ID tu ndio zimetufanya...
  15. BAK

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je hivi ndio vyakula vinavyoweza kuimarisha tendo la lako la ndoa?

    Je hivi ndio vyakula vinavyoweza kuimarisha tendo la lako la ndoa? 12 Julai 2019 Imeboreshwa 25 Aprili 2021 CHANZO CHA PICHA, GETTY IMAGES Kama kungekuwa na ushahidi kwamba chakula cha aina moja kinaweza kuimarisha tendo la ndoa na kukuzidishia hamu, huenda kungekuwa na uhaba wa chakula hicho...
  16. Sky Eclat

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa za masikini zinapitia changamoto nyingi sana, kuanzia nafasi ndani ya nyumba.

    Kuna bwana mmoja amejenga nyumba yake, kuna wing ameweka chumba chake self contained na cha mke wake, wanashare sitting room ndogo ambayo ina na fridge la vinywaji, TV na sofa. Anasema anaemhitaji mwenzake anamfuata chumbani kwake. Nilitafakari na kuona hawa wanaishi kwa amani sana. Sasa...
  17. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sababu za uvunjifu wa ndoa na muarubaini wake

    CHANZO CHA UVUNJIFU WA NDOA NA MUARUBAINI WAKE. Katika mambo yanayowadumbua watafiti mpaka leo hii ni suala la kuvunjika kwa ndoa makundi kwa makundi. Kipindi Cha nyuma enzi za mababu zetu ilukuwa jambo la kustaajabisha kumuona mtu kamtaliki mkewe na kuibua maswali mengi bila majibu, lakini...
  18. Noel wa ruben

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimenasa kwenye ulimbo wa ndoa natamani kutoka nashindwa

    Mimi ni kijana ambaye tayari nina miaka 30, nilifunga ndoa yangu mwaka 2019. Ndoa yangu imekuwa ya furaha kwa miezi 6 pekee baaada ya hapo mambo yaliharibika na sijui ni kwanini. Nakumbuka siku moja natoka zangu kazini namkuta wife kajamu, nilipouliza kulikoni sikupata jibu, kuanzia hapo hatuna...
  19. LIKUD

    JamiiForums Tanzania Ya Metacha na mke anaemfanyia jeuri mume wake wa ndoa

    Ukiona mke wako anakufanyia jeuri /kiburi Wala usifikiri anazuzuliwa na MTU maana... Kanakuwaga kajinga jinga Fulani hivi kasiko Na mbele Wala nyuma. Ukitaka ku prove ninacho kwambia, wewe ukiona analeta jeuri muache aende zake tafuta mwanamke mwingine Kazi iendelee. Metacha Kwa jeuri Na...
  20. Mboka man

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uchumba sio ndoa muda wowote unavunjika hivyo ishi na mchumba wako kwa akili

    Jamani,hii ni kengele ya tahadhari kwa wapenzi mlio katika mahusiano zaidi ya miaka mitatu mkiwa wachumba. Kibongobongo tunaita uchumba sugu ambao umeshaliza watu wengi kwani katika kipindi cha uchumba vijana hujifanya wanaekeza kwa wachumba wao vitu vya gharama, wapo wengine walizalishwa...
Back
Top Bottom