karv
JF-Expert Member
- Dec 26, 2019
- 1,799
- 3,221
Habari zenu watanzania wenzangu hasa kwa wale ambao bado hamjaoa
Nimepata kitu nimeona ni bora kuchangia na nyie ambao mnatarajia kuoa siku za mbeleni.
Mambo yenyewe ni hayo hapo
Kwa nini ufungue ndoa na mtu?
~Usifunge ndoa sababu ya msukumo mkubwa wa kihisia au watoto (sababu ya mimba) au mambo ya nje (wazazi, ndugu, marafiki, tamaa ya pesa au mali hii hasa kwa wanawake nakazia hapo).
2)Ni kwa jinsi gani mnaweza kukabiliana na mabadiliko yoyote yatakayo tokea kwenye ndoa yenu?
~Hapa tunazungumzia kufilisika, magonjwa, kufukuzwa kazi nk
3)Unawezaje kukabiliana na kutoelewana kati yenu?
~Hapa ndio linakuja suala zima la uvumilivu pindi mnapokwazana gubu na malalamiko yasiyoisha.
4)Ni kwa muda gani unaweza kuvumilia kuwa mbali na mpenzi wako?
~Hapa nasema na wale ambao wapenzi wao ni watu wa kusafiri au wanatumia muda mwingi kwenye kazi kuliko kuwa na familia au wapenzi wao.
5)Je unataka watoto wangapi na waachane kwa muda gani?
~Usizae watoto ambao huwezi kuwahudumia mwishowe ukakimbia familia bure mwanamke ndio nguzo muhimu katika hili. Nakazia hapo
6)Mtashughulikia vipi maswala ya uzazi?
~kukosa watoto, Nguvu za kiume, kibamia, K mnako wengine bwawa ukikutana na hali kama hiyo utafanyaje. Hapa nakazia shake well before use shake wellll before use welll welll shake before to use it.
7)Utakabiliana vipi na hisia za kingono?
~kwa mfano wewe unataka yeye anakwambia hayupo sawa au hana au wewe unataka yeye yupo hedhi au wakati wewe hamu imepanda yeye hayupo yupo safarini.
8)Maswala ya mali itakuwaje mtashare au kila mtu kivyake? (nakazia hapa)
~utakuta familia mke na mume wote wafanyakazi halafu hela ya mke haionekani inaenda wapi zinatumika za mwanaume tu. Kama mtakubaliana kushare basi kila mmoja kipato chake kiwe wazi kwa mwenzake.
9)Mgawanyo wa kazi utakuwaje?
~Hapa nazungumzia maswala mazima ya uleaji na utunzaji wa familia yenu.
10)Jaribu kukumbuka nyakati ngumu na mlisolve vipi hilo tatizo?
11)Bajeti na maswala ya fedha itakuwa ni jukumu la mmoja kati yetu au wote?
12)Kama kutakuwa na tatizo nani awe mshauri au wapi pa kukimbilia(nakazia hapa)
~Sio kila mtu ni wa kuambiwa matatizo na changamoto za ndoa yenu.
13)Ikitokea tukawa mbali nitamudu vipi hisia zetu?(nakazia hapo)
~Kama mmoja hawezi bora mfatane kama kumbi kumbi tu vinginevyo mtachapiana tu.
14)Nani aache anachopenda kwa ajili ya familia?
~Baba unaweza kuacha kwenda baa jion au ukapunguza ili kutumia muda mwingi na watoto au familia.
~Mama unaweza kuacha safari zisizo na maana kwa ajili ya mume na wanao.
SIRI(nakazia hapa)
~Kuna baadhi ya mambo sio ya kusema ni kunyamaza tu na kukaa kimya.
16)Maswala mazima ya kidini na kiimani yapoje (nakazia hapo)
~Kama ni dini au imani tofauti nani atamfata mwenzie.
17)Je kuna umuhimu wa kushirikishana kihisia?
~Kama show ni mbovu nifanyaje mwenzangu atalipokeaje?
]18)Kipi unapenda kwake kipi hupendi kwake kipi anapenda kwako kipi hapendi kwako ?(nakazia hapa)
19)Safari na mitiko mbalimbali itakuwaje nani anapenda hapendi?
Maswala ya kiuandishi tutasameheana tu
SIJALAZIMISHA MTU KUOA MIMI
NDOA NDOANO
maendeleo hayana chama
NB: PICHA HAIHUSIANI NA UZI
Nimepata kitu nimeona ni bora kuchangia na nyie ambao mnatarajia kuoa siku za mbeleni.
Mambo yenyewe ni hayo hapo
Kwa nini ufungue ndoa na mtu?
~Usifunge ndoa sababu ya msukumo mkubwa wa kihisia au watoto (sababu ya mimba) au mambo ya nje (wazazi, ndugu, marafiki, tamaa ya pesa au mali hii hasa kwa wanawake nakazia hapo).
2)Ni kwa jinsi gani mnaweza kukabiliana na mabadiliko yoyote yatakayo tokea kwenye ndoa yenu?
~Hapa tunazungumzia kufilisika, magonjwa, kufukuzwa kazi nk
3)Unawezaje kukabiliana na kutoelewana kati yenu?
~Hapa ndio linakuja suala zima la uvumilivu pindi mnapokwazana gubu na malalamiko yasiyoisha.
4)Ni kwa muda gani unaweza kuvumilia kuwa mbali na mpenzi wako?
~Hapa nasema na wale ambao wapenzi wao ni watu wa kusafiri au wanatumia muda mwingi kwenye kazi kuliko kuwa na familia au wapenzi wao.
5)Je unataka watoto wangapi na waachane kwa muda gani?
~Usizae watoto ambao huwezi kuwahudumia mwishowe ukakimbia familia bure mwanamke ndio nguzo muhimu katika hili. Nakazia hapo
6)Mtashughulikia vipi maswala ya uzazi?
~kukosa watoto, Nguvu za kiume, kibamia, K mnako wengine bwawa ukikutana na hali kama hiyo utafanyaje. Hapa nakazia shake well before use shake wellll before use welll welll shake before to use it.
7)Utakabiliana vipi na hisia za kingono?
~kwa mfano wewe unataka yeye anakwambia hayupo sawa au hana au wewe unataka yeye yupo hedhi au wakati wewe hamu imepanda yeye hayupo yupo safarini.
8)Maswala ya mali itakuwaje mtashare au kila mtu kivyake? (nakazia hapa)
~utakuta familia mke na mume wote wafanyakazi halafu hela ya mke haionekani inaenda wapi zinatumika za mwanaume tu. Kama mtakubaliana kushare basi kila mmoja kipato chake kiwe wazi kwa mwenzake.
9)Mgawanyo wa kazi utakuwaje?
~Hapa nazungumzia maswala mazima ya uleaji na utunzaji wa familia yenu.
10)Jaribu kukumbuka nyakati ngumu na mlisolve vipi hilo tatizo?
11)Bajeti na maswala ya fedha itakuwa ni jukumu la mmoja kati yetu au wote?
12)Kama kutakuwa na tatizo nani awe mshauri au wapi pa kukimbilia(nakazia hapa)
~Sio kila mtu ni wa kuambiwa matatizo na changamoto za ndoa yenu.
13)Ikitokea tukawa mbali nitamudu vipi hisia zetu?(nakazia hapo)
~Kama mmoja hawezi bora mfatane kama kumbi kumbi tu vinginevyo mtachapiana tu.
14)Nani aache anachopenda kwa ajili ya familia?
~Baba unaweza kuacha kwenda baa jion au ukapunguza ili kutumia muda mwingi na watoto au familia.
~Mama unaweza kuacha safari zisizo na maana kwa ajili ya mume na wanao.
SIRI(nakazia hapa)
~Kuna baadhi ya mambo sio ya kusema ni kunyamaza tu na kukaa kimya.
16)Maswala mazima ya kidini na kiimani yapoje (nakazia hapo)
~Kama ni dini au imani tofauti nani atamfata mwenzie.
17)Je kuna umuhimu wa kushirikishana kihisia?
~Kama show ni mbovu nifanyaje mwenzangu atalipokeaje?
]18)Kipi unapenda kwake kipi hupendi kwake kipi anapenda kwako kipi hapendi kwako ?(nakazia hapa)
19)Safari na mitiko mbalimbali itakuwaje nani anapenda hapendi?
Maswala ya kiuandishi tutasameheana tu
SIJALAZIMISHA MTU KUOA MIMI
NDOA NDOANO
maendeleo hayana chama
NB: PICHA HAIHUSIANI NA UZI