Tangu shambulizi la Hamas kule Israel October 7, 2023. Israel imepigana vita na takribani nchi tatu zenye jumla ya watu 103,855,658.
Nchi ni:
1. Palestine yenye jumla ya watu 5,589,623
2. Lebanon 5,848,354
3. Iran 92,417,681.
Wakati Israel yenyewe Ina jumla ya watu 9,513,978.
Yaani ni sawa...