nauza

  1. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Nauza kitabu Cha KISWAHILI Poor Dad, Rich Dad Cha Robert Kiyosaki - 10,000 Tsh

    Kama unatafuta kitabu Cha Robert Kiyosaki kwa lugha ya kiswahili Cha Rich Dad, Poor Dad kipo Bei 10,000 Tsh natuma WhatsApp au kwa email, Karibu nicheki 0756704145
  2. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Kitabu cha Henoko (biblia hakipo) Cha kiswahili nauza 5000 Tsh

    Kitabu cha Henoko (biblia hakipo) Cha kiswahili nauza 5000 Tsh. Tuma pesa kwenda M-PESA 0756704145 nakutumia kitabu chako WhatsApp au kwenye email
  3. Q

    JamiiForums Tanzania Nauza eneo lililo chimbwa mchanga.. ukubwa heka moja misugusugu kibaha

    Eneo lipo nyuma ya kiwanda cha Lake steel misugusugu.. limechimbwa mchanga Ni Zuri Kwa ufugaji.. au kulisawazisha Na kuweza kukata viwanja.. karibun
  4. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Kitabu cha Henoko (biblia hakipo) cha kiswahili nauza 5000 Tsh

    Kitabu cha Henoko (biblia hakipo) cha kiswahili nauza 5000 Tsh. Tuma pesa M-PESA kwenda namba 0756704145 nicheki WhatsApp nikutumie kitabu au kama una email natuma
  5. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Kitabu Cha enoko kwa lugha ya kiswahili nauza 5000 tsh

    Kitabu Cha Enoko ambacho hakipo kwenye biblia za sasa kwa lugha ya kiswahili nauza 5000 tsh, natuma WhatsApp ni PDF muundo, nicheki WhatsApp 0756704145, napatikana Dar es salaam, Mbezi
  6. K

    JamiiForums Tanzania Nauza Earpods

    Nauza Earpods Ni wireless zipo 5opc bei 20000. Nipo Kariakoo Dar Es Salaam. Nichek 087442427363.
  7. bob_fundi

    JamiiForums Tanzania Nauza asali ya nyuki wakubwa

    Habari wana JF Kama kichwa kinavyo jieleza hapo juu☝️. Nina asali ya nyuki wakubwa 80L Kwa anaye hitaji anaweza nicheki pm au kwa namba yangu cm tufanye biashara . ☎️0744355748 normal call &WhatsApp ✅️ Matajiri 250,000/= kwa lita 20
  8. M

    JamiiForums Tanzania NAUZA SIMU

    GB 64 RAM 4 Wazee Sim Iyo ZTE Ni Ya Mkopo Nimelipa Ela Bado Kidogo sana Nimalize Sema nimepata sim nyengine Hii naitoa Laini yake yakulipia Ipo nakupa sim Ina Clek Lakn inapiga KAZI Fresh kilakitu BEI 55 Chapu Au piga sim tuongee 0612323330
  9. chibe dayo

    JamiiForums Tanzania Nauza mafuta ya alizeti

    Habari wanajamvi! Mimi nauza mafuta ya alizeti kutoka mkoani singida popote yanafika bei ya Lita ni shillingi elf 6 na punguzo lipo mtu akichkua Mengi Asante
  10. P

    JamiiForums Tanzania Kwa wakazi wa mwanza nauza kabati la chipsi laki mbili tu

  11. S

    JamiiForums Tanzania TV4Sale Nauza TV Samsung inch 55, bei kitonga

    TV imetumika miezi 4, bei 1,200,000 Tu. Location: Jet Lumo (Dar es salaam) Contact: 0620813101
  12. E

    JamiiForums Tanzania Nauza script mbili (2) za movie

    Mimi ni Mwandishi wa Simulizi, kwa sasa ninazo simulizi Mbili za Maisha, ambazo wacheza filam wanaweza kuzitumia kuigiza. Kwa anayehitaji, tuwasiliane Whatsapp 0768615672
  13. W

    JamiiForums Tanzania I am selling beeswax-nta

    Hello I am looking for raw beeswax buyers, I have 4+ tonnes. Hello, habari, ninauza nta Kama unamfahamu mnunuzi naomba uniconnect nae 0714626263/0625609946
  14. C

    JamiiForums Tanzania Nauza washing machine aina ya panasonic

    Machine ya kufulia na kukaushia b aina ya Panasonic bei laki 3 na 20 0740404030
  15. C

    JamiiForums Tanzania Nauza kabati la kioo

    Habari wadau nipo Morogoro mjini nauza kabati la kioo, bei laki 3 na 50.
  16. E

    JamiiForums Tanzania TV4Sale Nauza Brand New Vitron Tv's

    VITRON SMART TV 4k ✨ Ina Bluetooth Frameless 50"inches 💰 680,000/= 💰 1 YEAR WARRANTY ✅ CALL/SMS/WHATSAPP 0683731404
  17. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Nauza suzuki swift

    Nauza suzuki swift, bei ni 4.8 million. Niko Kibaha maili moja, piga 0713 039 875.
  18. L

    JamiiForums Tanzania Wakuu nna biashara nyingine nauza

    Habari za Jumamosi Wakuu,nna biashara wakubwa zangu nauza,biashara hizo ni pamoja na (1)Samick 12 Channel Mixing Console Model no SM-1200p hii naitakia 500,000. (2)Jebson SD 1 Table top Mixer hii naitakia 400,000. (3)Lenovo Mini Laptop,Battery iko poa sana 2hr,hii naitakia 200,000.Naambatanisha...
  19. Ummmmkimkana

    JamiiForums Tanzania Nauza vifungashio

    Nauza vifungashio... mifuko laini Ile ya kuingia kilo moja Hadi kilo mbili....ni mizuri mipana na haivuji wala kuachia chini pindi unapobeba bidhaa... nauza kwa bei ya jumla pisi moja zinakaa nyanda 35...nauza kwa mia9 tu...oda kuanzia pisi 10 nakuendelea.. napatikana chamazi mawasiliano...
  20. S

    JamiiForums Tanzania Nauza mashine ya kucha bei kitonga 80k tu

    Contact 0620813101 karibuni
Back
Top Bottom