Natafuta Kazi: Nina Uzoefu Miaka 10 + Ujuzi Maeneo Zaidi Ya 17

stevhinoz

JF-Expert Member
Jun 15, 2021
216
480
Habari za majukumu ndugu zangu!

Nawasilisha hapa ombi kwa yoyote ataeguswa na kunisaidia kupata kazi.

Nimefanya kazi kwa miaka 10 katika maeneo tofauti mpaka mwaka 2020 ndio ilikuwa mara yangu ya mwisho kupata ajira. Kilichotokea ni kwamba mradi niliokuwa nafanya kazi ulifika mwisho na shirika halikuwa tena na miradi mipya hivyo tukapewa barua za kusitishiwa mikataba.

Tangu hapo nimekuwa nikitafuta ajira lakini sikubahatika na ndani ya hii miaka miwili nimefanikiwa kuitwa interview kadhaa, lakini zote sikufanikiwa kuitwa kwenye ajira. Nimejaribu kufanya vitu mbalimbali ili kujiingizia kipato lakini pia sijapata matokeo mazuri, hivyo basi naomba anaeweza nisaidia kwa namna yoyote niweze kupata ajira.

Maana kiukweli nimetumia maarifa yangu yote kama binadamu lakini naona sasa nahitaji mtu au watu wa kunishika mkono.

Nipo tayari kufanya kazi ya namna yoyote ilimradi iwe tu ni halali.

Kwa sasa napatikana Dar es Salaam ila nipo tayari kufanya sehemu yoyote ndani na nje ya nchi.

Wasifu wangu usikuzuie kunipa nafasi (kuna sehemu kwenye interview niliambiwa nina-overqualify wakati mimi nilikuwa tayari kufanya zile kazi 😞😞)

Elimu yangu

BA with Education
Master of Public Administration

Certificates
Risk Management for Civil Societies, Microfinances and Public Entities
COVID 19 - Community Engagement
Prevention of Sexual Exploitation and Abuse
Security Awareness in the Field (BSAFE)

Uzoefu wangu

Work experience


School leadership & Practical teaching experience

Research Supervisor - health project

Capacity Development - NGO

Community Participation - USAID project

Volunteer experience

English to Swahili Language Translation (2 UNDP case studies)

Team Leader – Online Campaign (Facebook, Twitter & Instagram)

Ujuzi wangu
  • Project Planning and Management
  • Communication (Public speaking , creative writing, good listener)
  • Research (data collection, designing data collection tools, data analysis & presentation)
  • Capacity building
  • Resource Mobilization
  • Training & Coaching
  • Monitoring, evaluation, and learning
  • Community participation strategies
  • Content and curriculum development
  • Graphic design (Canva & Adobe Illustrator)
  • Proposal Writing
  • Developing case studies and stories of change
  • Copywriting & Editing
  • Campaigns development and follow-up
  • Social media management
  • English <> Swahili translation
  • Microsoft Office (PowerPoint, Outlook, Excel and Word)
  • Google Drive (Docs, Sheets, Slides, Forms)
  • Spreadsheets (Excel, Google Sheets)
  • Digital Communication (Email, Skype, Zoom, Google Hangouts, Microsoft Teams)
Aliye tayari kunipa support yoyote, tuwasiliane PM au kwa email: stevhinoz@gmail.com
 
Kazi za private zinachangamoto sana ndo maana mimi nilishtuka mapema nikabadilisha upepo japo kulikuwa na maslahi kuliko government ila usichoke mkuu endelea kupambana.
 
Kazi za private zinachangamoto sana ndo maana mimi nilishtuka mapema nikabadilisha upepo japo kulikuwa na maslahi kuliko government ila usichoke mkuu endelea kupambana.
Asante kaka naendelea kupambana, kukata tamaa sio option.
 
Habari za majukumu ndugu zangu!

Nawasilisha hapa ombi kwa yoyote ataeguswa na kunisaidia kupata kazi.

Nimefanya kazi kwa miaka 10 katika maeneo tofauti mpaka mwaka 2020 ndio ilikuwa mara yangu ya mwisho kupata ajira. Kilichotokea ni kwamba mradi niliokuwa nafanya kazi ulifika mwisho na shirika halikuwa tena na miradi mipya hivyo tukapewa barua za kusitishiwa mikataba.

Tangu hapo nimekuwa nikitafuta ajira lakini sikubahatika na ndani ya hii miaka miwili nimefanikiwa kuitwa interview kadhaa, lakini zote sikufanikiwa kuitwa kwenye ajira. Nimejaribu kufanya vitu mbalimbali ili kujiingizia kipato lakini pia sijapata matokeo mazuri, hivyo basi naomba anaeweza nisaidia kwa namna yoyote niweze kupata ajira.

Maana kiukweli nimetumia maarifa yangu yote kama binadamu lakini naona sasa nahitaji mtu au watu wa kunishika mkono.

Nipo tayari kufanya kazi ya namna yoyote ilimradi iwe tu ni halali.

Kwa sasa napatikana Dar es Salaam ila nipo tayari kufanya sehemu yoyote ndani na nje ya nchi.

Wasifu wangu usikuzuie kunipa nafasi (kuna sehemu kwenye interview niliambiwa nina-overqualify wakati mimi nilikuwa tayari kufanya zile kazi )

Elimu yangu

Masters + certificates mbalimbali

Uzoefu wangu

Work experience


School leadership & Practical teaching experience

Research Supervisor - health project

Capacity Development - NGO

Community Participation - USAID project

Volunteer experience

English to Swahili Language Translation (2 UNDP case studies)

Team Leader – Online Campaign (Facebook, Twitter & Instagram)

Ujuzi wangu
  • Project Planning and Management
  • Communication (Public speaking , creative writing, good listener)
  • Research (data collection, designing data collection tools, data analysis & presentation)
  • Capacity building
  • Resource Mobilization
  • Training & Coaching
  • Monitoring, evaluation, and learning
  • Community participation strategies
  • Content and curriculum development
  • Graphic design (Canva & Adobe Illustrator)
  • Proposal Writing
  • Developing case studies and stories of change
  • Copywriting & Editing
  • Campaigns development and follow-up
  • Social media management
  • English <> Swahili translation
  • Microsoft Office (PowerPoint, Outlook, Excel and Word)
  • Google Drive (Docs, Sheets, Slides, Forms)
  • Spreadsheets (Excel, Google Sheets)
  • Digital Communication (Email, Skype, Zoom, Google Hangouts, Microsoft Teams)
Aliye tayari kunipa support yoyote, tuwasiliane PM au kwa email: stevhinoz@gmail.com
Una bachelor ya nini na masters ya nini mkuu??
 
Ina maana mkuu kufanya kazi miaka yote hiyo bado hujapata exposure ili ujiajiri mwenyewe, nadhani ulipaswa wakati huu uwe umetengeneza ajira kadhaa kwa wtz wenzio wenye elimu ya chini, mtu una masters lakini unalilia ajira au ni shabiki wa makolo wewe.
 
Kajisajili kwenye job portal za cvpeople na tanzajobs wapo vizuri ukimatch na clients wao wanakuunganisha ukafanye interview.

Job portal nyingine ni biashara tu matapeli usiangaike nazo tena kuna moja nilikuwa naiheshimu siku hizi inatoza pesa kukuconnect na mwajiri miranda kweli kafulia
 
Mkuu usitoe hukumu kama hujui nini mtu amepitia mpaka anafikia kuomba support. Binadamu tunapitia mitihani mingi na sio busara kulialia sana kwa watu ndio usaidiwe.

Kwenye maisha kuwa na masters, ujuzi na experience sio ufunguo kwamba utafanikisha kila ulitakalo. Kuna wakati unajaribu kufanya kila kitu ikiwemo kuanzisha projects binafsi lakini matokeo yanakuja tofauti, kama wewe Mungu amekujalia kila unalofanya linafanikiwa basi mshukuru sana na endelea kusali sana hizo baraka zisiyeyuke.

Pamoja na juhudi zetu na akili zetu maisha kufanikiwa yanategemea kudra na baraka za mwenyezi Mungu. Kama wakati wako haujafika hakuna ujanja unaweza fanya.

Ndio maana nimeomba support sababu naamini Mungu ana njia zake nyingi za kugawa baraka zake sometimes anatumia watu tusiowajua.
 
Kajisajili kwenye job portal za cvpeople na tanzajobs wapo vizuri ukimatch na clients wao wanakuunganisha ukafanye interview.

Job portal nyingine ni biashara tu matapeli usiangaike nazo tena kuna moja nilikuwa naiheshimu siku hizi inatoza pesa kukuconnect na mwajiri miranda kweli kafulia
Asante CV people nimejisajili muda tu nitafanya hivyo na tanzajobs ngoja niitafute
 
mkuu ficha vyeti vingine kwenye Kumomba kazi utavitoa huko mbeleni
Uwa naweka mpaka cha form 6 inategemea na aina ya kazi. Shida ni kwamba pass mark zangu zilikuwa kubwa inakuwa ngumu kumueleza mtu why una marks za kuwa chuoni na upo mtaani miaka yote hiyo.

Mimi sichagui kazi ila waajiri wanakuwa na judgement yao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom