Habari za wakti huu;
Kwa jina naitwa Libera Niko Arusha ni binti wa miaka 22.Ninafanya biashara ya kuuza website na bidhaa nyingine za kidigitali.Mwanzoni nilikuwa nafanya shughuli ndogo ndogo lakini nikapata mwalimu akanifundisha jinsi ya kutengenza website kwa kutumia wordpress.Kwa sasa natafuta wateja ambao wanaweza kuniunga mkono katika biashara yangu ili niweze kumudu maisha na kuepuka kuwa Tegemezi.
Najua kuna watu ambao wanahitaji websites huku.Naomba mniunge mkono mimi mdogo yenu.Kama utakuwa Arusha au mkoani nitakufanyia kazi kwa uaminfu mkubwa na gharama nafuu.
Gharama zangu ni kama ifuatavyo:
Domains zote zinaanzia shiling 35000 kwa mwaka
Hosting ya wordpress inaanzia shilingi 45,000 kwa mwaka uunapata 3mail 2
Designing ya website nafanya 15000 kwa kila page
Hosting kwa CPANEL inaanzia shilingi 115000 kwa mwaka unakuwa na email kwa idadi yoyote
Email za google workspace ni shilingi 16500 kwa mwezi kwa moja domain ni 35000 kwa mwaka
Dedicated server kwa ajili ya hosting inategemea na size unayotaka
Mfumo wakutunza kumbukumbu za biashara kwa njia ya mtandao ni shilingi 35000 kwa mwaka
Mfumo wa kutunza kumbukumbu za biashara wa kuinstall kwenye mashine yako ni shilingi 25000(Nainstall remotely)
Mfumo wa EFD kwa njia ya intanet ambao unaweza kutumia kwenye compyuta au simu bila kuhitaji mashine za efd za kawaida ni shilingi 175,000 kwa mara yakwanza na shiling 70,000 kila mwaka.Ukihitaji pamoja na printer maalum ya risiti ni shilingi 325,000
Iwapo unaweza kuniunga mkono au unamfahamu mtu anayehitaji moja ya huduma hizi naomba tuwasiliane pm au nitumie email:liberaenock1@gmail.com
Asanteni na Mungu awabariki
Kwa jina naitwa Libera Niko Arusha ni binti wa miaka 22.Ninafanya biashara ya kuuza website na bidhaa nyingine za kidigitali.Mwanzoni nilikuwa nafanya shughuli ndogo ndogo lakini nikapata mwalimu akanifundisha jinsi ya kutengenza website kwa kutumia wordpress.Kwa sasa natafuta wateja ambao wanaweza kuniunga mkono katika biashara yangu ili niweze kumudu maisha na kuepuka kuwa Tegemezi.
Najua kuna watu ambao wanahitaji websites huku.Naomba mniunge mkono mimi mdogo yenu.Kama utakuwa Arusha au mkoani nitakufanyia kazi kwa uaminfu mkubwa na gharama nafuu.
Gharama zangu ni kama ifuatavyo:
Domains zote zinaanzia shiling 35000 kwa mwaka
Hosting ya wordpress inaanzia shilingi 45,000 kwa mwaka uunapata 3mail 2
Designing ya website nafanya 15000 kwa kila page
Hosting kwa CPANEL inaanzia shilingi 115000 kwa mwaka unakuwa na email kwa idadi yoyote
Email za google workspace ni shilingi 16500 kwa mwezi kwa moja domain ni 35000 kwa mwaka
Dedicated server kwa ajili ya hosting inategemea na size unayotaka
Mfumo wakutunza kumbukumbu za biashara kwa njia ya mtandao ni shilingi 35000 kwa mwaka
Mfumo wa kutunza kumbukumbu za biashara wa kuinstall kwenye mashine yako ni shilingi 25000(Nainstall remotely)
Mfumo wa EFD kwa njia ya intanet ambao unaweza kutumia kwenye compyuta au simu bila kuhitaji mashine za efd za kawaida ni shilingi 175,000 kwa mara yakwanza na shiling 70,000 kila mwaka.Ukihitaji pamoja na printer maalum ya risiti ni shilingi 325,000
Iwapo unaweza kuniunga mkono au unamfahamu mtu anayehitaji moja ya huduma hizi naomba tuwasiliane pm au nitumie email:liberaenock1@gmail.com
Asanteni na Mungu awabariki