Habari,
Natafuta chumba single self cha kupanga Mwanza maeneo ya Airport road au njia ya Nyasaka.
Kisiwe mbali na kituo cha daladala. Kisizidi Tsh. 80,000/=
Nina startup natafuta watu wanaojua ku-calculate molecular mechanics kwa kutumia LAMMPS, thermodynamics na Quantum mechanics lengo ni ku-analyze protein ili kujua quantitative functions at molecular level in terms of;-
Strain energy
Heat of formation
Dipole moment
Vibrational frequencies...
Nina startup natafuta watu wanaojua ku-calculate molecular mechanics kwa kutumia LAMMPS, thermodynamics na Quantum mechanics lengo ni ku-analyze protein ili kujua quantitative functions at molecular level in terms of;-
Strain energy
Heat of formation
Dipole moment
Vibrational frequencies...
Naombeni tafsiri ya Ndoto hii.
somo rahis kwangu skuli ilikua ni Mathematics.
"Nimeota nafanya mtihani wa Math, Mwanzo napokea mtihani niliona mrahis na una maswali 10.
Cha ajabu nilipoanza kufanya huo mtihani, kila swala nililo anza nalo kufanya lilikua gumu balaaa..
hadi ndoto kuisha.
Habari zenu natumaini wote ni wazima na ambao sio wazima mungu awabariki na kuwatia nguvu mrudi kwenye hali zenu za kawaida.
Kama kichwa cha habari kinavyosema mimi ni kijana nina degree ya human resource management nilikuwa naitafuta sehemu ya kujitolea katika mkoa wa Tanga yeyote mwenye...
Hbr kwenu wadau.
Kama heading inavyosomeka hapo juu m ni mkulima nipo Dar ila mwaka huu Kuna changamoto nimepitia kiasi cha kupoteza mtaji wa kilimo.
Sasa natafuta mtu mwenye mtaji tushirikiane kwenye kilimo cha vitunguu. Nitakuwa tayari kwa mashart yeyote utakayotaka.
Asanteni
Habari wadau, mimi ni kijana wa kitanznia umri wa miaka 21, naishi Dar es salaam.
Nina elimu ya stashahada; natafuta kazi kama graphic designer. Nina uzoefu wa miaka miwili nina uzoefu wa designing pia computer skills, marketing, communication skills niko flexible kwenda popote na naahidi...
Mimi ni muhitimu was kidato cha sita masomo ya sanaa, kwa sasa najishughilisha na ufundi wa maji safi na taka majumbani (plumbing) ujuzi niliojifunza mtaani na mpaka sasa nina uzoefu wa miaka miwili.
Napatikana mkoa wa Kilimanjaro wilaya ya Hai ila popote nafika.
Ikiwa wahitaji huduma yangu...
Njaa kali, majukumu mengi na umri unasogea hata mtaji wa kuanzisha biashara ndogo imeshindikana.
Mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe ni kweli lakini kila ninachopata kidogo kinaenda kwenye majukumu ya kulea familia. (mkataba wangu wa kazi umeisha).
Nina uzoefu kwenye sales and customer...
Habari wakuu,
Nilikuwa natafuta mtu/kampuni inayosupply karatasi zile za kaki zinafanana na mfuko wa karatasi au bahasha.
Wapi zinapatikana au mwenye mawasiliano msaada tafadhali.
Habari Wapendwa, Mimi ni kijana wa kike Nina umri wa miaka 35, Elimu yangu kidato cha nne na Nina certificate ya secretarial.
Natafuta kazi kati ya hizi:-
Secretary
Stationary
Reception
Costumer care
Nina uzoefu wa kazi kwa miaka 10 katika computer full na stationary service. Nimewahi kufanya...
Habari,
Mimi ni binti wa miaka 24
Nahitaji kazi za online
Ninaishi Dar es Salaam, Mbezi Mwisho
Secretary, Customer service
Nina Diploma ya Communication
Pia Ninajua kuzungumza English
Pia najua kutumia computer na ku-correct grammar kwenye documents yoyote
Wadau habari za siku nyingi, mimi ni miongoni mwa wadau wanaotarajia kurejeshea kazini upya.
Nimepambana vya kutosha ishu ni kwamba mpaka sasa sijapata jibu la mwisho ukiangalia ni miaka zaidi ya minne mpaka sasa ishu yangu naambiea iko kitengo cha usalama Utumishi je ni mpaka lini au ni Mambo...
Hbr Jf,
Natafuta binti mrembo wa kuoa, awe na sifa zifuatazo:
Awe ameamua kutulia na kuanzisha familia
Awe mrembo wa sura
Asiwe mlevi
Umri usizidi miaka 28
Elimu ya chuo na kuendelea
Asiwe na mtoto
Sifa zangu:
Mkristo
Nina umri wa miaka 35
Situmii kilevi chochote
Nimeajiriwa, kipato cha...
Habari yako,
Nakuja hapa kuomba msaada kwa yeyote yule mwenye kujua ni kiwanda kipi ndani ya Dar au pwani kinachopokea kibarua naomba anifahamishe maana natafuta kazi kwenye kiwanda chochote kile kinachopokea kibarua.
Life langu kwa Sasa nahemea mipila kwa anaejua msaada Wana jf.
Asante sana.