Mwanza kabisa. Karibu sana machinjioni unaweza pata kibarua cha kuuza nyama.Habari zenu Wana JF natafuta kazi ya kuuza duka, usafi maofisini au viwandani
Elimu: kidato Cha sita
Jinsa: Mwanamke
Umri; 25
Mahali: Mwanza
Asante 🙏 Ila mtaji ndo changamoto kubwaMwanza kabisa. Karibu sana machinjioni unaweza pata kibarua cha kuuza nyama.
kina mama wenzio wamejiajiri sana hapa kwa mtaji wa 50,000
View attachment 2191517
Nipe namba pm tuongeeAsante 🙏 Ila mtaji ndo changamoto kubwa
kwa kwel n matatizo enzi za nyerere kila level ya elimu ulikua ukimalza upo competent japo kuajirika lakn elim ya ck iz matatzoo kwel tunaishiaa kujua kuandika essay,[emoji24][emoji24][emoji24][emoji18][emoji18][emoji24]Elimu ya bongo hovyo kweli
Yaan mtu akimaliza form six hanaga anachokijua zaid ya kuandika essay etc
Na kama amesoma sayansi ni kupasua vyura tu.Elimu ya bongo hovyo kweli
Yaan mtu akimaliza form six hanaga anachokijua zaid ya kuandika essay etc
Hata Mimi mkuukama unajua kutumia laptop na unaelewa kiingereza vizuri na uko tayari kufanya kaz sometimes 12 hrs to 13 hrs a day njoo PM. Salary nzuri tu
Mkuu na mimi 0626760252kama unajua kutumia laptop na unaelewa kiingereza vizuri na uko tayari kufanya kaz sometimes 12 hrs to 13 hrs a day njoo PM. Salary nzuri tu
Kijiji chetu hakina butchery nyama tunanunua kijiji cha jirani lakini ingekua nyama nakuta imewekwa chini kama hivyo nisingenunua.Mwanza kabisa. Karibu sana machinjioni unaweza pata kibarua cha kuuza nyama.
kina mama wenzio wamejiajiri sana hapa kwa mtaji wa 50,000
View attachment 2191517