Natafuta kazi ya kujitolea Tanga

mwanahabari93

JF-Expert Member
May 20, 2015
263
169
Habari zenu natumaini wote ni wazima na ambao sio wazima mungu awabariki na kuwatia nguvu mrudi kwenye hali zenu za kawaida.

Kama kichwa cha habari kinavyosema mimi ni kijana nina degree ya human resource management nilikuwa naitafuta sehemu ya kujitolea katika mkoa wa Tanga yeyote mwenye kujua taasisi ambazo naweza kupata fursa hiyo ya kuongengeza ujuzi katika career yangu anisaidie kwa kuni PM.

Pia mtu ambae anaweza kunishauri chochote juu ya kukuza career yangu nitashukuru. Na pia kama kuna mtu ambae ana uelewa mkubwa naweza kumuomba muda wake tukakutana nakuzungumza na kunisaidia kwa ushauri.

Mungu awabariki sana. Tuishi kwa kupendana na kusaidiana
 
Peleka barua kwenye taasisi unazohisi zinaweza kukupa nafasi.
Hapa JF wengi ni waajiriwa wa nafasi za kati na chini hawafanyi maamuzi ya taasisi.
 
Andika barua ya maombi Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya uliyopo pia. Waweza pata hio nafasi ya kufanya kazi kwa kujitolea.
 
Habari zenu natumaini wote ni wazima na ambao sio wazima mungu awabariki na kuwatia nguvu mrudi kwenye hali zenu za kawaida.

Kama kichwa cha habari kinavyosema mimi ni kijana nina degree ya human resource management nilikuwa naitafuta sehemu ya kujitolea katika mkoa wa Tanga yeyote mwenye kujua taasisi ambazo naweza kupata fursa hiyo ya kuongengeza ujuzi katika career yangu anisaidie kwa kuni PM.

Pia mtu ambae anaweza kunishauri chochote juu ya kukuza career yangu nitashukuru. Na pia kama kuna mtu ambae ana uelewa mkubwa naweza kumuomba muda wake tukakutana nakuzungumza na kunisaidia kwa ushauri.

Mungu awabariki sana. Tuishi kwa kupendana na kusaidiana
Lengo letu kubwa la sisi kujitolea ni kupata ajira kwa baadae, na kwa hali ilivyo sasa ajira nying serikalin zinapita utumishi.sasa unaweza kujitolea na bado ukakosa kazi,,nakushauri ungeomba kujitolea hasa hasa kwenye private sector kama kwenye mashirika ya miradi mbalimbali,, kama kwa serikalin labda ujitolee kwenye taasisi zinazoajiri zenyewe..
 
Lengo letu kubwa la sisi kujitolea ni kupata ajira kwa baadae, na kwa hali ilivyo sasa ajira nying serikalin zinapita utumishi.sasa unaweza kujitolea na bado ukakosa kazi,,nakushauri ungeomba kujitolea hasa hasa kwenye private sector kama kwenye mashirika ya miradi mbalimbali,, kama kwa serikalin labda ujitolee kwenye taasisi zinazoajiri zenyewe..
Mkuu kwenye kujitolea mi naona afanyie kokote private ama Ofisi za umma kikubwa Ofisi iwe na jina kubwa. Hapo ataishibisha Resume yake sio lazima alenge pale anapotaka aajiriwe. Kikubwa akipata ile barua kutoka ofisini kuonesha anajitolea sehem flan ndio itakayomsaidia kuvutia waajiri akienda kwenye mainterview sehem zengine maana siku hizi work experience ndo kigezo chao.
 
Mkuu kwenye kujitolea mi naona afanyie kokote private ama Ofisi za umma kikubwa Ofisi iwe na jina kubwa. Hapo ataishibisha Resume yake sio lazima alenge pale anapotaka aajiriwe. Kikubwa akipata ile barua kutoka ofisini kuonesha anajitolea sehem flan ndio itakayomsaidia kuvutia waajiri akienda kwenye mainterview sehem zengine maana siku hizi work experience ndo kigezo chao.
Yaaa.ni kweli mkuu, japo siku hizi unaweza kwenda kwenye ofisi Fulani unaomba ujitolee hata bure lakini bado wanakukatalia
 
Mkuu kwenye kujitolea mi naona afanyie kokote private ama Ofisi za umma kikubwa Ofisi iwe na jina kubwa. Hapo ataishibisha Resume yake sio lazima alenge pale anapotaka aajiriwe. Kikubwa akipata ile barua kutoka ofisini kuonesha anajitolea sehem flan ndio itakayomsaidia kuvutia waajiri akienda kwenye mainterview sehem zengine maana siku hizi work experience ndo kigezo chao.
Umenena vyema na ni ushauri mzuri sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom