natafuta

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    JamiiForums Tanzania Natafuta gari ya hesabu ( bolt na uber )

    natafuta gari ya hesabu ( bolt n uber ) na uzoefu wa miaka mi tatu na vigezo vyote na leseni no zangu ni 0699448532
  2. puker

    JamiiForums Tanzania Natafuta mtaalamu wa picha mjongeo (Animation)

    Habari, nahitaji mtu anaweza kutengeneza picha mjongeo aina ya Animation. Kwa mawasiliano Zaid karibu inbox
  3. U

    JamiiForums Tanzania NATAFUTA OFFICE ZA WORLD VISION DSM

    wakuu.habari za jioni samahani Kwa wakazi wa dsm naombeni mnisaidie office za world vision nimeangakia kwenye web inaonekana Iko mikocheni karbu na makumbusho bahati mbaya nimefika juzi naambiwa wamehama na hawajui wamehamia wapi na email hawajibu simu Yao pi ni zile za mezani...
  4. jamaikatz

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi yoyote nipo kahama

    Habari wana jf , mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22 nipo kahama mjini elimu yangu ni kidato cha nne , natafuta kazi yoyote ile ya kufanya . namba yangu ni 0715308721
  5. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Natafuta stering rack, ya suzuki swift

    Habari wakuu Naomba niulizie stering rack, ya suzuki swift ,maana stering imekuwa ngumu.(Stering ya umeme ,siyo ya hydraulic). Niko Kibaha maili moja Piga 0713 039 875
  6. Amba Samedi

    JamiiForums Tanzania Natafuta Dalali/Mwanamasoko kwa ajili ya app/software yangu

    Habari wanaJF, Salam nyingi kutoka Morogoro Tanzania. Nimemaliza siku salama, na natumaini mambo yenu yanaenda Nina series of softwares nlizotengeneza kwa ajili ya kurahisisha kazi kwq wateja wangu na wateja wao. Hizi ni pamoja na 1. Mfumo wa supplies. Kuna jamaa mmoja mwenye butcher...
  7. U

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, nina diploma ya ualimu wa sekondari

    Natafuta kazi wanandugu nina diploma ya secondary education mwalimu wa biology naishi Dar es salaam. Mbarkiwe.
  8. OfficilaNdurotz

    JamiiForums Tanzania NATAFUTA KAZI

    Habari wana JFM Mimi nikijana wa kitanzania,niko na uhitaji wa kazi yeyote iliyo halali. Lakini pia nimesomea shahada ya Information Technology ,mwenye connection na kazi naomba anisaidie . Napatikana singida Tanzania. Email: samwelnduro@gmail.com Phone:0744968695
  9. Nusratt

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta Kaka au Dada wa hiyari wa kuchat nae nje ya Jamii Forums

    Ni dada wa miaka 45 Nimepanga Sijaolewa Ni mfanyabiashara ndogondogo Niko jijini Dar Es Salaam Nitashukuru sana.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi

    Ndugu zangu nahitaji kazi nipo KIBAHA MAILI MOJA, Kazi nazoweza kufanya ni 1.Ulinzi 2. Kuhudumia wateja eneo lolote la biashara au bar 3. kazi zote za nguvu hata viwandani 4. kazi za hotelini Kama una kazi nipigie 0681050265 Asante. 🙏
  11. F

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi

    Naitwa Fredy Gendo, nipo Kilimanjaro Moshi, natafuta kazi nimesomea uongozi wa biashara ngazi ya cheti na nina VIP katika upande wa udereva, naomba msaada wenu wadau, barikiwa.
  12. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Nina wazo la biashara mlimani City natafuta muwekezaji, wazo zuri ninalo

    Nina wazo la biashara mlimani City natafuta muwekezaji, wazo zuri ninalo Naishi mkoa wa Dar es salaam -> mawasiliano: inbox
  13. I

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi yoyote ya kuendesha maisha

    Habari wanaJF, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, elimu yangu ni bachelor degree in Logistics and Transport Management, naomba nafasi ya kazi yoyote ile itakayosaidia kuendesha maisha
  14. Malafyale

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mke awe na watoto tayari angalau wa 5 au zaidi

    Kichwa cha habari chajieleza. Tafiti zangu za muda mrefu zimeonyesha kuwa uaminifu kwa sasa ni kitu adimu sana kwa wana ndoa. Hivyo basi mm Malafyale muda wa kuoa umefika,natafuta mwananke aliye tayari kuolewa na mm awe na watoto angalau wa 5 au zaidi,na haijalishi hao watoto kazaa na wanaume...
  15. Tundazuri

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mwanaume Dodoma

    Kama ww ni mwanaume una stress za mapenzi, kazi au familia naomba tukutane nikufariji tulewe tupate tabasamu jipya. Usiri ni muhimu, so unaweza kuwa huru na mimi kusema chochote usiumie mwenyewe moyoni usije ukafa mapema jamani. Wanaume mnauguliaga ndani maumivu so nipo kwa ajili ya kuponya...
  16. J

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi Arusha

    Habari zenu natafuta kazi maeneo ya Arusha nina degree ya Umeme, mwenye connection ya kazi za viwandani, kampuni, dukani, supermarket, sheli naomba anisaidie. Natoa shukran kwa wote
  17. T

    JamiiForums Tanzania Wakuu natafuta kazi Leo ni weekend ya mwisho kesho ni mapambano

    Mambo vipi wakuu, je ni kwema, Leo ni siku ya mwisho ya mapumziko wakuu, kesho tukiamka salama ni siku ya mapanbano lakini Mimi ndugu natafuta kazi iwe mkoa wowote Mimi nakuja kufanya kazi, Sijasoma sana nimeishia form 2 tu ndugu zangu Sina ujuzi wowote ule lakini naweza nikioneshwa kazi...
  18. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mpenzi

    Natafuta mpenzi Jinsia yangu Me Umri 33 Makazi dar Mpenzi ninayemtaka awe anaishi dar pia. Umri wowote
  19. 2

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta rafiki wa kike

    Sifa zangu 1) Spiritual lakini siamini katika dini za watu weupe 2) Culture ya maisha yangu ni Vegan 3) Umri wangu ni 35 4) Ni mweupe, Mtanzania 5) Nimejiajiri Sifa za ninayemtaka 1) Awe mweusi wa asili 2) Awe mrefu na sio mfupi 3) Akiwa na utamaduni wa Vegan au Vegetarian itapendeza 4)...
  20. puker

    JamiiForums Tanzania Natafuta mtu/watu tuliozaliwa tarehe na mwezi kama wa Leo 11th April

    Habari za muda huu wadau. Yoyote ambaye amezaliwa tarehe na mwezi kama wa Leo 11 April, wa jinsia yote kama anaishi Dar es salaam na maeneo jirani natamani nipate partner wa ku share nae siku hii muhimu kwanga. Karibu inbox kwa maelekezo zaidi Ahsante 🙏
Back
Top Bottom