natafuta

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Smart Eagles

    Natafuta nyumba ya kupanga maeneo yafuatayo Morogoro mjini (bajeti 300,000/=)

    1. Eneo la Kilakala isiwe mbali na kituo cha Tushikamane. 2. Eneo la Kola (iwekaribu na barabara ya pangawe) 3. Eneo la Bigwa (iwekaribu na barabara ya pangawe) Iwe na vyumba 3 vya kulala. Ijitegemee maji na umeme.
  2. B

    Swali kwa natafuta ajira na wanaume wengine kuhusu kuoa wadada wenye miaka 19-23

    Habarini, Natafuta Ajira alileta uzi uliosema wanaume wa 30's tuoe mabinti wa 19-23, wanaume wengi ikiwemo mimi walimuunga mkono natafuta ajira, ila hizi ni factors ambazo hatukuzi consider: 1) Kwa uzoefu wangu mdogo mabinti wengi wa miaka 19-23 wana prefer ku-date na age mate wenzao...
  3. K

    Natafuta projector

    Habari wadau, natafuta projector nzuri yenye uwezo wa kuonyesha mchana (Heavy duty) ambayo itatumika kwenye kuonyeshea video records, naomba mnisaidie wapi naweza pata (machimbo) 0764714801 Asante.
  4. Martha Amosi Mwakalibule

    Natafuta kazi nimesoma Range management Niko tayari kwa mshahara wowote..

    I am Winfrida holding a Bachelor’s Degree in Range Management, currently seeking job opportunities in this field. I am committed, skilled, and ready to contribute to sustainable land and resource management.
  5. KisiwaChaJagwani

    Natafuta Kazi, hata kama ni Intern. Nina Shahada ya Manunuzi

    Habari Wana JamiiForums Nilikuwa natafuta kazi japo nipate hata intern kusukuma maisha Elimu yangu ni Shahada ya manunuzi (Bachelor Degree in procurement and supply chain management) Pia nina Diploma in procurement and supply chain management Napatikana Mwanza Ila nipo tayar kufanya kazi...
  6. J

    Natafuta kazi

    Elimu yangu ni form four Umri miaka 33 (me) Kazi yoyote ya halali popote Sifa ya ziada Najua kucheza na kompyuta kiasi fulani ingawa sina vyeti (sijasomea rasmi) Nina cheti cha ualimu Shule za msingi
  7. EDIGAR JO

    Natafuta binti au mchumba

    LEO ULIJUE HILI Tofauti Sahihi (Kibiashara): 1. New Phone (Mpya Kabisa) Haijawahi kutumika. Imefungwa (sealed) moja kwa moja kutoka kiwandani. Inakuja na warranty ya kiwandani. Hii ndiyo aina ya juu zaidi na bei kubwa zaidi. 2. Refurbished (Referb) Simu iliyowahi kutumika (labda ilikuwa...
  8. M

    Natafuta kazi Nimemaliza degree ya accounting

    Helloo Tanzania naitwa Jenipha nimemaliza degree ya accounting chuo kikuu cha dar es salaam natafuta kazi Asanteni 0713776534
  9. N

    Natafuta fundi wa Gari - Forester

    Anatafutwa Fundi wa Forester ili asaidie katika kuondoa changamoto hizi mbili:- i. Gari linawaka AC ikifika muda AC inakata ila baadaye inaanza tena. Nadhani hapa kuna error ambayo mwenye diagnostic Kit anaweza saidia ii. Gari lina camera ila uki - reverse Dashboard hai respond. Nitashukuru kwa...
  10. D

    Natafuta kazi ya kutuma mzigo ndani ya Dar na mikoani

    Habari nipo natafuta kazi ya kutuma au kuagizwa chochote mzigo ndani ya dar au mikoani mm nipo dar es salaam.
  11. Mediaty

    Natafuta bendi ya muziki

    Habari zenu Wana Jamii forum? Natumanini mko salama kabisaà. Mimi ni kijana wa kiume, nipo Dar Es Salaam, Ubungo. NATAFUTA band ya mziki ya kujiunga nayo katika shughuli za mziki. Yeyote anaeweza kuniconnect na kikundi chochote kinachofanya mziki wa live ntashukuru Sana. Experience yangu ni...
  12. S

    Natafuta gari ya hesabu ( bolt na uber )

    natafuta gari ya hesabu ( bolt n uber ) na uzoefu wa miaka mi tatu na vigezo vyote na leseni no zangu ni 0699448532
  13. puker

    Natafuta mtaalamu wa picha mjongeo (Animation)

    Habari, nahitaji mtu anaweza kutengeneza picha mjongeo aina ya Animation. Kwa mawasiliano Zaid karibu inbox
  14. Udart

    NATAFUTA OFFICE ZA WORLD VISION DSM

    wakuu.habari za jioni samahani Kwa wakazi wa dsm naombeni mnisaidie office za world vision nimeangakia kwenye web inaonekana Iko mikocheni karbu na makumbusho bahati mbaya nimefika juzi naambiwa wamehama na hawajui wamehamia wapi na email hawajibu simu Yao pi ni zile za mezani...
  15. jamaikatz

    Natafuta kazi yoyote nipo kahama

    Habari wana jf , mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22 nipo kahama mjini elimu yangu ni kidato cha nne , natafuta kazi yoyote ile ya kufanya . namba yangu ni 0715308721
  16. Dr. Zaganza

    Natafuta stering rack, ya suzuki swift

    Habari wakuu Naomba niulizie stering rack, ya suzuki swift ,maana stering imekuwa ngumu.(Stering ya umeme ,siyo ya hydraulic). Niko Kibaha maili moja Piga 0713 039 875
  17. Amba Samedi

    Natafuta Dalali/Mwanamasoko kwa ajili ya app/software yangu

    Habari wanaJF, Salam nyingi kutoka Morogoro Tanzania. Nimemaliza siku salama, na natumaini mambo yenu yanaenda Nina series of softwares nlizotengeneza kwa ajili ya kurahisisha kazi kwq wateja wangu na wateja wao. Hizi ni pamoja na 1. Mfumo wa supplies. Kuna jamaa mmoja mwenye butcher...
  18. U

    Natafuta kazi, nina diploma ya ualimu wa sekondari

    Natafuta kazi wanandugu nina diploma ya secondary education mwalimu wa biology naishi Dar es salaam. Mbarkiwe.
  19. OfficilaNdurotz

    NATAFUTA KAZI

    Habari wana JFM Mimi nikijana wa kitanzania,niko na uhitaji wa kazi yeyote iliyo halali. Lakini pia nimesomea shahada ya Information Technology ,mwenye connection na kazi naomba anisaidie . Napatikana singida Tanzania. Email: samwelnduro@gmail.com Phone:0744968695
  20. Nusratt

    Natafuta Kaka au Dada wa hiyari wa kuchat nae nje ya Jamii Forums

    Ni dada wa miaka 45 Nimepanga Sijaolewa Ni mfanyabiashara ndogondogo Niko jijini Dar Es Salaam Nitashukuru sana.
Back
Top Bottom