1. Eneo la Kilakala isiwe mbali na kituo cha Tushikamane.
2. Eneo la Kola (iwekaribu na barabara ya pangawe)
3. Eneo la Bigwa (iwekaribu na barabara ya pangawe)
Iwe na vyumba 3 vya kulala.
Ijitegemee maji na umeme.
Habarini,
Natafuta Ajira alileta uzi uliosema wanaume wa 30's tuoe mabinti wa 19-23, wanaume wengi ikiwemo mimi walimuunga mkono natafuta ajira, ila hizi ni factors ambazo hatukuzi consider:
1) Kwa uzoefu wangu mdogo mabinti wengi wa miaka 19-23 wana prefer ku-date na age mate wenzao...
Habari wadau, natafuta projector nzuri yenye uwezo wa kuonyesha mchana (Heavy duty) ambayo itatumika kwenye kuonyeshea video records, naomba mnisaidie wapi naweza pata (machimbo) 0764714801 Asante.
I am Winfrida holding a Bachelor’s Degree in Range Management, currently seeking job opportunities in this field. I am committed, skilled, and ready to contribute to sustainable land and resource management.
Habari Wana JamiiForums
Nilikuwa natafuta kazi japo nipate hata intern kusukuma maisha Elimu yangu ni Shahada ya manunuzi (Bachelor Degree in procurement and supply chain management)
Pia nina Diploma in procurement and supply chain management
Napatikana Mwanza Ila nipo tayar kufanya kazi...
Elimu yangu ni form four
Umri miaka 33 (me)
Kazi yoyote ya halali popote
Sifa ya ziada
Najua kucheza na kompyuta kiasi fulani ingawa sina vyeti (sijasomea rasmi)
Nina cheti cha ualimu Shule za msingi
LEO ULIJUE HILI
Tofauti Sahihi (Kibiashara):
1. New Phone (Mpya Kabisa)
Haijawahi kutumika.
Imefungwa (sealed) moja kwa moja kutoka kiwandani.
Inakuja na warranty ya kiwandani.
Hii ndiyo aina ya juu zaidi na bei kubwa zaidi.
2. Refurbished (Referb)
Simu iliyowahi kutumika (labda ilikuwa...
Anatafutwa Fundi wa Forester ili asaidie katika kuondoa changamoto hizi mbili:-
i. Gari linawaka AC ikifika muda AC inakata ila baadaye inaanza tena. Nadhani hapa kuna error ambayo mwenye diagnostic Kit anaweza saidia
ii. Gari lina camera ila uki - reverse Dashboard hai respond.
Nitashukuru kwa...
Habari zenu Wana Jamii forum? Natumanini mko salama kabisaà.
Mimi ni kijana wa kiume, nipo Dar Es Salaam, Ubungo. NATAFUTA band ya mziki ya kujiunga nayo katika shughuli za mziki. Yeyote anaeweza kuniconnect na kikundi chochote kinachofanya mziki wa live ntashukuru Sana.
Experience yangu ni...
wakuu.habari za jioni samahani Kwa wakazi wa dsm naombeni mnisaidie office za world vision nimeangakia kwenye web inaonekana Iko mikocheni karbu na makumbusho bahati mbaya nimefika juzi naambiwa wamehama na hawajui wamehamia wapi na email hawajibu simu Yao pi ni zile za mezani...
Habari wana jf , mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22 nipo kahama mjini elimu yangu ni kidato cha nne , natafuta kazi yoyote ile ya kufanya . namba yangu ni 0715308721
Habari wakuu
Naomba niulizie stering rack, ya suzuki swift ,maana stering imekuwa ngumu.(Stering ya umeme ,siyo ya hydraulic).
Niko Kibaha maili moja
Piga 0713 039 875
Habari wanaJF,
Salam nyingi kutoka Morogoro Tanzania. Nimemaliza siku salama, na natumaini mambo yenu yanaenda
Nina series of softwares nlizotengeneza kwa ajili ya kurahisisha kazi kwq wateja wangu na wateja wao.
Hizi ni pamoja na
1. Mfumo wa supplies. Kuna jamaa mmoja mwenye butcher...
Habari wana JFM
Mimi nikijana wa kitanzania,niko na uhitaji wa kazi yeyote iliyo halali.
Lakini pia nimesomea shahada ya Information Technology ,mwenye connection na kazi naomba anisaidie .
Napatikana singida Tanzania.
Email: samwelnduro@gmail.com
Phone:0744968695
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.