natafuta

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mchumba wa kike

    ....
  2. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mke seriously awe Dar

    Natafuta mke awe bi mdogo mke wa pili awe Dar. My no 0762405010
  3. moe junior

    JamiiForums Tanzania Natafuta pikipiki /frame ya pikipiki Honda trail 110

    Salaam wakuu!! Nina shida ya pikipiki au frame ya pikipiki Honda Trail 110 katika hali yoyote mahala popote ili mradi iwe na kadi na kuwe na usafiri wa kufika DSM
  4. Chiferereji Cha jisatu

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi ya Fundi bomba

    Habari Mimi ni Tech wa mambo ya Maji na nina Experience ya maswala ya maji safi na maji taka kwa miaka 4, kama Kuna Kampny Ina hitaji mwenye sifa hyo nipo tiyari kushikiri kutimiza majukumu kwa maendeleo na faida ya Kampny
  5. Mumlii

    JamiiForums Tanzania Natafuta karanga,

    Kwa bei ya wakulima nitazipata maeneo gani? Nko ushirombo
  6. Privatelife

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Habari natafuta rafiki wa kike

    Naitwa John Umri wangu 28 Kabila msukuma Natafuta RAFIKI wakike Ambae Tunaweza kushare mambo Mbali Mbali awe na Umri kuanzia 23/35 Ambae yupo Tayari Aje PM
  7. S

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi Mbeya Mjini kama kuuza duka, ufundi mitambo na n.k.

    Natafuta kazi Mbeya Mjini kama kuuza duka, ufundi mitambo na n.k. Nina stashahada ya ufundi mitambo (Mechanical Engineering) 0756704145
  8. RUKUKU BOY

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mke wa Ndoa

    Mie sio mtu wa kuandika sana humu. Natafuta mke wa kuoa,now kwangu Mimi ni muda mwafaka wa kuwa na wife. Sina sababu ya ku hide my id , coz Niko serious na hili jambo Sifa zangu. Miaka 30 Elimu: Bachelor Occupation:Employed. Dini: Mkristu Ninayemtaka Awe serious, na ndoa narudia serious...
  9. godiusngunda

    JamiiForums Tanzania Natafuta wafanyakazi wawili wa kuuza duka

    Habari za leo wana jamii Nawasilisha ombi langu la kutafuta wafanyakazi wawili wa kuuza duka la vitenge, jumla na rejareja, Kariakoo mtaa wa kongo na agrey. Mshahara maelewano. Mawasiliano 0624078385
  10. N

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mfanyakazi za Mashambani/Mchungaji

    Habari za leo wakuu Kama kichwa cha habari hapo uu kinavyoeleza, inamuhitaji huyu mzee kufanya majukumu yafuatayo: 1. Awe muwakilishi wangu shambani na awe kama ndie mwenye nyumba na mmiliki wa mali zote (mashamba, mifugo na nyumba zingine zilizo karibu na hayo mashamba) 2. Kua msimamizi mkuu...
  11. your favorite

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mchumba wa kiume

    Nina miaka25,naishi dar,ni mrefu size ya kati,mweupe, sio mwembamba wala mnene nipo katikat, ninafanya biashara ya vipodozi,elimu yangu ni bachelor degree,natafuta mchumba Kuanzia miaka 30,na kuendelea..kuhus apprearance ni muhim lakini kikubwa ni tabia.
  12. Adiya5

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta Marafiki wa kubadilishana nao mawazo

    Hello watanzania, Nimetokea Facebook, Insta na Tiktok nimekuja Jamiiforums kujifunza mambo mbalimbali na kutengeneza marafiki pia, Nahitaji marafiki makini, wenye akili timamu, wacheshi, wakarimu, wenye uelewa wa mambo ya duniani, wenye fikra pevu, jinsia yoyote, Mimi ni Mwanamke, elimu darasa...
  13. music mimi

    JamiiForums Tanzania Msaada: Natafuta digital camera na printer nzuri kwa ajili ya biashara ya passport size photos

    Wadau wa technology. Naomba msaada wa mawazo yenu, najua mpo wenye experience ya kutosha kwenye hivi vifaa. Nataka kununua digital camera na printer mahsusi kwa ajili ya kazi ya picha za passport. Nahitaji kwa ajili ya kutoa passport za haraka zile za dakika 3. Nachoitaji ni kusaidiwa jina...
  14. S

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, njaa itaniua

    Habari za majukumu wanaJF naomba kwa yeyote atakayewiwa anisaidie nipate kazi yoyote halali njaa na majukumu vimenizingira Elimu yangu ni Diploma in General Agriculture nipo Kahama 0717697787
  15. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi yoyote Mbeya

    Natafuta kazi yoyote Mbeya kama kuuza duka, stationary na kazi zingine 0756704145 Nina stashahada ya ufundi mitambo (Mechanical Engineering)
  16. Majighu2015

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mwanamke wa kuoa bikra

    Natafuta binti bikra ili Mungu akijalia awe mke wangu. Vigezo Umri: miaka 21 hadi 26 Rangi: Mweupe Dini: Mkristo na mwenye hofu na Mungu Elimu:Chuo kikuu Ambae anajijua ni bikra au anamjua binti ambae ni bikra karibu inbox tuyajenge. Nipo serious
  17. The ice breaker

    JamiiForums Tanzania Natafuta nyama ya porini

    Kwa hapa Dar, wapi naweza kupata nyama ya porini... Natamani kula nyama ya porini this weekend, kama nitapata nyama ya Swala au Kiboko, itakuwa safi sana. Ma butcher yapo wapi kwa dar ?
  18. kante mp2025

    JamiiForums Tanzania Natafuta kijiwe Dar es Salaam mtaalamu wa maabara

    Mbele yenu ni kijana wa kitanzania ambae kwa sasa napatikana mkoani Iringa ila nina plan ya kuingia jiji la dsm siku chache zijazo. Nina uzoefu wa kutosha katika maabara baada ya kujitolea kwa muda wa mwaka mmoja hospitali mbalimbali. Natafuta kijiwe mkoa wa Dar es Salaam hata ikiwa part time...
  19. JOTO LA MOTO

    JamiiForums Tanzania Muandaaji wa maudhui natafuta connections

    Kwa Wadau ,Wamiliki wa media zinazoandaa maudhui,main au on line. Mimi ni Muandaa miswada( screen plays),ngazi ya cheti. Nabadili story kuwa screenplay,na fanya screenplay breakdown kwa ajili ya kurahisha uzalishaji (production),budget n.kNafanya maongezo(addition) kwa stori zenye maudhui...
  20. sangaima

    JamiiForums Tanzania NATAFUTA MAHALI PAKUFANYA INTERNSHIP/ FIELD

    Kwa jina naitwa Ahmad ni kijana, mkazi wa mkoa wa Dar es salaam, nina Diploma in Public sector accounting & Finance natafuta mahali pakufanya internship katika kada ya accounting. Iwe sector binafsi ama serikali nitashukuru, kwa yeyote atakae guswa kunisaidia atanipata katika mawasiliano haya...
Back
Top Bottom