Natafuta Mfanyakazi za Mashambani/Mchungaji

Natafuta Mfanyakazi za Mashambani/Mchungaji

Ntu

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
1,038
Reaction score
697
Habari za leo wakuu

Kama kichwa cha habari hapo uu kinavyoeleza, inamuhitaji huyu mzee kufanya majukumu yafuatayo:

1. Awe muwakilishi wangu shambani na awe kama ndie mwenye nyumba na mmiliki wa mali zote (mashamba, mifugo na nyumba zingine zilizo karibu na hayo mashamba)
2. Kua msimamizi mkuu wa mashamba yangu na vibarua ninaowaweka kulima au kwa shughuli zingine za muda mfupi
3. Awe anauzoefu wakuchunga mifugo (hili ndilo litakua jukumu lake kuu la kila siku) na awe pia na uzoefu wa kutambua magonjwa mbalimbali ya mifugo (ng’ombe, mbuzi, kondoo na kuku)
4. Awe anauzoefu wa mambo ya kilimo

Majukumu yangu: Chakula, Malazi na Matibabu
Mshahara: Makubaliano
Eneo la kazi: Arusha
Siku ya kuanza kazi: 01/07

Mawasiliano: Njoo DM
UPENDELEO: Akiwa na Mkewe itapendeza Zaidi (ila asije kuishi kwangu na watoto wake)
 
Don't take me wrong, Mmasai/Muarusha will be a better choice, don't ever try kwa mzee wa "kimeru" utajuta, speaking from the experience though.
 
Aje na mke ila asije na watoto sio !!!! Kama unaona utamfaidisha sana kigezo cha mwenza ungekiondoa !
 
UPENDELEO: Akiwa na Mkewe itapendeza Zaidi (ila asije kuishi kwangu na watoto wake)
Angalizo kwa setup ya project yako nakushauri usichukue
  1. Mnywa pombe
  2. Mpenda totos
  3. Mtu kutoka mbali sana na mikoa inayoizunguka Arusha
  4. Ukipata mcha Mungu itapendeza
 
Back
Top Bottom