nasa

The National Aeronautics and Space Administration (NASA; ) is an independent agency of the U.S. federal government responsible for the civilian space program, as well as aeronautics and space research.NASA was established in 1958, succeeding the National Advisory Committee for Aeronautics (NACA). The new agency was to have a distinctly civilian orientation, encouraging peaceful applications in space science. Since its establishment, most US space exploration efforts have been led by NASA, including the Apollo Moon landing missions, the Skylab space station, and later the Space Shuttle. NASA is supporting the International Space Station and is overseeing the development of the Orion spacecraft, the Space Launch System, and Commercial Crew vehicles. The agency is also responsible for the Launch Services Program, which provides oversight of launch operations and countdown management for uncrewed NASA launches.
NASA science is focused on better understanding Earth through the Earth Observing System; advancing heliophysics through the efforts of the Science Mission Directorate's Heliophysics Research Program; exploring bodies throughout the Solar System with advanced robotic spacecraft such as New Horizons; and researching astrophysics topics, such as the Big Bang, through the Great Observatories and associated programs.

View More On Wikipedia.org
  1. Prof Phraoh AI

    JamiiForums Tanzania Voyager i ndo chombo kilicho mbali zaidi na dunia, kimebaba picha na ujumbe kutoka Duniani. NASA waliamini sikumoja labda kitapatikana na alliens

    Chombo cha anga cha Voyager 1 ni moja ya mafanikio makubwa zaidi ya binadamu katika historia ya sayansi. Hiki ndicho chombo kilicho mbali zaidi na Dunia kuliko chochote ambacho binadamu amewahi kutuma angani. Kilirushwa mwaka 1977 na NASA, kikiwa na lengo la kuchunguza sayari kubwa kama Jupiter...
  2. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania FALSE NASA astronauts growing rice on the Moon

    A viral post has been circulating on social media, especially on Facebook, claiming that astronauts have successfully grown rice on the Moon. However, an investigation using keyword searches determined that the image was generated using artificial intelligence (AI) and is therefore not genuine...
  3. DR Mambo Jambo

    JamiiForums Tanzania NASA INATUCHANGANYA! Je, Ni Kweli Dunia Inazunguka kwa Kasi ya KM 1,600/Saa au Tumeaminishwa Uongo?

    Hivi karibuni, wanasayansi kutoka NASA wamedaiwa kwenda mwezini kutalii na kupiga picha kupitia misheni ya Artemis II, na hatimaye kurudi Duniani. Jambo hili, kama mwanasayansi, nalipongeza sana. Asiyefurahi kwa kidogo hata kikubwa hawezi kupewa; nimefurahi kupata picha kuanzia tukio linaanza...
  4. Scars

    JamiiForums Tanzania NASA wamerudi tena Mwezini, na tayari picha za awali zimeanza kuachiwa — Je, Wale wabishi wa ‘Moon Hoax’ Bado Wataendelea Kubisha?

    Juzi tarehe 1 tumeona team ya Artemis II kutoka NASA imefanya tena ziara ya kuelekea mwezini ambayo itachukua siku 10 na leo tayari picha za awali zimeanza kusambazwa. Hii siyo simulizi ya karne ya 20 tena, bali ni ushahidi wa karne ya 21 unaoonekana kwa macho. Lakini ni kama umekuja wakati...
  5. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Parker Solar Probe: Satelite ya NASA yenye speed kali kuliko kitu chochote kuwahi tengenezwa na binadamu!

    Hawa jamaa tuwape maua yao kwenye R&D! Mwaka 2018 NASA waliituma hii satelite kwenda kwenye space kufanya uchunguzi wa Solar corona (tuseme kama atmosphere kulizunguka jua, wataalamu wa Heliophysics hapa watasaidia)! Kwahiyo hadi leo imekaa huko kwa zaidi ya miaka 7 ipo huko space, ikiwa...
  6. Yoda

    JamiiForums Tanzania Musk amtolea povu waziri wa uchukuzi US kufuatia mpango wa serikali ya Trump kui-DOGE na kuindoa NASA kuwa shirika huru

    Elon Musk amewatolea povu waziri wa uchukuzi wa Marekani Sean Duffy na serikali ya Trump kufuatia mpango kutaka kuiweka NASA chini ya waziri wa uchukuzi au kama mojawapo ya wizara tofauti na ilivyo sasa kama shirika huru linalojitegemea. Waziri huyo wa uchukuzi amesema pia SpaceX inafanya kazi...
  7. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania NASA wagundua viashiria vya Uhai huko sayari ya Mars

  8. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Wanachofanya NASA ni jambo la kijinga sana na linatakiwa kupingwa kwa nguvu zote

    Ni ukweli usiopingika NASA wamefanya mambo mengi sana mazuri ila hili la kutaka kutengeneza mazingira ya MARS hapa duniani na kuwaweka astronauts ili wazoee mazingira yake kwa lengo la kuja-kuwapeleka MARS naamini ni moja ya jambo la kijinga sana na kutaka kutumia shortcut kwenye mambo ambayo...
  9. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania NASA waliwahi kuwa na Kituo Cha Anga za Juu Zanzibar. Kilifungwa baada ya Mapinduzi ya ASP

    My Take Kwamba Utawala ulioshika Dola baada ya Mapinduzi uliomba kufunga Kituo Cha kiteknolojia na muhimu kama hicho ila wakaona wajenge misikiti. ================ Chini ya majengo ya bati yaliyotutumka katika eneo la Tunguu na mashamba ya sasa ya Chwaka, kunazikwa sura iliyosahaulika lakini...
  10. REALITY

    JamiiForums Tanzania Operation high jump,nikola tesla ,cern na nasa

    Nimefuta content ipo kwenye makala UFUNUO MKUBWA DUNIANI.
  11. Forrest Gump

    JamiiForums Tanzania Wakuu, kama upo maeneo ya mwanangi au nasa ginnery tafadhali naomba unishtue. Kuna ndugu yangu nataka nikuulizie maana ni miezi sasa hayupo hewani.

    Ni vizuri zaidi kama ukiwa boda boda kama sio bado pia itakuwa fresh . Karibu
  12. Mathanzua

    JamiiForums Tanzania NASA says Magnetic Storm has reached level G-5 and at this level there can be power grid collapse

    NASA says Magnetic Storm has reached level G-5 and at this level there can be power grid collapse MAY 10, 2024 NASA says Earth is presently being impacted by the first two, of SIX coronal mass ejections from the sun and the energy is causing a massive Geo-Magnetic storm around our planet...
  13. mkalamo

    JamiiForums Tanzania Indian-origin astronaut Captain Sunita Williams and her fellow veteran NASA astronaut Butch Wilmore are set to fly into the ISS on the brand new space

    Washington, May 6 Indian-origin astronaut Captain Sunita Williams and her fellow veteran NASA astronaut Butch Wilmore are set to fly into the International Space Station (ISS) on a brand new spacecraft, the Boeing Starliner on Monday. The duo will launch into space from the Cape Canaveral...
  14. Mshamba wa kusini

    JamiiForums Tanzania Mimi ni Mhandisi wa Mawasiliano NASA, uliza swali lolote utajibiwa

    Habari wakuu Leo nipo free uliza swali lolote la mawasiliano... nina uzoefu wa miaka mitano katika mawasiliano hapa NASA. shukrani
  15. K

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mwenyekiti wa UVCCM Kata ya Bwilingu (Chalinze-round about) Ndugu Abdul Nasa anatumia vibaya cheo cha baba yake

    Mwenyekiti wa Vijana CCM (UVCCM), Kata ya Bwilingu (Chalinze-round about) Ndugu Abdul Nasa ameendelea kukitumia vibaya cheo cha baba yake (Diwani Kata ya Bwilingu Jimbo la Chalinze). Inadaiwa alifanya jaribio la kujeruhi na kushindwa kuchukuliwa hatua yoyote ya kinidhamu ndani ya chama kutokana...
  16. P

    JamiiForums Tanzania Mimba imenasa?

    Habari zenu? Nimevurugwa Niliingia period tarehe 26 mwezi wa kwanza nikasex tarehe 7 mwezi wa pili na akamwagia ndani jamani sielewi imo au haimo?
  17. Rodwell mTZ

    JamiiForums Tanzania NASA watengeneza ndege yenye Kasi kuliko Concorde

    Shirika la sayansi za anga za juu la Marekani yaani NASA, limefanikiwa kutengeneza ndege itakayo safiri kwa Kasi kubwa kuliko ya Ile ndege ya zamani iliyostaafishwa yaani Concorde. Ndege hiyo mpya hiyo hapo pichani inaitwa x-59 inauwezo wa kusafiri kutoka Jiji la New York mpaka Jiji la London...
  18. Wakili

    JamiiForums Tanzania Ujue ukweli kuhusu NASA

    Heshima kwenu wote humu ndani. Leo napenda kushare na ninyi hii siri. Je wajua kua NASA, ni taasisi ya siri ya kijeshi ya jeshi la Marekani, ambayo serikali ya Marekani ime-invest millions of dollars ili kufanya majaribio ya makombora ya masafa ya mbali yaani ICBM, Inter Continental Balistic...
  19. Mbahili

    JamiiForums Tanzania Kuna uhusiano mkubwa kati ya NASA na Illuminati

    Habarini wanajamvi Katika pitapita zangu humu katika msitu wa maneno na majadiliano, nami ningependa wafikirisha jambo. Wakati wote, tunaangazia safari nyingine ya NASA, nikakutana na andiko la kibepari (kiingereza) kuwa kuna uhusiano kati ya kishetwani, sisi wajuzi kuliko wao tunaita...
  20. Theorist Mosses

    JamiiForums Tanzania Orion spacecraft ya shirika la sayansi ya anga NASA imefanikiwa kufika mwezini

    picha hii ni halisi imepigwa ndani ya lisaa limoja lililopita na chombo cha Orion spacecraft kilicho ruka na rocket ya mwezini kwenye mission ya Artemis I 🛰 kumbuka shirika la anga za mbali NASA, wanampango wa kumrudisha binadamu kwa mara ya pili kwenda kuishi kwenye mwezi baada ya kupita...
Back
Top Bottom