nasa

The National Aeronautics and Space Administration (NASA; ) is an independent agency of the U.S. federal government responsible for the civilian space program, as well as aeronautics and space research.NASA was established in 1958, succeeding the National Advisory Committee for Aeronautics (NACA). The new agency was to have a distinctly civilian orientation, encouraging peaceful applications in space science. Since its establishment, most US space exploration efforts have been led by NASA, including the Apollo Moon landing missions, the Skylab space station, and later the Space Shuttle. NASA is supporting the International Space Station and is overseeing the development of the Orion spacecraft, the Space Launch System, and Commercial Crew vehicles. The agency is also responsible for the Launch Services Program, which provides oversight of launch operations and countdown management for uncrewed NASA launches.
NASA science is focused on better understanding Earth through the Earth Observing System; advancing heliophysics through the efforts of the Science Mission Directorate's Heliophysics Research Program; exploring bodies throughout the Solar System with advanced robotic spacecraft such as New Horizons; and researching astrophysics topics, such as the Big Bang, through the Great Observatories and associated programs.

View More On Wikipedia.org
  1. T

    JamiiForums Tanzania NASA yafanikiwa kuikoa Dunia kuangikiwa na Kimondo(Asteroids)

    NASA(National Aeronautics and Space Administration) imefanikiwa katika jaribio la kungonganisha sattelite ya DART(Double Asteroid Redirection Test) ikiwa katika mwendokasi wa mita 14,000 kwa saa, na kimondo cha Didymos(Dimorphus) chenye ukubwa wa eneo la mita 160 , na kuweza kukiyumbisha na...
  2. mike2k

    JamiiForums Tanzania Nasa Artemis 1: Majaribio kuanza muda mchache ujao

    MAJARIBIO YA ROCKET YA MWEZINI YATAANZA MUDA MCHACHE Muda mchache kuanzia sasa Majaribio ya urushwaji wa rocket itakayotumika katika safari mbalimbali za mwezini na anga za mbali kwa ujumla utafanywa ambapo tutashuhudia rocket ya Space Launch System ikielekea katika safari yake ya masiku kadhaa...
  3. Webabu

    JamiiForums Tanzania NASA mbona haieleweki kuhusu kupeleka watu mwezini?

    Miaka karibu 50 tangu kile kilichoelezwa kusitishwa kwa safari za kwenda mwezini mwaka 1972,sasa kituo cha anga cha NASA kimesema kinataraji kurejea safari hizo hivi punde. Hapo Jumatatu chombo kinachotajwa kuwa na nguvu kubwa kiitwacho Artemis kitafanya safari za majaribio kwenda karibu na...
  4. mike2k

    JamiiForums Tanzania Nasa artemis 1: Kesho kuanza safari ya kuelekea katika mwezi

    ROCKET YA MWEZINI KURUSHWA SIKU YA KESHO 29 AUGUST Shirika la uchunguzi na tafiti zinazohusu anga za juu kwa ujumla NASA kufanya majaribio ya rocket itakayoweza kutumika katika safari za kuwapeleka wanaanga na vifaa mwezini katika masiku yajayo kwenye mission mbalimbali za kwenda kwenye gimba...
  5. mike2k

    JamiiForums Tanzania NASA ARTEMIS: Project ya kumpeleka binadamu katika mwezi

    Artemis program ni programu ya anga za mbali ambayo inakwenda kufanyia uchunguzi mwezi 🌒. Program hii inaongozwa na NASA wakishirikiana kwa ukaribu kabisa na mashirika ya tafiti za anga kutoka nchi mbalimbali duniani Africa tukiwakilishwa na South Africa. Artemis program pia inazishirikisha...
  6. THE SPIRIT THINKER

    JamiiForums Tanzania NASA yaingia kwenye anga hewa la jua

    NASA Yaingia Katika Angahewa ya Jua kwa Mara ya Kwanza, Ikileta Uvumbuzi Mpya Kwa mara ya kwanza katika historia, chombo cha anga kimegusa Jua. Uchunguzi wa NASA wa Parker Solar sasa umepitia anga ya juu ya Jua. Hatua hiyo mpya inaashiria mafanikio kwa kifaa .hiki cha Parker Solar Probe na...
  7. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania Dr Alinda Mashiku: Mtanzania anayeongoza kitengo cha NASA kinachosimamia Satelite zisigongane angani

    Wakati wanaume Tanzania hujisikia sana kuwa matraffic Barabarani kuongoza Magari Kutana na Mama mtanzania Dr Alinda Mashiku anayefanya Shirika La NASA Marekani anayeongoza Sattelite duniani zisigongane Angani .Wanawake wanaweza Huyu akija Tanzania Traffic waongoza magari Wanaume lazima wakimbie...
  8. Sam Gidori

    JamiiForums Tanzania NASA kumpeleka mwanamke, mtu mweusi kwa mara ya kwanza mwezini kwa bajeti ya shilingi trilioni 55

    Baada ya kutangaza hapa awali kuwa itampeleka mwanamke mwezini kwa mara ya kwanza, Shirika la Marekani la Anga za Juu (NASA) sasa limesema kuwa itampeleka mwezini mtu mweusi katika Mpango wake wa Artemis. NASA imetoa pia ombi la bajeti yake itakayowezesha kumpeleka mwanadamu mwezini kwa mara ya...
  9. D

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mama mzazi wa Tuly Nasa (Kada wa Chadema aliyefariki wiki iliyopita) naye afariki dunia

    Chadema inatangaza msiba wa mama mzazi wa Tuly Nasa aliyekuwa kada wa Chadema ambaye kwa sasa ni marehemu aliyezikwa wiki iliyopita. Msiba umetokea leo alfajiri. Wiki iliyopita mama huyo alikuwa mzima na alishiriki mazishi ya mwanaye huyo wa kike. Picha mama mwenye nguo nyeupe (ambaye...
  10. Da Vinci XV

    JamiiForums Tanzania Mambo tata kuhusu NASA na safari ya mwezini: Ni kweli Neil Armstrong alisilimu baada ya kusikia Adhana mwezini?

    HAYA NDIYO MAMBO TATA KUHUSU NEIL ARMSTRONG NA SAFARI YA MWEZINI Jana nlifanikiwa kuangalia video , baada ya shirika la anga la MAREKANI, NASA kufanikisha kupeleka chombo cha utafiti katika sayari nyekundu (MARS) Chombo hicho kilichopewa jina la Perseverance Rover ambapo kiliondoka Duniani...
  11. Sam Gidori

    JamiiForums Tanzania Chombo cha NASA chafanikiwa kutua Sayari ya Mirihi (Mars), kitakusanya na kurudisha sampuli za mawe duniani

    Shirika la Marekani la Utafiti wa Anga (NASA) limesema ndege yake ya utafiti imefanikiwa kutua katika Sayari ya Mirihi (Mars) imefanikiwa kutua salama na kushusha kifaa cha utafiti kilichopewa jina Perseverance katika sayari hiyo nyekundu. Hii ni hatua mpya katika utafiti wa anga za juu...
Back
Top Bottom