Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 972
- 1,946
Mgombea ubunge wa jimbo la Mtama Nape Moses Nnauye amewaasa watanzania kutokushawishika na kununa ugomvi wa kisiasa kwani ni hatari kwa maslahi ya nchi Nape Nnauye ameyasema hayo katika program yake maalumu aliyoianzisha ya kupita kijiwe hadi kijiwe na kuongea na wananchi wa marika mbalimbali kuhusu masuala ya siasa, program hiyo inajulikana kwa jina la Kijiweni na Kaka Mkubwa.