nani

Luís Carlos Almeida da Cunha ComM (born 17 November 1986), commonly known as Nani (Portuguese pronunciation: [naˈni]), is a Portuguese professional footballer who plays as a winger and captain for Major League Soccer side Orlando City SC. He represented Portugal in international football, and has played over 100 times for the senior national team.
Nani was born in Amadora, Portugal, and is of Cape Verdean descent. He began his football career playing for local side Real Massamá. At the age of nine, he began training with Sporting CP and S.L. Benfica on alternate days, eventually joining Sporting's youth squad after they offered him pre-season training.Nani made his professional debut with the club in 2005 and won the Taça de Portugal during his second season with them. Nani was named the SJPF Young Player of the Month for May 2007 and his performances with Sporting culminated into a move to English club Manchester United in July 2007 for a fee of €25 million.Nani won the Community Shield on his competitive debut at Manchester United and added a number of trophies, including the Premier League and Champions League during his debut season at the club. He established himself as first-choice winger at United and won a further three Premier League titles, the Football League Cup, one FIFA Club World Cup, and three Community Shield titles. Individually, Nani was included in the Professional Footballers' Association (PFA) Premier League Team of the Year on one occasion and was a nominee for the PFA Young Player of the Year in 2011. Following a loan back to Sporting, in which he won the Taça de Portugal, he was signed for £4.25 million by Fenerbahçe in July 2015, and a year later he signed for Valencia. He rejoined Sporting CP in July 2018.
Nani is also a Portugal international. After first playing at under-21 level, he made his debut for the senior Portugal team in September 2006 in a friendly match against Denmark and scored his first goal during the 4–2 defeat in Copenhagen. Nani has represented his country at four major tournaments, including three European Championships: he took part at the 2008, 2012 and 2016 European Championships, reaching the semi-finals of Euro 2012, and winning Euro 2016; he also participated at the 2014 FIFA World Cup with Portugal. Since his debut, he has made over 100 international appearances and scored 24 goals.

View More On Wikipedia.org
  1. Mshana Jr

    Fikiria: Mkeo anafanya usafi, anasogeza kochi, ghafla anakutana na chupi ya kike ambayo haijawahi kuonekana

    Unajua, maisha ya ndoa au mahusiano ni kama filamu ya action, lakini siku ukikutwa na "ushahidi" usio na maelezo, filamu inageuka kuwa ya mtihani mkubwa! Hebu fikiria, mkeo anafanya usafi, anasogeza kochi, ghafla anakutana na chupi ya kike ambayo haijawahi kuonekana kwenye bajeti ya nyumba hiyo...
  2. F

    Je, ni nani anayewadanganya wananchi?

    Kuna jambo linahitaji kutazamwa kwa jicho la tatu. Mara kwa mara tumekuwa tukisikia baadhi ya viongozi wakisisitiza kuwa Watanzania waliopo nje ya nchi au wanaokosoa mwenendo wa serikali wanatumika na “mabeberu.” Kauli hizi zimekuwa zikitumika kama njia ya kuzima hoja badala ya kujibu hoja...
  3. technically

    BAKWATA ilianzishwa na nani na ni kwa maslahi ya nani?

    Hawa BAKWATA Ni nani na walianzishwa na Nani na kwa maslahi ya Nani? Rwanda wanaonaje mwezi kabla ya Zanzibar? Uganda, Kenya na Burudi na Kongo Leo ni Idd Lakini wao wanasema mpaka kesho Kalenda ya nchi Leo inanyesha ni idd wao wanasema kesho. Nauliza wapo kwa maslahi ya Nani Nani...
  4. The Dictator

    Ndio maana mnaambiwa brand ni muhimu kwa mafanikio yako. Hebu imagine kila mtu anamjua huyu ni nani!!

    Umeshamjua huyu ni nani?😂😂
  5. Mshana Jr

    Nani yupo macho?

    Nani yuko macho muda huu Katika mazingira gani Ya furaha? Ya huzuni? Ya dharura? Ya sintofahamu Hospital au nyumbani? Gesti ama safarini? Peke yako ama? https://www.facebook.com/share/r/1AoHzi2ZDZ/
  6. Waufukweni

    Una Luka Modrić, Kevin De Bruyne na Toni Kroos: Unaanzisha nani, nani benchi na nani unamuuza?

    Una wachezaji watatu wa kiwango cha juu kwenye kiungo cha kati: Luka Modrić, Kevin De Bruyne na Toni Kroos. Unatakiwa kufanya maamuzi matatu: mmoja aanze kikosi cha kwanza, mmoja akae benchi na mwingine auzwe. Kuanzisha: ......? Benchi: ......? Kuuza: .......? Kevin De Bruyne Luka Modrić...
  7. Kipenzi Changu

    Ngoma Usipime ya Khaligraph; nani kafunika?

    https://youtu.be/wcK3l4KHXY4?si=siBxITGpZlXWmDha Humu kuna Chid, Cannibal Kichwa Kibovu, Jones mwenyewe, Belle 9, Stamina na Jay More Nani amefunika wengine? Kwangu naona Cannibal kachana vibaya sana. Nimefurahi kumuona karudi.
  8. Chibike

    Waarabu ni ndugu zetu upande wa nani?

    Kumbe nateseka tu hapa kumbe Nina ndugu za kiarabu, embu niwajue wanipe hata bilioni 20 pesa za mafuta nifungue biashara.
  9. R

    Ukipewa nafasi na Mungu wa Mbinguni upendekeze mtu wa kunyakuliwa MAWINGUNI utampendekeza nani?

    Ni swali la kawaida. Avoid negative interpretation!!! 1.
  10. figganigga

    Eti Mwiguli Nchemba karudisha Tabasamu Monduli. Nani aliliondoa? Ujinga Mtupu😏😏

    Mwigulu Nchemba na Samia Suluhu ni genge moja lilishiriki Mauaji ya 29.10.2025 Nchi Tanzania.. Wananchi walliokuwa wanapinga Uchaguzi kkuyokuwa huru, walliuawa kama Nzi. Hadi Dunia ikashituka. Leo Mwigulu anadai eti amerudisha tabasamu kwa Wananchi.. Nadhani tunataka kujua ilipo miili ya...
  11. Analogia Malenga

    Naleta Ugomvi: Kati ya Pengo Makeke na Mr. Dude nani alifanya utapeli ulioakisi uhalisia?

    Kama utakuwa mtu wa kushinda mtandaoni basi utakuwa umebahatika kuona content za Pengo Makeke ambazo amekuwa akionesha utapeli. Maudhui hake yana ufanano na maudhui ya Kulwa Kikumba au Mr Dude. Ili kumjua Dude inabidi uwe umezaliwa miaka sio chini 1999 na kwenu kulikuwa na TV ili kuwa na...
  12. K

    Ni nani anawalipa Online TVs ili washushe Clips za Emmanuel Nchimbi kupigiwa makofi? Ili iweje?

    Hivi karibuni Februari 28, 2026 wakati wa Msiba wa Hayati Polycarp Kadinali Pengo kila mtu anakumbuka kilichotokea kuhusu suala ya kupigiwa au kutopigiwa makofi kwa wanasiasa. Baadhi ya Viongozi wastaafu walipigiwa sana makofi na waaumini lakini wale waliopo madarakani kwa sasa hali ilikuwa...
  13. ELI COHEN

    Nani anaepaswa kuongezwa katika picha hii?

    Nitaanza mimi: CHUCK NORRIS
  14. Jackpiano

    Defender 110 vs Land Cruiser 70 Series – Nani ana 4x4 kali zaidi Off-Road? Post:

    Title: Defender 110 vs Land Cruiser 70 Series – Nani ana 4x4 kali zaidi Off-Road? Post: Kuna kitu kimeniwazisha sana kuhusu uwezo wa off-road wa magari haya mawili. Kati ya Land Rover Defender 110 Toyota Land Cruiser 70 Series, ipi ina 4x4 kali zaidi kwenye mazingira magumu kama matope, milima...
  15. Lighton

    Wazayoni(Zionist) ni akina nani na Wana malengo gani?

    Nimejaribu kufatilia matukio ya Dunia, vita,migogoro ya kiuchumi, na mizozo ya mipaka baina ya mataifa, lakini Zionist ni miongoni mwa neno ambalo nimelisikia sana likihusishwa na migogoro yote inayoendelea Duniani hivi Sasa. Nimedig kidogo kwenye baadhi ya vyanzo, nikafaham kwamba chanzo Cha...
  16. I

    Ni nani sasa anakamandi vikosi vya IRGC?

    Baada ya Babu Ali 'kupotezwa', ni nani anayetowa kamandi za 'makamanda' wa iliyokuwa IRGC kurusha zile 'penseli'? Au 'makamanda' wamekuwa kama wanamgambo wa Hamas na Hesbollah? Mfano nani saii miongoni mwa 'makamanda' wa IRGC anaweza kunyanyuwa simu na kuwapigia Xi, Putin au Kim Kiduku?
  17. B

    'El Mencho' auawa huko Mexico. Ni bosi wa cartel aliyekuwa kiongozi wa kundi la wahalifu maarufu

    22 February 2026 Jalisco, Mexico Baada ya kutumia miaka mingi kukwepa mamlaka duniani kote, kiongozi mwenye nguvu wa genge la wahalifu wa Mexico aliuawa wakati wa operesheni ya kijeshi, maafisa wa Mexico walitangaza Jumapili, Februari 22. 2026 https://m.youtube.com/watch?v=FBCVF2cG9c0 Nemesio...
  18. Mad Max

    Arsenal inanitesa. Mapenzi yananitesa. Mi nitakua mgeni wa nani?

    Aisee hii timu muda wa kunifariji yenyewe ndio inanitesa.
  19. Stuxnet

    Pengo na Nkwera wote wamekufa. Mungu atatoa jibu ni nani alikuwa sawa kwenye mgogoro wa 1992-95

    Mgogoro dhidi ya Fr Nkwera ulianza mara tu Pengo alipokuwa Askofu Mkuu (1992) 1.Matatizo yalianza baada ya Polycarp Pengo kutawazwa kuwa Askofu Mkuu wa Dar es Salaam. Alimuita “padre mtoro” na kuanza mchakato wa kumdhibiti. Fr. Nkwera alitajwa kama padre asiye chini ya jimbo rasmi, jambo...
  20. R

    Eva Shayo ni nani?

    Hivi huyu dada ni nani? Anaishi wapi? Antoa tàrifa nyeti sana anazipata wapi? Anafanya kazi nzuri ya kutetea TANGANYIKA
Back
Top Bottom