Hapo unafanya assumption kwamba China ataipiga Taiwan sasahivi. Wakati yeye yupo busy na uchumi, kukuza jeshi, uzalishaji na soft power duniani.
Kama China angetaka kuivamia Taiwan kipindi cha Biden angeweza.
Uma akili za ki CCM eeh? Unadhan kwann Marekan alianza kuipiga Venezuela?? Ni sababu alikua anatafuta Njia mbadala ya MAFUTA na GAS.
alipopata uhakika huo, Kaka kumchapa IRAN ambaye ndie mfadhili Mkubwa wa Mafuta na Gas wa Uchina .
MAREKAN NA NATO, WALISHAITAMBUA CHINA KAMA "KIKWAZO KUU"... unaelewa maana ya hii??? Ni kwamba China aruke anavyoweza NI LAZIMA AANGUSHWE TU KWA SABABU KWAO NDIO KIKWAZO KIKUU.
Saa hii wanamchapa Muiran, wakifanikiwa kufanya Mabadiliko ya Utawala, wakaweka mtu wao, maana yake nini??.
Mafuta na Gas kwenda kwa wachina yatasimama kama yalivyosimama ya Venezuela.
Nchi Marafiki wa UCHINA na URUSI (BRICS) zitaondoa USHAWISHI kwa sababu hazitataka Kukumbwa na majanga kama ambayo sasa Venezuela, Cuba ,wanapitiaa.
China haitóweza anzisha vita na TAIWAN kwa sababu hawatakua na Utawala wa Mafuta kutosha kuendesha vita
CHINA Njia yake pekee alonayo ni Kuanzisha Vita muda huu ambao Marekan Yuko busy na Iran, Ukraine.
Akisubiri hili lipite, mamaweeeeee Atachapika vibaya sana naarekan wenyewe kupitia TAIWAN ndio wanaltaanzisha hiyo VITA.
Ngoja ajifanye yupo busy na UCHUMI na kua supapawa, atangushwa TU , Ukiona mwenzio ananyolewa 🤣🤣