Mtandao (Internet) umekuwa moja ya teknolojia zinazoongoza ulimwenguni na ambayo imetoa mchango mkubwa katika kuleta maendeleo ya kiuchumi, kijamii, na kuinua ustawi wa mamilioni ya watu duniani kote. Taasisi mbalimbali, mashirika ya serikali na binafsi, pamoja na watu binafsi, wamefaidika...