Yamekuwa yakisikika matokeo yasiyo na tija Law School.
Kwamba wanafaulu wanafunzi chini ya 3%? Kwamba wanafunzi bado mpo tu kama makondoo mmetulia kumsubiri nani kuwapigania?
Shule zinaposhindana ubora kwa kufaulisha, kwa nini Law School wao wanajinasibu ubora kwa kufelisha? Kwamba hawa wa kozi ya miezi kadhaa tu ndiyo wenye ubora mno kuliko vyuoni walikotoka wanafunzi hawa?
Ni muhimu kutambua Tanzania ni jamii ya watu waliojaa wivu, choyo, husuda, fitna, ujinga, upumbavu na ujuaji uliopitiliza.
Siyo serikali, wananchi wala Mwakyembe atakayekuja kuwasemea ninyi la maana.
Ripoti ya Tume ya Mwakyembe ni another Professorial Rubbish
Waungwana kama kina Prof. Mahalu hao ni exceptions na ni wachache mno.
Kadhia ya Law School "Wasomi Nguli" wasikilizwe
Ukiritimba wa Law School ni lazima umalizwe. Mwenye jukumu la kuumaliza ukiritimba huo ni nyie wenyewe. Vinginevyo mtaendelea kuwa mbuzi wa kafara milele.
Mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe.
Isimamisheni shule hii hadi kieleweke, na inawezekana.
Wanafunzi Law School kulikoni kushindwa kujisimamia
Kwa nini kwenda kusomea kufeli? Kama mnadhani wanaofeli kila mwaka ni wao siyo nyie, yatakapowakuta msituletee huku kelele zenu.
Biashara asubuhi na kupanga ni kuchagua.
Kwamba wanafaulu wanafunzi chini ya 3%? Kwamba wanafunzi bado mpo tu kama makondoo mmetulia kumsubiri nani kuwapigania?
Shule zinaposhindana ubora kwa kufaulisha, kwa nini Law School wao wanajinasibu ubora kwa kufelisha? Kwamba hawa wa kozi ya miezi kadhaa tu ndiyo wenye ubora mno kuliko vyuoni walikotoka wanafunzi hawa?
Ni muhimu kutambua Tanzania ni jamii ya watu waliojaa wivu, choyo, husuda, fitna, ujinga, upumbavu na ujuaji uliopitiliza.
Siyo serikali, wananchi wala Mwakyembe atakayekuja kuwasemea ninyi la maana.
Ripoti ya Tume ya Mwakyembe ni another Professorial Rubbish
Waungwana kama kina Prof. Mahalu hao ni exceptions na ni wachache mno.
Kadhia ya Law School "Wasomi Nguli" wasikilizwe
Ukiritimba wa Law School ni lazima umalizwe. Mwenye jukumu la kuumaliza ukiritimba huo ni nyie wenyewe. Vinginevyo mtaendelea kuwa mbuzi wa kafara milele.
Mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe.
Isimamisheni shule hii hadi kieleweke, na inawezekana.
Wanafunzi Law School kulikoni kushindwa kujisimamia
Kwa nini kwenda kusomea kufeli? Kama mnadhani wanaofeli kila mwaka ni wao siyo nyie, yatakapowakuta msituletee huku kelele zenu.
Biashara asubuhi na kupanga ni kuchagua.