Habari,
Naomba kujuzwa kwa wenye uzoefu na hawa jamaa wa mradi wa bomba la mafuta la TAZAMA (TANZANIA ZAMBIA MAFUTA)
Hivi wanalipaje kwa nafasi ya ulinzi?
Mana nimeona wametangaza nafasi na wamesema mshahara mnono.
Naomba kwa mwenye uzoefu au ambae anafanya nao kazi anijuze.
Ahsante
Naomba kujuzwa kwa wenye uzoefu na hawa jamaa wa mradi wa bomba la mafuta la TAZAMA (TANZANIA ZAMBIA MAFUTA)
Hivi wanalipaje kwa nafasi ya ulinzi?
Mana nimeona wametangaza nafasi na wamesema mshahara mnono.
Naomba kwa mwenye uzoefu au ambae anafanya nao kazi anijuze.
Ahsante