mzungu

Also known as muzungu, mlungu, muzungu, musungu or musongo, mzungu (pronounced [m̩ˈzuŋɡu]) is a Bantu language term used in predominantly Swahili speaking nations to refer to Caucasian people. The noun Mzungu or its variants are used in Kenya, Tanzania, Malawi, Rwanda, Burundi, Uganda, Democratic Republic of the Congo, Comoros, Zimbabwe, Mayotte, Zambia and in Northern Madagascar (the word changed to "vozongo" in Malagasy, but the locals will still understand the word mzungu) dating back to the 18th century.

View More On Wikipedia.org
  1. Action and Reaction

    JamiiForums Tanzania Wanasimba kwa mzungu hakuna mchezaji pale Viongozi mtambue hilo!

    Alipoingia mzungu, Simba ikaanza kupya na ndipo Yanga walipotake advantage ya kuisumbua Simba! Uchezaji wa mzungu ni ulele kwanza haoni margin uwanjani pia hakabi, chenga hajui!... Kweli viongozi wa Simba ndo mmetuletea Kocha huyu afanye maajabu na Mzungu wake!..... Matola kwanzia sasa akipangwa...
  2. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Huyu Mzungu wenu Mserbia akiwa Muhuni kama Fraga Ligi ataiweza ila akiwa Lonyo Lonyo kama Carlinhos ( Muangola ) wa Yanga SC hatoiweza

    Fraga mpaka Bange alishaanza Kuvuta na alikuwa anafika ( anagongana ) na Kukichafua huku Ukijipendekeza unakula ama Ndole au Kipepsi na Kutulia hadi akawa anaogopwa na Wachezaji wa Timu Pinzani. Kwa huyu Mzungu Mserbia wenu ( ambaye GENTAMYCINE simkubali ) kwa nilivyomuona tu Pichami alivyo...
  3. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Ewe Mwenyezi Mungu naomba atakayetangazwa na Simba SC Saa 9 hii awe ni Ceaser Lobi Manzoki na siyo Mzungu Mserbia

    Haya wale Team Manzoki Wenzangu baneni sasa 'P' zenu Ili huyo Mchezaji atakayetangazwa na Simba SC dakika Moja tu kutoka sasa ( yaani Saa 9 Alasiri ) hii awe ni Manzoki. Kila la Kheri.
  4. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Simba SC Ole wenu Mumsainishe huyo Mzungu 'Mserbia' badala ya Manzoki nitatoa sasa SIRI za ndani za Klabu na mtatafutana na Kuumbuka

    Nasikia muda wowote Mzungu 'Mserbia' anasainishwa na Kutangazwa badala ya Mchezaji ambaye wana Simba SC wote tunamtama, anajua Kufunga na tumemsubiria muda mrefu Ceaser Lobi Manzoki. Naandaa sasa Nondo zangu za SIRI za Ndani kabisa juu ya yanayoendelea ndani ya Simba SC na yaliyopita hadi...
  5. N

    JamiiForums Tanzania Simba mnanichanganya sasa na mchezaji mzungu wenu huyo

    watu tunasubiri habazi za manzoki mara yanakuja haya tena, mzungu akifika estadio de manungu au estadio de nyankumbu primary schoool geita si atatoa machozi ya damu? Huo muda wa mwalimu kumuona na kumpitisha ni hadi lini? manzoko hasaini tena? kama manzoki akisaini basi wa kumpisha huyu mtu...
  6. Tindo

    JamiiForums Tanzania Jumuiya ya Afrika Mashariki bila uongozi wa mzungu itakuwa ni genge la maigizo yasiyo na tija

    Leo na kesho kutakuwa na mkutano wa wakuu wa nchi za jumuiya ya Afrika mashariki huko Arusha. Kwa mtazamo wangu mkutano huo ni wa upotevu wa muda, fedha za wananchi kwani hakuna lolote la maana linajadiliwa na kufikia hatua ya utekelezaji. Mengi ya makubaliano ya jumuiya hii huishia kwenye...
  7. 44mg44

    JamiiForums Tanzania Mzungu Ni mtamu sana, asikwambie mtu. Nimebahatka kula Mjerumani

    Mliowah kula wazungu bila Shaka mtaniunga mkono katka Hil Wazungu wanajua Mambo,yaan mpaka unavutiwa na unalizka kabsa kingono Mim Nmebahatka kula mzungu bonge hiv,yaan anajua kumbembeleza we acha tu Mliowah kula wazungu ongezeen utam walionao
  8. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Kwangu Mimi Mghana Kwesi Appiah ndiyo alikuwa sahihi kuwa Kocha Mpya wa Simba SC kuliko huyu Mzungu wenu ambaye najua hatodumu

    Kwesi Appiah ni.... 1. Mwafrika Mwenzetu 2. Siyo Mgeni kwa Mambo yetu yale ya Uswahili ( Utamaduni ) 3. Mafanikio yake yangekuwa ni Ushawishi wa Moja kwa Moja kwa Waxhezaji wa Simba SC 4. Angejikita zaidi katika Soka la Nguvu la Ghana kuliko la Unyoro nyoro ( Lege Lege ) la Wareno 5. Angekuwa...
  9. Internet-Money

    JamiiForums Tanzania Wamasai walivyojibu maswali haya ya Mzungu

    Maswali mazito yaliulizwa na Mzungu kwa Wamasai. Cheki video utajua Wamasai wanaakili kuliko Mzungu Ni Mara nyingi tuli mjini tunaji chukulia ni wajanja kupita maelezo, Ila yawezekana Wamasai ni wajanja kutupita sisi, ndo Mana wanaishi simple life. Hautaweza kumuona Masai ameuza ngo'mbe zake...
  10. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Akifanya mzungu inaitwa 'Teknolojia', akifanya Mwafrika inaitwa 'Uchawi', kwanini inakuwa hivi lakini?

    Binafsi naamini 'Uchawi' ni teknolojia usiyoijua. Teknolojia yeyote kama huielewi ni 'Uchawi'. Fikiria enzi za Yesu uende na smartphone uanze kupiga watu picha au uanze kupiga video call , hapo hapo utadakwa na kuchomwa moto na Kanisa kwa shutuma za uchawi. Ni kama wale waliosema Dunia haipo...
  11. E

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Uhamiaji ARUSHA mchunguzeni huyu mzungu anaitwa ERNESTO BRUNI

    Kuna mzungu mmoja ni raia wa Italy Sina uhakika kama kweli katokea Italy . Huyu mzungu anaishi maeneo ya sanawari ya juu amefungua shule feki inaitwa New bridge pre-school . (Zamani iliitwa SAMENA SCHOOL Tatizo ni kwamba huyu mzungu amefungua shule kwa jina la girl friend wake anayeitwa Victoria...
  12. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Peter Colmore: Mzungu Mswahili wa Kenya na Tanganyika

    PETER COLMORE MZUNGU MSWAHILI WA KENYA NA TANGANYIKA Nilipomaliza kuandika kitabu cha Abdul Sykes nikamwambia Bwana Ally tukae kitako anihadithie maisha yake tuandike kitabu. Ally Sykes akaniambia kuwa yeye hana umuhimu nishaandika historia ya Bwana Abdul (kama mwenyewe alivyopenda kumwita...
  13. U

    JamiiForums Tanzania Video ya Mzungu huyu TZ Ina views wengi ndani ya siku moja kuliko royal tour

    Kuna huyu Mzungu yupo huko you tube huwa anafanya documentary kuhusu misosi na utamaduni ndani ya nchi mbalimbali duniani na channel yake Ina nguvu sana. Inaitwa best ever food review show, Sasa huyu mtu ana subscription za you tube mil8.4 zaidi ya diamond platnumz, huyu mtu ameitangaza nchi ya...
  14. Kijakazi

    JamiiForums Tanzania Mzungu hatopokea Simu!

    Binadamu hurudia makosa yake yake kila siku, wengi hawaelewi Capitalistic system, Capitalist atakutumia na kukumwaga, ila siku unaotumika kuwakandamiza na kuwadharau wakija juu, Jew hatopokea Simu yako na hatokujua. San Suu Kyi wa Mynamar mpaka alipewa Nobel prize leo hii yuko Jela na Mzungu...
  15. luangalila

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mliowahi kudate na Msichana Mzungu Pitia hapa

    Wadau kwema embu naomba mliwahi ku date na wadada toka nje ya bara la Africa hasa wazungu karibu ku share ni kituko gani au kadhia unayokutana nayo au ulikutana nayo kwa mara ya kwanza. Kuna jamaa mmoja alikuwa ana date na mzungu, basi siku mmoja akatutolea siri akidai wadada wa kizungu...
  16. Nafaka

    JamiiForums Tanzania Wahaya walikuwa wanaunda high quality steel hata kabla ya mzungu

    Leo nilikuwa natazama teknolojia zilizopotea za kale kama vile zege la waroma ambalo lilikuwa likizidi imarika zaidi kila muda unavyopita likiwa kwenye maji ya chumvi. Basi katika hiyo video jamaa akaomgelea kuhusu steel ya wahaya. Utengenezaji wa steel wa kisasa uligunduliwa mwaka 1847...
  17. Natty Bongoman

    JamiiForums Tanzania Taarifa za uongo ni silaha kubwa ya Mzungu tangu enzi

    WENGI wetu hata humu jukwaani wanameza kirahisi sana taarifa za habari za uongo na elimu za uongo, espesheli, historia. Ili mradi zimeletwa na mzungu... afu Cha kusikitisha, ndo wanakuwa wabishi wakubwa. Historia za uongo wa mzungu tunazijua sana sana, ila sielewi kwa nini kila kukicha akatoa...
  18. love life live life

    JamiiForums Tanzania Msikilize Mzungu akitoa sababu za Sub-Saharan Africa kuwa Masikini

    Huyo ni lecture; Anasema sub saharan Africa ni row material producers hiyo ni role yake katika uchumi wa dunia. Sub saharan countries ni muhimu kwa nchi zilizoendelea katika uchumi wake, Na hawataruhusu Sub saharan ku-escape katika role yake kama row material producers. Pia ameongelea kuwa...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Ubaguzi wa rangi au jinsia sio mzuri

    Ubaguzi ni kitu kibaya pale ambapo jamii moja uamini ni bora kuliko jamii nyingine kama ilivyo kwa mzungu kuamini anastahili kuongoza kila kitu duniani kwani ngozi nyeusi ina laana"wana amini hivyo" Akili hizo zipo pia kwenye jinsia mwanamme anaamini yeye ni bora anayestahili kutawala kila...
  20. lwambof07

    JamiiForums Tanzania "Nataka Mume mzungu mwenye pesa" - Rose Muhando

    Msanii wa Injili na Hit Maker wa 'Utamu wa Yesu' Rose Muhando anasema anaomba apate mume mzungu mwenye pesa. Rose Muhando ameshea hilo kwenye Instagram yake akiipa promo wimbo wake mpya huku akitaja ombi lake analotamani mwaka huu 2022. "Yesu nitendee, ombi langu mwaka huu nataka nipate mume...
Back
Top Bottom