ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,964
- 3,895
Kuna huyu Mzungu yupo huko you tube huwa anafanya documentary kuhusu misosi na utamaduni ndani ya nchi mbalimbali duniani na channel yake Ina nguvu sana. Inaitwa best ever food review show, Sasa huyu mtu ana subscription za you tube mil8.4 zaidi ya diamond platnumz, huyu mtu ameitangaza nchi ya Tanzania kiutalii Duniani zaidi ya filamu aliyoicheza chief H.
Katika documentary yake inayohusu mambo mbalimbali ya utamaduni wa Tanzania, ameweza kupata views milioni moja ndani ya siku moja huku akiipiku Filamu ya royal tour iliyochezwa na Chief ambayo hata view laki mbili haijafikisha. Huku gharama zikivuka bilioni 11 za Kitanzania.
Sasa Hoja ni kwamba, Kwanini serikali hii ya CCM , isitumie watu Kama Hawa wanaweza kufika pahala pengi duniani kuliko kutumia watu wenye connection chache Kama peter.
Huyu Mzungu documentary yake ametengeneza kwa pesa yake mwenyewe , hajachangiwa na Tanzania foundation sijui Nininini Sasa watanzania mtafakari, naweka link ya documentary aliyoitengeneza na kupata views mil 1 ndani ya siku 1 inahusu tanzania.
Wachaga na nyie Mzungu kawatengenezea royal tour yenu.
Katika documentary yake inayohusu mambo mbalimbali ya utamaduni wa Tanzania, ameweza kupata views milioni moja ndani ya siku moja huku akiipiku Filamu ya royal tour iliyochezwa na Chief ambayo hata view laki mbili haijafikisha. Huku gharama zikivuka bilioni 11 za Kitanzania.
Sasa Hoja ni kwamba, Kwanini serikali hii ya CCM , isitumie watu Kama Hawa wanaweza kufika pahala pengi duniani kuliko kutumia watu wenye connection chache Kama peter.
Huyu Mzungu documentary yake ametengeneza kwa pesa yake mwenyewe , hajachangiwa na Tanzania foundation sijui Nininini Sasa watanzania mtafakari, naweka link ya documentary aliyoitengeneza na kupata views mil 1 ndani ya siku 1 inahusu tanzania.
Wachaga na nyie Mzungu kawatengenezea royal tour yenu.