mwigulu nchemba

Mwigulu Nchemba
Mwigulu Lameck Nchemba Madelu ni mwanasiasa na mwanachama wa chama cha kisiasa nchini Tanzania, Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Mwigulu alikuwa Waziri wa Fedha na Mipango tangu 31 Machi 2021, mpaka July 2023 ambapo wizara hiyo ilivunjwa na kuwa wizara mbili yaani Wizara ya Fedha inayoongozwa na Mwigulu Nchemba na Wizara ya Mipango na Uwekezaji inayosimamiwa na Waziri Kitila Mkumbo.
  1. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Mwigulu Nchemba kwenye hotuba zako punguza kufokafoka

    Jana nimekuona ulihutubia wananchi huko Singida badala ya kusema maneno ya maana na kuhutubia umoja, mshikamano na haki wewe ukaanza kutoa mapovu. Mara ooo mimi sina biashara, mara hoooo mama yangu Muislamu na blablaa kibao. Mwigulu Nchemba huko watanzania washatoka na huo utapeli wa kutufokea...
  2. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Dondoo yaliyojiri wakati wa Mkutano wa hadhara wa Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba

    𝗗𝗢𝗡𝗗𝗢𝗢 𝗬𝗔 𝗬𝗔𝗟𝗜𝗬𝗢𝗝𝗜𝗥𝗜 𝗪𝗔𝗞𝗔𝗧𝗜 𝗪𝗔 𝗠𝗞𝗨𝗧𝗔𝗡𝗢 𝗪𝗔 𝗛𝗔𝗗𝗛𝗔𝗥𝗔 𝗪𝗔 𝗪𝗔𝗭𝗜𝗥𝗜 𝗠𝗞𝗨𝗨 𝗗𝗞𝗧. 𝗠𝗪𝗜𝗚𝗨𝗟𝗨 𝗡𝗖𝗛𝗘𝗠𝗕𝗔, 𝗨𝗟𝗜𝗢𝗙𝗔𝗡𝗬𝗜𝗞𝗔 𝗞𝗔𝗧𝗜𝗞𝗔 𝗨𝗪𝗔𝗡𝗝𝗔 𝗪𝗔 𝗕𝗢𝗠𝗕𝗔𝗗𝗜𝗔, 𝗦𝗜𝗡𝗚𝗜𝗗𝗔 ▪️Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anawasalimia Wana Singida na anawapongeza kwa kazi kubwa ya ujenzi wa Taifa. ▪️Mradi wa SGR ni wa kimkakati una manufaa kwa...
  3. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania Hii ya Mwigulu Nchemba inaweza kua propaganda Mkandarasi toka 2018 Tumepigwa ionekane Serikali ipo kazini

    Hii ya Mwigulu vs Mkandarasi inaweza kua propaganda kali sana kwamba mkandarasi toka 2018 hii ni propaganda kabisa
  4. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mwigulu Nchemba ayakana mabasi ya Esther,asema Hana hata biashara ya Noah

    Waziri Mkuu wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameeleza masikitiko yake kuhusu tabia ya baadhi ya Watanzania kuvumisha uongo, ikiwa ni pamoja na kumvumishia kufanya biashara ya mabasi. Tumefikishwa pabaya sana. Watu wamejipa haki yao, wamekuwa ndugu zake na Mungu, ni ‘wakweli’, na wengine wote...
  5. The Magnifico

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mwigulu Nchemba: Pesa za "Kununua Vijana na Kuwarundika" zilitoka kwa wasioipenda nchi yetu, Tanzania ni mali ya wananchi wote

    Waziri Mkuu Mh. Mwigulu Nchemba amehoji pesa za kuwakusanya vijana na kuwandamanisha zilitoka wapi? Na amewaasa vijana kuipenda nchi yao maana ni mali ya wote na ina utajiri wa kutosha, Tanzania si mali ya vyama vya siasa wala viongozi. Akizungumza katika ziara yake Ikungi, mkoani Singida, Dkt...
  6. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Waziri mkuu Mwigulu: Wanaotaka mchome nchi yenu hawapo hapa wapo nje

    WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwigulu Nchemba, amewasihi watanzania kulinda nchi yao kwa kudumisha amani, na kusisitiza kuwa wengi wanaochochea haya mambo hawaishi nchini wapo kwenye mataifa mengine. Ameyasema hayo leo Novemba 21,2025 alipokuwa ziarani mkoani Singida.
  7. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Waziri mkuu Dkt. Mwigulu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuiwa hati yake

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameelekeza Jeshi la Polisi na Uhamiaji kuhakikisha wanamkamata na kuzuia hati ya kusafiria ya mkandarasi anayejenga mradi wa Kituo cha ukaguzi cha Pamoja kilichopo Muhalala mkoani Singida. Dkt. Mwigulu amesema kuwa...
  8. President of China

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Mwigulu afika na mkewe kanisani Usharika wa Kisasa Dodoma na ulinzi mkali, afikisha salamu za Rais Samia Amani

    Waziri Mkuu Mwigulu afika na mkewe kanisani Usharika wa Kisasa Dodoma na ulinzi mkali, afikisha salamu za Rais Samia Amani https://youtu.be/wEZdUyMljiQ?si=f7KAhBCRRdLsfD70
  9. L

    JamiiForums Tanzania Hii ndio CV nzito na ya kutetemesha ya Dkt Mwigulu Nchemba Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania

    Ndugu zangu Watanzania, Napenda kuwaleteeni Wasifu mzito na wa Kutetemesha Wa Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Daktari Mwigulu Lameck Nchemba au waweza kumwita Mr Clean ikiwa na Maana ya mtu safi ,muadilifu asiye na makandokando wala kashifa ya aina yoyote ile. Au...
  10. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia amtaka Mwigulu Nchemba kufuata nyayo za Majaliwa

    "Umepokea kijiti kutoka kwa Waziri Mkuu Mstaafu, Mheshimwa Kassim Majaliwa ambaye amefanya kazi nzuri kufanikisha tunayotamba nayo leo, tukitamba na vituo vya shule, vituo vya afya, Mahospitali ya Rufaa ya Kanda. Kila tunachotamba nacho leo yeye alikuwa nyuma yangu kuhakikisha mambo yanakwenda...
  11. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mwigulu Nchemba: Rais Samia amejitambulisha kama Rais anayetaka matokeo ya haraka yanayotatua matatizo ya Watanzania

    Akiwa anazungumza leo Dodoma Tanzania Waziri Mkuu Mteule Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba alisema "Rais Samia amejitambulisha kama Rais anayetaka matokeo ya haraka yanayotatua matatizo ya Watanzania"
  12. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Kwa nini polisi inapost kauli za Mwigulu? Wanaingiaje kwenye maswala ya bunge na waziri mkuu?

    Kwenye IG ya Polisi Tanzania wanaposti hotuba za waziri mkuu mteule Mwingulu Nchemba kwa misingi ipi? Mbona wanaleta mambo ya Polisiccm na siasa za uchawa. Yani tumeshindwa kuelewa Basi kama walitaka kumpost wangetengeneza post ya kumpongeza kuliko kufanya uupuzi wao kama huu. Na hii si mara...
  13. Ileje

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba amezawadiwa kwa kufanikisha kuuza bandari na rasilimali za Taifa kwa Waarabu

    Kilichofanyika ni kutoa asante kwa Mwigulu Nchemba na kumpa Uwaziri Mkuu! Mwigulu anafahamika kwa kiburi cha madaraka (arrogance) na kujikomba kwa wakuu wake. Kinachofuata ni kutapanya mali na rasilimali za nchi kwa fujo bila huruma. Watanzania na hasa Watanganyika tuna kila sababu za kutowapa...
  14. Mwanamwana

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Baada ya Dkt. Mwigulu Nchemba kuteuliwa kuwa Waziri Mkuu, bashiri Baraza la Mawaziri litakavyokuwa

    Leo Novemba 13, 2025, Dkt. Mwigulu Nchemba ameteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Waziri Mkuu wa JMT. Kama ilivyo ada, anapoteuliwa Waziri Mkuu ndio mwanzo wa kuunda Baraza la Mawaziri ili kumsaidia Rais. Soma > Dkt. Mwigulu Nchemba apendekezwa kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri...
  15. S

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Uteuzi wa Mwigulu Nchemba kuwa Waziri Mkuu unatuma ujumbe kwa watanzania kuwa KAMA MBWAI NA IWE MBWAI

    Serikali nzima haitakiwi, Samia na Mwigulu ndiyo kabisaaa, hawatakiwi na watanzania. Maandamano ya 29.10 yalichochewa na mambo mawili: kuzuia uchaguzi na kuukataa uteuzi wa Samia kama mgombea urais wa Tanzania Katika maandamano hayo mabasi ya Ester yanayodhaniwa kuwa ni mali ya Mwigulu Nchemba...
  16. DonDonald

    JamiiForums Tanzania GE2025 Waandamanaji wachoma moto yard ya magari ya mabasi ya Esther

    Yard ya magari ya Mabasi ya Esther Luxury imechomwa moto na waandamanaji Inasemekana mabasi yote yaliyokuwepo hapo yamechomwa moto
  17. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwigulu: Samia hapendi Sifa, anataka kazi yake ionekane, kiu yake siyo picha kuwekwa katika Noti

    Mgombea Ubunge wa Jimbo la Iramba Magharibi ambaye pia ni Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba ameeleza sababu ya kushindwa kuweka picha ya Dkt. Samia Suluhu Hassan katika fedha aina ya Noti Kwa sababu Dkt. Samia hapendi sifa yeye anataka kazi ndio ionekane na sio picha yake katika fedha...
  18. N

    JamiiForums Tanzania Dr. Mwigulu Nchemba, jitokeze utuambie ni kwanini Tanzania imerudishwa kwenye kundi la nchi zenye uchumi duni?

    Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) – Ripoti ya 2025 Mtazamo wa Kiuchumi wa Kanda: Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara limeiweka Tanzania kwenye orodha ya Nchi Masikini Zaidi Duniani (LDC). Serikali ya CCM na chawa wenu mnajinasibu uchumi unakua kwa kasi wakati Watanzania tunashuhudia uwekezaji...
  19. Inside10

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwigulu Nchemba: Wapuuzeni wanaosema tumechapisha fedha, nchi ina akiba ya Dola Bilioni 6.7 (sawa na Trilioni 16)

    Mgombea Ubunge wa Iramba Magharibi na Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewataka Watanzania kuwapuuza watu wanaosambaza taarifa za uongo mtandaoni kwamba serikali imechapisha fedha kwa ajili ya kufadhili shughuli za Uchaguzi Mkuu ujao. Amesema taarifa hizo hazina ukweli wowote na...
  20. DogoWaNjombe

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba aunga mkono ununuzi wa jezi halisi (original), anunua jezi 200 za Simba

    Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba ameunga mkono kampeni ya kununua jezi halisi (original) za timu ya Simba SC, akitoa rai kwa wapenda soka wote kuepuka jezi bandia (feki). Dkt. Mwigulu ameunga mkono kampeni ya kuhamasisha mashabiki kukataa jezi feki na kununua orijino kwa kununua jezi 200...
Back
Top Bottom