Huku duniani tumekuja kuchuma ila matumizi ya kile tulichokichuma tutakuta huko maisha ya peponi.
Kila mmoja atapata neema ya pepo kulingana na thawabu alizozichuma huku duniani.
Mitume ya Mwenyezi Mungu ipo mingi sana ila wapo wale mitume ambao daraja lao ni kubwa zaidi kuliko wengine mfano...
Hivi ulishakaa na kujiuliza Mwenyezi Mungu ametokea wapi?
Na ilikuwaje kuwaje akawaza kuumba .
Je maisha ya upweke aliishi kwa muda gani kabla hajaumba malaika ,wanadamu na majini na viumbe wengine.
Hiyo infinity past unaichukuliaje?
Nini kitatokea hao aliowaamini nao wakakengeuka? Hapa...
Si kila binadamu atapata bahati ya kumuona Mwenyezi Mungu.
Watakaobahatika kumuona Mwenyezi Mungu ni wale tu waliokidhi vigezo na kufuzu mitihani waliyopewa hapa duniani kubwa zaidi kukamilisha kile walicholetewa duniani ambacho ni kuabudu.
Hii ni kitu special sana, tukija hata kwenye maisha...
Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU
Kuelekea mwisho wa mwaka nimekuwa nikitoa baraka kwa watu wote
Lakini leo ni special kwa dada yangu Yasinta Makwabe
Ubalikiwe na KRISTO YESU anayekuja
SAYUNI BOY
Mkurugenzi wa shirika la utangazaji Tanzania (TBC) kupitia ukurasa wake wa Facebook ameweka wazi maono ambayo amedai kuoneshwa na Mwenyezi Mungu.
"Mwenyezi Mungu amenifunulia kwamba njama zote za kuivuruga Tanzania hazitafanikiwa! Amenionesha kuwa ameyafunga maandamano yoyote yale Tanzania na...
Salut sana waungwana wa JF.
Awali ya yote kabisa NaDECLAIRE INTEREST, mimi nilikuwa shabiki kindaki ndaki kabisa wa hii timu kongwe hapa nchini, ila kwa sasa soccer la bongo silipendi kabisa. Katika mawazo yangu kwa sasa (come rain, come shine) ni December 9 tu.
Hii timu ya YANGA...
Naona mashambulizi yanatoka kila upande wa wavaa kobaz ,lakin naona wakatoliki wametulia hawana haraka wala hofu , wapo kimya kama hawasemwi na kushutumiwa na hao wauza madawa ya kulevya huu ni ukomavu wa hali ya juu sana na ndio faida ya kuwa na viongozi wa dini wasomi
Msanii wa muziki nchini Joh Makini ameungana na watanzania katika kipindi hiki kigumu "Pole yetu sote Watanzania lakini zaidi kwa ndugu jamaa na marafiki waliopoteza wapendwa wao Mwenyezi Mungu atufanyie wepesi katika kipindi hiki kigumu".
“My Wife Abandoned Me When I Was Banned from Football & Lost My Fame” Paul Pogba said it in an Interview.
Chanzo: The Nairobi Times
Kuna mwingine Mumewe yuko Wodini Muhimbili akiwa Kalazwa Mkewe kaenda kumkumbushia Hela ya Matumizi ya Siku.
Wakristo wao wanaamini Israel ni taifa teule lilichogaliwa na Mungu ndio maana mambo yote ya dini ya Ukristo na ukombozi yamepitia Israel, hawana kipengele katika hili, mjadala uliopo unaowaganya ni kama Israel ya sasa au ya kale ndio taifa teule.
Kwa upande wa Waislamu wao wana story ya...
Leo siku ya pentecost tunafundishwa kuwa ni sikukuu ya kuzaliwa Kwa kanisa takatifu la Mungu sikukuu ya Mavuno... Watu Wana ongea lugha mbalimbali lakini zote Zina msifu Mwenyezi Mungu...
Hakuna wa kulifuta wala kulivunja hekalu katatifu( KANISA)
1. Kanisa ni nyumba muhimu
2. Kanisa ni ofisi...
Wakuu
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan akifunga mkutano mkuu wa chama hicho leo Mei 30, 2025 amesema "Mwenyezi Mungu ailinde nchi yetu, tumalize uchaguzi kwa amani kabisa na awaangamize wote wanaotaka kuitia nchi yetu kwenye majanga"
Kwa wasomaji wa historia ya uprotestant watakuwa wanakumbuka dua maarufu; "Lord, open the King of England's eyes" ya William Tyndale, aliyoiomba akiwa anachomwa moto October 1536 kwa kosa la kutafsiri Biblia kwa lugha ya kingereza. Kwa faida ya wasiofahamu, mpaka karne ya 16, dini pekee katika...
Mwenyezi mungu ni mungu wa majeshi
Haijaandikwa kwenye biblia
Mungu wa wanasiasa
Niyapongeze majeshi kwa kazi zao nzuri .
Kwa vile mwenyezi mungu ni mungu wa majeshi naomba niyaombe majeshi yetu
Tuendelee kumtumainia mwenyezi mungu
Akitokea mwanasiasa atushurutishe
Mambo yaliyo kinyume na...
Ewe Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema na mwenye kurehemu, ulisema niombeni na mm nitawapa, tunakuomba mwenyezi mungu, muumba mbingu na ardhi, sisi waja wako hatuna lolote isipokuwa ni kukuomba wewe tu, tujalie ushindi leo hapa visiwani Zanzibar mda mfupi tu tutakapocheza na Stellenbosch...
Kuna Msanii mmoja amefariki ila Watu wanadai amerogwa hii ni Imani ya kijinga , tujifunze kuamini katika Qadari za Mwenyezi Mungu.
Pia nyie wanawake mnaosema mtaendelea kuwakomesha Michopuko yetu kwa ulozi acheni Mara moja.
Maana sio rahisi Mwanaume amuone Mwanamke Mrembo na amuache hivi hivi.
Ewe Mwenyezi Mungu, Muumba Mbingu na Ardhi, ulisema ombeni mtapewa, nami nasimama mbele yako hapa uwanjani kwa Mkapa mvua ikiwa inanyesha, nakuomba allah jalali, mungu wa viumbe wote duniani, utujaalie ushindi wa kishindo leo uwanja wa Taifa ili roho zetu zipate kutulia.
Mwenyezi Mungu, wewe...
Mimi ninaa amini ktk Ukuu wa Mungu, ila siwezi to ufafanuzi mpana ktk hilo.
Ila katika Maisha yangu binafsi Huwa namshukuru Mungu kwa Kunijaria Bahati
Hii Bahati ninayo toka kuzaliwa.
1. Biashara
Nikifanya Biashara huwa inafanikiwa, na popote, Jambo lolote ni ninalolifanya kwa Nia ya Biashara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.