Ukaguzi wa kiufundi wa ukarabati na ujenzi wa Soko la Kariakoo, Soko Kuu la Mwanza, na Kituo cha Mabasi cha Nyamhongolo umebaini mapungufu katika upangaji wa miradi, usanifu, na usimamizi wa mikataba, hali iliyosababisha ongezeko la gharama na ucheleweshaji wa utekelezaji wa miradi.
Kusoma...
Habari wanajamii forum samahan kama ntakuwa nje ya mada ila nilikuwa nahitaji msaada wenu mtu yeyote mwenye connection ya kazi aniambie elimu yangu ngazi ya Diploma ya manunuzi
Swala la follen katika Daraja la Mabitini Mwanza limekuwa kikwakwazo Cha kuchelewesha watu katika shughilii zao mbali mbali maana inachukua masala matatu KUTOKA kisesa, BUSWELU, ilalila , Kishiri kuja kufikia Mjini Mh Rais tunaomba uingilie kati ili swala
Kanda ya Ziwa ukiitoa Mwanza mikoa iliybaki inatia huruma, kuna Poverty kubwa.
KAGERA
GEITA
MARA
SIMIYU
SHINYANGA
Maendeleo ni raia kuweza kumudu life sehemu walipo, huduma za kijamii, miradi ya serikali, n.k. kwa kigezo hiki hata mikoa ya Rukwa na Ruvuma wana nafuu.
Najua kuna watu mtaleta...
Habari wanaJF, kama naomba kufahamu kwa upande wa dar ni wapi panafanyikia huo usahili wa MCHUJO(WRITTEN INTERVIEW) katika taasisi tofauttofaut zilizotolewa juzi kama vike AICC, TBC, IAA, ,TPSC, VETA, SUA. maana wao wameandika "VITUO VYA USAILI: ARUSHA, DAR
ES SALAAM, DODOMA, MBEYA,
MWANZA NA...
Suala la Q Chila na madhara ya kupiga ramli
Alitoka kimuziki mwaka 2002 na wimbo wake " Ulinikataa". He was very big in the industry and he made a lot of money ( KWA viwango vya wakati huo)
Then baada ya miaka kadhaa akapotea hewani.
SABABU HALISI ILIYO FANYA Q CHILA AFE KISANII.
1. Alikuwa...
Habari za wakati huu wakuu. Mimi ni kijana ambaye nimeamua kitumia mtandao kutengeneza CONNECTION za biashara.
Leo hii naomba kama kuna mwenye mawasiliano ya kampuni ya KYOSK mkoa mwanza anisaidie.
Au kama kuna watu wa KYOSK wako humu naomba wanitafute nipate mawasiliano yao.
Kwa wale...
Mkoa wa Mwanza upo kasikazini Magharibi mwa Tanzania na umekuwa kitovu kikuu Cha biashara kwa wakazi zaidi ya milioni 10 wa mikoa ya kanda ya ziwa. Kuna jambo limekuwa likinishangaza kidogo, malori yanakuja Mwanza yakiwa yamejaa mizigo kama bidhaa za viwandani, vifaa vya ujenzi, na bidhaa...
KWANINI Mwanza isipatiwe kiwanja cha mpira kizuri kama jiji la Dar, Arusha na Dodoma.
1.Mwanza ni jiji la pili Tanzania kwa watu wengi
2.Mwanza inatoa vipaji vya mpira vingi sanaa kama Aisha masaka,mrisho ngasa na wengine wengi.
3.Mwanza pia ni jiji lenye vivutio vya utalii pia na ni...
Habari wakuu.
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, natafuta wauzaji wa rizla mkoa wa mwanza kwa bei ya jumla.
Pm iko wazi. Njoo tufanye biashara.
N.B uwe mwaminifu kama wauza nafaka walivyo waaminifu
Generation Samia imewahamasisha wakazi wa mkoa wa Kanda ya Ziwa kuchangamkia fursa ya bajeti ya asilimia 30 ya tenda za Serikali iliyotolewa makundi ya vijana, wanawake, wazee na watu wenye ulemavu kupitia Mfumo wa NeST.
Kwa kutambua kuwa vijana ni chachu ya mabadiliko, Generation Samia...
Biashara inaleta faida kuliko kiwanja, bora nikiuze niongeze mzunguko kwenye biashara yangu.
Bei ni 2.5 m
Urefu hatua 30 kwa 25
Maeneo yamepimwa, hati ya serikali ya mtaa,
Kinapatikana nyashishi, barabara ya vumbi inayoelekea kule inakojengwa bandari kavu.
2.5 cash
Piga simu namba...
Stendi ya Mabasi Nyegezi ni moja ya wateja wakubwa wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA) na Mamlaka imeweka utaratibu wa kufanya ukaguzi wa huduma na miundombinu yake mara kwa mara.
Palitokea hitilafu katika mfumo wa usambazaji maji kwa muda mfupi mwishoni mwa wiki...
HLS ( HOTEL LOCKING SYSTEM).
Hii ni system inayotumika katika vyumba vya hoteli na lodge.
Ni maalum kwa ajili ya milango inayofunguka Kwa kadi.
System hii inakupa option ya ku-create kadi ya kufungua Mlango iweze kutumika ktk muda ambao mteja amelipia chumba, mfano mteja kalipia chumba siku...
Sidhani kama kuna mfanyakazi wa local government kwenye hii mitaa, oi watu wana hela Dah,
Watu wamepambana kweli kweli sio mchezo, huko sidhani kama ardhi/kiwanja mtu anaweza kupata chini ya million 30.
Mfano capripoint Mwanza, juzi nilikua na mwanasheria mmoja akanambia kafunga mkataba wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.