mwanamke

  1. M

    Kuna mahusiano gani kunyimwa unyumba kama hujatoa hela ya huduma kwa mwanamke?

    Hapa nazungumzia wapenzi ambao wapo kwenye mahusiano ya ndoa au uchumba. Hii mada haiwahusu wanawake wanaojiuza. Unakuta mwanamke unamuhudumia vizuri na Hela unampa kukidhi mahitaji yake ya kila siku. Ila kama mjuavyo siku hazifanani, ikitokea anahitaji lake la Hela na ukute muda huo huna...
  2. K

    Kwa hiki nilichokifanya,ntahesabika nimembaka huyu mwanamke?

    Issue nzima iko hivi,nilikutana na huyu mwansmke two weeks ago,nikachukua number tukawa tunachat,nikamtongoza akanielewa,basi bana tukawa tunachat sana huku tunanyegeshana.jana jion nikamuambia aje achukue pesa flani alinipiga kuzinga,akaniambia hana nauli.nikamtumia elfu 15 kachukua uber...
  3. hamisi ndingo

    SoC02 Mirathi na Mwanamke baada ya kifo cha mumewe

    habari kamili see my linkedln Academia or Google Scholor
  4. Unique Flower

    Wanaume wameishi na malaya hadi wanaona kila mwanamke ni malaya

    Wanaume wameishi na malaya hadi wanaona kila mwanamke ni malaya. Sio wote ni malaya kuna watu hawajikombi kombi au kuvua chupi ovyoo kwa wanaume. Watu wanataka kuishi nawatu wenye malengo,kujituma,kujiongezs na wenye heshima na upendo wa kweli
  5. raxx

    Mwanamke siyo mtu kwa mujibu wa Biblia

    Wakuu kama heading inavyoeleza mwanamke sio mtu haya sio maneno yangu kwa mujibu wa biblia kitabu cha mwanzo mungu alimuumba mtu ambaye ni Adamu. Baada ya kuona Adamu amezubaa zubaa ndipo aliamua kumuumba mwanamke kwa kutumia mbavu na material mengine ambayo mimi na wewe hatuyajui Kwa ajili...
  6. Mwizukulu mgikuru

    Ni kwanini mwanamke akikataliwa inakuwa nongwa?

    Nipo mkoani kwa ajili ya kazi maalum nikaona si vibaya nipange nyumba kabisa kwa sababu kazi hii inaweza kuchukua muda mrefu kumalizika. Kuna mama mmoja ambae wakati nahamia hapa nilimkuta kwa hiyo namchukulia kama mpangaji mzoefu wa nyumba hii. Huyu mama ana watoto wanne anaishi na kibenten...
  7. Kiungonguli

    Mate sio kilainishi sahihi wakati wa tendo la ndoa na ni hatari kwa afya ya Mwanamke

    Wakati matumizi ya mate yakiwa maarufu kwa wengi wakati wa kujamiiana, hasa yanapotumika kama aina fulani ya kilainishi hasa ukeni na hivyo kuleta ladha ya tendo, habari si njema sana kwa watumiaji wa mate hayo wanapoburudika, hasa kwa wanandoa. Wataalamu wa afya wamesema kuna ongezeko la...
  8. Doswe Dossena

    Kwanini Mwanamke akikupenda na ukamkatalia kuwa nae kwenye mahusiano anakuchukia na kukuchukulia kama adui yake wa wazi.!?

    Salaaaaaaam.! Hii imekaaje wakuu.! Mwanamke akikutaka kwa kukushawishi au kukutongoza kabisa ila ukamkatalia kuwa nae hata kwa njia za kistaarab na kiuungwana lazima ajenge chuki juu yako.!?
  9. K

    Hivi kumcare mwanamke ndio kumpa pesa au ni kumfanyaje?

    Za saizi watanganyika wenzangu! Kuna mwanamke niko na mahusiano nae,ila nimekua mbahili sana kumpa hela.vijipesa ninavyompa ni hivi vya nauli tu za kuja na kuondoka ghetto kwangu akiwa ananiletea mbususu. Sasa toka last weekend naona analalamika kuwa mimi simjali wala sijui kucare,nikamuuliza...
  10. Robert Heriel Mtibeli

    Kumruhusu binti akajitafutie maisha ni kumfanya awe Malaya

    KUMRUHUSU BINTI AONDEKE NYUMBANI AKAJITAFUTIE MAISHA NI KUMFANYA AWE MALAYA! Anaandika, Robert Heriel. Mwanamke hatafuti maisha Ila anatafutiwa, maisha ya mwanamke yapo Kwa mume wake au Mzazi wake. Ni hatari na kosa kubwa kumruhusu binti yako akatafute maisha. Mwanaume ndiye anayekula Kwa...
  11. The patriot man

    Hii ndio njia pekee ya kumpata mwanamke

    Wakuu kwema, Asikuambie mtu hakuna njia ya kumpata mwanamke ya kirahisi kama kumpa hela na kumnunulia zawadi kwa kipindi cha mwanzo wa mahusiano. Fanya hivi unamtamani kuwa na mwanamke mrembo jitahidi saana kipindi cha mwanzo uwe una mjali sana yaani uwe unampa pesa na muda wako hili ni muhimu...
  12. Robert Heriel Mtibeli

    Je, wewe upo hatua ipi? Hatua za Ukuaji na maendeleo katika Saiko-jamii

    JE, WEWE UPO KATIKA HATUA IPI? HATUA ZA UKUAJI NA MAENDELEO KATIKA SAIKO-JAMII? Anaandika, Robert Heriel NOTE: Andiko hili ni Kwa ajili ya watu wote! Andiko hili lafaa Kwa watu wazima kujitambua na kujua namna ya kukabiliana na Mabadiliko ya ukuaji wetu WA kiakili, kimwili na kitabia Kwa...
  13. Satisfy

    Mwanamke akiwa hedhi na kuchuma mboga za matunda

    Kuna huu msemo . Mwanamke akiwa kwenye hedhi haruhusiwi kuchuma mboga za matunda kama vile nyanya maji,nyanya chungu,pilipili washa na hoho. Pia vilevle haruhusiwi kupita au kushika majani ya hizo mboga akiwa kwenye siku zake. Kwa hiyo kama ni kweli ndo ivo kuna uhusiano gani kati ya hedhi...
  14. R

    Unaweza vumilia kuishi na mwanamke ndani bila kufanya nae mapenzi?

    I mean ile situation uko na mtu ambaye si ndugu yako, na hamjawahi fanya mapenzi [emoji15][emoji15] Tuseme labda kawatembelea nyumbani kwenu, may be akakukuta hapo nyumbani, akawa hataki hata m-do Au ile mwanamke kapotea alikokuwa anaenda ukaamua kumkaribisha kwako ili kesho asubuhi aondoke...
  15. Mwasapile

    Mwanamke aliyeolewa kunywa pombe ni sawa?

    Nina swali! Ni sawa kwa mwanamke aliyeolewa kunywa pombe, kulewa na kuchelewa kurudi nyumbani? Nina rafiki yangu ana ndoa ya muda wa mwaka mmoja. Mwanamke ameanza tabia ya ulevi. Wakipishana kauli mwanamke anaondoka nyumbani anaenda kulewa sana na anarudi usiku saa nyingine hadi anatapika. Na...
  16. Surya

    Nimeamini kumpenda mwanamke asiye na utayari wa kupendwa ni Mateso

    Nilichogundua katika maisha yangu ya Tongozo hapa na pale, kumshawishi mwanamke awe manzi yako wakati mwingine tunapitiaga wakati mgumu sana. Yaani hawa dada zetu kuna kipindi wanakuwa hawataki kabisa mambo na show show, hataki kabisa kulala na mwanaume yeyote. Wanadai wanatafuta uhuru na hasa...
  17. Expensive life

    Mwanamke unapewa kila kitu macho juu juu ya nini?

    Mwanamke hajawahi kueleweka anataka nini kwenye ndoa/mahusiano. Nakumbuka utawala wa Rais JPM kuna rafiki yangu kipenzi sana, alipata bahati ya kuajiriwa usalama wa Taifa hivyo alikuwa akisafiri sana na msafara wa Rais kabla ya Rais kwenda sehemu yeyote wao walikuwa wanatangulia kwanza...
  18. The unpaid Seller

    Mwanaume kuitegemea hela ya mwanamke ni ukahaba mamboleo

    Salam ya kazi gani tuna mambo serious ya kujadili, twende streight kwa mada husika. Duniani kuna mambo mengi ya kushangaza ila pia kuna watu wa kushangaza. Kuna mambo ya kusikitika kwayo na kuna watu wa kuwasikitikia. Kuna wanaume wanaishi maisha ya huzuni na sonona kuu ila wasijue huzuni yao...
  19. Daby

    Mwanamke wa Miaka ile sio Mwanamke wa leo

    Huu uzi unamjibu member Kamgomoli: Kwenye uzi Faida na hasara za kuoa mwanamke msomi na mtumishi Tunapaswa kuelewa maisha yamebadilika na yanatubadilisha, tutake tusitake. Tunapoweka faida za kuoa mwanamke msomi na asiye msomi tujue tunaelezea hizo sifa tukiwa katika era ipi. mfano: 1...
  20. JanguKamaJangu

    Kamanda Muliro azungumzia nguvu ya mwanamke ndani ya Jeshi la Polisi

Back
Top Bottom