SINEMA FUPI: Kwa Tanzania kuna mwanamke anaweza kujitokeza na kumponya farasi kwa njia hii?

TODAYS

JF-Expert Member
Apr 30, 2014
13,745
21,196
Katika baadhi ya jamii za Kiafrika, farasi anapougua hadi kukaribia kufa, anatafutwa mwanamke ambaye amemjua na amekuwa na mwanamume mmoja tu katika maisha yake humruka huyo farasi na hupona.

Angalia kipande hiki cha sinema hapo chini.
 
Back
Top Bottom