Mtakufa wewe na farasi sio?Mimi hii list yangu hata niruke mara mia asingepona😂😂
Huyo pundaKatika baadhi ya jamii za Kiafrika, farasi anapougua hadi kukaribia kufa, anatafutwa mwanamke ambaye amemjua na amekuwa na mwanamume mmoja tu katika maisha yake humruka huyo farasi na hupona.
Angalia kipande hiki cha sinema hapo chini.
View attachment 2429260
Mrs unanitisha sasa!!!Mimi hii list yangu hata niruke mara mia asingepona😂😂
Usiogope Mr. Ila ndiyo ukweli siyo list ndefu sanaa ila asingepona😂Mrs unanitisha sasa!!!
Na mimi tena ? Si wamesema inabidi farasi ndiye akirukwa anapona, so for me asingeponaMtakufa wewe na farasi sio?
That's why i said even if i will jump 100 times, asingeponaIs only single jump!.
Aisee.That's why i said even if i will jump 100 times, asingepona
Wee shindwaa situmii hizo namba.Aisee.
Na kama unatumia 071.. Pengine sio kufa tu,moto unashuka anateketea.
Asante kama hutumiiWee shindwaa situmii hizo namba.
Wewe unatumia? Why umeongelea kuhusu hizo namba?Asante kama hutumii
Nope,siwezi kamwe!Wewe unatumia? Why umeongelea kuhusu hizo namba?
Asante kama hutumii
Kweli kabisa kwa madem wa kibongo angekauka hapo hapo 😂😂Unatokea nchi gani ambayo farasi ndiyo punda huko?