mwanamke

  1. Bata batani

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu: Kumpa mwanamke kila anachokitaka ni utumwa

    Sio kila kitu anachokitaka au anachokuomba mwanamke ni lazima umpatie hata ķama kipo ndani ya uwezo wako sometimes mwambie sina. Lakini ikitokea kila anachokitaka mwanamke wako unampatia hata kama huna unajitahidi hata kukopa ili mradi kumpatia mwanamke wako my friend huo ni utumwa. Kuna...
  2. Infinite_Kiumeni

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi ya kuwa na aina ya Mahusiano unayoyataka na Mwanamke

    Unaweza kuwa kwenye mahusiano lakini si vile unavyotaka. Unaweza ukawa unanyimwa unyumba. Au mwanamke anakuendesha. Au unasalitiwa mara kwa mara. Au mwanamke king’ang’anizi wa vitu. Au mwanamke anataka kukubadili misimamo yako kila muda. Na hali hiyo ikawa inajirudia kwa kila mwanamke unayekua...
  3. Nyendo

    JamiiForums Tanzania BAKWATA mnayajua mateso ya mwanamke akiolewa katika umri mdogo?

    Wakati Dunia ikiwa inaendelea kupigana vita ili kumuokoa mtoto wa kike kutoka kwenye kitanzi cha ndoa za utotoni BAKATWA wamemekuja na kauli yao ya kupinga kuondolea kwa sheria ya ndoa inayoruhusu mtoto wa miaka 14 kuolewa kwa ridhaa ya wazazi wake. Ajabu ni kwamba wao wameongza kuwa mtoto wa...
  4. Mwachiluwi

    JamiiForums Tanzania Mwanamke amejitoa sadaka kisa mumewe apate kazi

    Hellow Hii story ya kweli kabisa imetokea ivi karibuni Kulikuwa na mdada aitwaye Tupokigwe ambaye alikuwa na mchumba wake aitwaye Chacha walipenda sana. Tupokigwe alikuwa ni mwajiliwa wa sekta binafsi alikuwa ni afisa biashara wa kampuni, ila Chacha alikuwa hana kazi jobless Tupokigwe aliona...
  5. jjs2017

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kumnunulia mwanamke vocha na asikutafute inakera sana

    Wanawake wenye tabia hii, laana ni ya kwenu taka msitake itawatafuna.... Hakuna kitu kinamkera mwanaume akili kama anakununulia vocha na ana hakikisha bundle unalo dk zipo za kutosha tena ana kuuingia mitandao yote mwezi mzima ila wewe huna hata mpango wa kumtamkia umeamkaje au usiku mwema...
  6. Infinite_Kiumeni

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chagua mwanamke mwaminifu usije ukaumia kwa kufanya kosa kama wanaume wengine

    Ili kujenga mahusiano mazuri kwanza hakikisha wewe ni mwaminifu. Ukitaka kuwa na mahusiano mazuri hakikisha uliyenaye ni mwaminifu. Kwetu wanaume kitu cha kwanza muhimu ni mwanamke mwaminifu. Uaminifu unajumuisha; kusema ukweli, kuwa na mtu mmoja (kuto saliti), kumuamini mwenzako, kuhifadhi...
  7. DELETED ACCOUNT

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unaweza kumuoa mwanamke aliyewahi kulala na kaka yako?

    Chukulia scenario hii. Umemfahamu mwanamke mmoja mrembo hivi ambaye ulikuwa unajua anafahamiana na kaka yako ingawa ulidhani uhusiano wao ni urafiki tu na ujirani mwema. Mazingira yakabadilika, hisia zikaongezeka kati yako na yeye. Ukataka kujiridhisha kama kaka yako hajawahi kula mzigo, demu...
  8. Sea Beast

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unakuwa na mahusiano na mwanamke mpaka unawaza kuoa unakuja kujua baadae kuwa ulikuwa unaingia chaka, weka kisa

    Habari wazee, nimesoma baadhi ya visa vya mahusiano, kama una kisa chako uliwahi kuwa na mahusiano na mwanamke mpaka kufikiria kwenda kutoa barua hili mfunge ndoa lakini ukaja kugundua kumbe ulikuwa unapotea kumbe sio wife material Kama ulivyodhani. Ulimpenda na kuanza kufikiria ndoa akaja...
  9. Infinite_Kiumeni

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baadhi ya tabia zinazosababisha thamani yako ishuke mbele ya mwanamke

    Inawezekana umekua naye kwa miaka/ miezi kadhaa au ndio kwanza unamtongoza mwanamke, na mwanamke anaonesha amekukubali. Mpo pamoja lakini baada ya muda unaona anaanza kujiweka mbali nawe, nakupotezea mno, hamfanyi mapenzi mara kwa mara na hamkutani mara kwa mara tena, na unaona unamkosa...
  10. MzeeKipusa

    JamiiForums Tanzania Wanaume: Mjue mwanamke kupitia Siri hii

    Mwanamke ni tabia. Hata kama Mwanaume utakua unaeleweka vipi kwà mwanamke, kama tabia ya mkeo ni sifuri ni sawa na Kazi bure. "Maziganyanza" Mwili wa mwanamke umebebwa na tabia, na tabia ni sawa na ngozi. Inasemekana ngozi iliyotumika kutengeneza umbile la mwanamke ilitoka kwenye moyo wa...
  11. Internet-Money

    JamiiForums Tanzania Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa. Mithali 6 : 32

  12. Von_Lufuta

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke niliyetegemea kumuoa nimekuta picha zake group la Telegram

    Wakuu habari za Jumapili? Kwangu si njema hata kidogo ila nina Imani Kila mmoja ni buheri wa afya. Nisiwachoshe sana ngoja niende moja kwa moja kwenye mada husika kuhusu yaliyonikuta japo imekuwa ghafla sana kinyume na mategemeo yangu Ni hivi, mwaka 2019 baada ya kuona mahusiano niliyokuwa...
  13. Kipenzi Changu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaojifanya kumjua sana mwanamke, wanajidanganya

    Mwaka mmoja nilienda hospitali kumjulia mke wa jamaa yangu akiwa kalazwa pale siku ya 2. Kulazwa kwake ilitokana na tukio la aibu lililofanywa na mkewe katika hali ya kushangaza sana. Kabla ya kumuona mkewe jamaa alinipokea kituoni tukapata sehemu ya kujadili maendeleo ya mgonjwa tukiwa...
  14. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Daktari wa Saikolojia Radio One: Mwanamke akisaliti anakosa Amani na Anajishtukia ndani ya Siku 92

    Akiongea katika Kipindi kizuri na kinachoelimisha na ambacho GENTAMYCINE ni Balozi wake wa Kujiteua Kilazima kiitwacho Mazungumzo ya Familia cha Radio One Daktari Bingwa wa Saikolojia Dk. Charity Xavier ametoa SIRI ya Kisaikolojia ya Usaliti wa Mwanamke. "Mwanamke yoyote Akimsaliti ana Mpenzi...
  15. Dasizo

    JamiiForums Tanzania Hii imekaaje kuna usawa hapo?

    Mwanaume akitembea na condom kwenye wallet anajikinga, mwanamke akitembea Nazo mnamuita Malaya kwanini?
  16. Infinite_Kiumeni

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Zingatia Sheria Hizi Wakati Unamtongoza Mwanamke.

    Kutongoza ni mchakato. Sio kitendo cha siku moja au saa moja, bali ni kipengele kwenye maisha yako. Huwezi kukikwepa. Labda kama huna mpango na wanawake. Kutongoza kunachukua muda. Kutongoza hakuishi. Kumtongoza mwanamke ni sehemu ya maisha yako. Kwenye muda wa huo mchakato, fuata haya. ...
  17. Infinite_Kiumeni

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanza Ijue Maana Halisi Ya Kutongoza, Ili Usipate Shida Kujiuliza Unamtongozaje Mwanamke

    Kutongoza sio kusifia tu au kujionesha kiasi gani unaweza kumtunza mwanamke. Wengi huanza kuonesha kumjali mwanamke kwa pesa. Ubaya wake ni kwamba unamfundisha mwanamke ajali pesa yako tu. Na wanawake wengi skuizi wamezoeshwa hivi. Wanawafundusha wanawake uchunaji. Wengine wanakesha mtandaoni...
  18. DR HAYA LAND

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke ambaye hujawahi kumuona akituma picha, mwambie atume ambayo haija-editiwa usije kujuta baadaye

    Wanawake hasa hawa weusi hawajiamini wanatumia filter ili kuibia watu na kuwaachia majuto makubwa. Hii imetokea jana, rafiki yangu kayakanyaga baada ya kumkimbia Mwanamke wake wa mtandaoni waliyekutana Facebook, hii imesababishwa na kakutana na sampuli mbili tofauti. Hawa Wanawake weusi...
  19. Infinite_Kiumeni

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukiogopa kuweka mipaka hutokuwa na mvuto kwa mwanamke unayemtaka

    Usipoweka mipaka mwanamke wako hatokuheshimu. Na mwanamke asipokuheshimu hawezi kukupenda. Wengi wapo kwenye mahusiano yasiyo na mapenzi. Sababu mwanaume hana mipaka. Ukiwa na mipaka mwanamke anakuona we una thamani zako. Sio wa kuendeshwa na mwanamke. Kama ukiweka mipaka na mwanamke wako...
  20. Engager

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kunawakati mwanamke aweza kuamka amenuna tuu.

    Jana usiku wakati mnaenda kulala mlikuwa fresh tu. Mmelala ila hukumpelekea moto, asubuhi anaamka amenuna. Anaamka anafanya kazi zake za asubuhi hakusemeshi. Kama mna watoto, yaani ni full kufokewa utafikiri hakuwazaa yeye. Unajaribu kuscan umefanya kosa gani over a night unajikuta mbona hamna...
Back
Top Bottom