mwanamke

  1. Baba jayaron

    Ni kweli kuto kusex miaka mitano kunarudisha bikra kwa mwanamke aliyezaa?

    Wasalaam madaktari na wahenga... Ninaandika uzi huu nikiwa na maswali mengi yakinichanganya akili. Nina mchumba wangu ni single mother pia amenizidi hadi umri. Kwanza ameokoka na katika uchumba wetu, aligoma tusifanye mapenzi kabla ya ndoa otherwise hatutafikia hatua ya malengo yetu, nilitika...
  2. mrKey Milly

    Furaha ya mwanamke ndani ya nyumba inaleta Amani

  3. Technophilic Pool

    Mwanamke wangu anapenda mapenzi kila dakika na ni mke tutatoboa kweli?

    Tangu nizaliwe sijaona mwanamke anaupwiru kama huyu. Yaani ukitua kitandani tu mikono mwilini anataka show. Ukipiga show ya kawaida. utakuta bado anakupapasa hapo ujue ushavurunda. Ukimpiga show babu kubwa aisee analala huko hana hata hamu analala kama amekufa. Sasa changamoto anataka kila...
  4. D

    Wazoefu naomba mnisaidie, nataka kuoa mwanamke wa kingoni, nini sifa zao kuanzia chumbani Hadi sebuleni?

    Swali langu linajitosheleza wana jf mnisaidie niingie Chaka ndugu zangu. Nampenda kweli lakini bado hatuja "du". Niepuke nini?
  5. Swahili AI

    Tofauti ya kuchepuka iliyopo kati ya mwanaume na mwanamke

    Mwanaume akichepuka ni sawa na mtu kunawa mikono kwenye mabakuli tofauti tofauti. Mwanamkenakichepuka ni sawa na watu kunawa mikono kwenye bakuli moja. Umeiona tofauti hapo? https://www.instagram.com/reel/C4hmiefouBo/?igsh=MzRlODBiNWFlZA==
  6. Mkalukungone Mwamba

    Wadau hivi kati ya Mwanamke anayeomba pesa mara tu baada ya kukubali kuwa na mahusiano na mwanaume na mwanaume anayeomba sex mara tu baada ya kukubali

    Wadau hivi kati ya Mwanamke anayeomba pesa mara tu baada ya kukubali kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanaume na mwanaume anayeomba sex mara tu baada ya kuingia kwenye mahusiano na mwanamke yupi muongo au tapeli wa mapenzi kwa mwezie
  7. Samia atosha tukutane2030

    Ni mfumo wa mpinga kristo ndio leo hii umempa mwanamke mamlaka ya kumshika na kumkaripia mume wake akichepuka

    Kwa kasi hii ya Dunia I hope 50 yrs later wanaume ndio watakuwa wanachumbiwa na kuolewa na wanawake. Ile mamlaka ya Kiungu na kiuongozi ndani ya mwanaume inapotea taratibu. Inafika wakati sms tu ya kawaida ambayo haina ushahidi wa 100% kuwa mume wake anaishi kimapenzi na mwanamke mwingine...
  8. Raia mpya

    Maneno gani huyaamini kutoka kwa mwanamke?

    Brothers niaje kaka zangu leo ngoja niwape ka challenge, ni maneno gani ukiambiwa na mwanamke unahisi ni uongo? Kwa mfano mi demu aisee akinambia eti "upo peke yako" yaani hapo ndo nazidi kupata mashaka nahisi nasaidiwa😀😀 Au akinambia nakupenda ndiyo siaminigi kabisaa naona kama anataka...
  9. Mgosi Mbena

    Mwanamke unavumilia siku ngapi kama hupewi tendo la ndoa kabla hujaamua kwenda kwenu?

    Wakuu, nimeoa siyo kwa ndoa au harusi. Jana nimerudi na mke, kwangu geto hapa Dar cha ajabu nimeshindwa kupiga show. Yaani, juzi usiku mzima tumelala nimeshindwa kupiga show. Jana nayo tena mambo yamegoma sijui nini. Sina nguvu za kiume. Huyu manzi nilimla kama mara mbili kuna siku show mpaka...
  10. S

    Bilionea Nwoko: Nimi siwezi kumuoa mwanamke ambaye sio bikra

    Bilionea Ned Nwoko kutoka nchini Nigeria amesema huwa hafungi ndoa na Mwanamke ambaye sio bikra. Bilionea huyo hadi sasa ana wake 6 anaishi nao wote hadi sasa. Maneno hayo alitamka kwenye interview Mpya na kuweka wazi kuwa yeye akitaka kuoa ni lazima mwanamke husika awe bikra bila hivyo Haoi...
  11. Kipenzi Changu

    Ni ngumu sana kupata mwanamke full package

    Nilikuwa najipa moyo kwamba unaweza kupata mwanamke mwenye sifa angalau 80% ya vile vigezo muhimu vya kuwa mke bora. Nikasema kama wapo wanawake wazuri wa sura zenye mvuto, lakini kwa nini usipate mwenye mvuto akawa pia na tabia nzuri, mnyenyekevu, mtiifu, mwenye bidii nk? Nikaona ngoja niingie...
  12. B

    Hivi Mwanamke akiwa Mzuri ndio Tiketi ya Kuwa Mdangaji?

    Wakuu hii imekaaje, yaani Mwanamke akishakuwa mzuri tu basi unakuta ni Mdangaji? Hivi hawawazi kuhusu future zao? Au wana guarantee? Yaani ukikuta mzuri basi ana wanaume zaidi ya 50, anauza Baa, unamkuta kwenye madanguro au anajiuza. Hii inanishangaza ni uzuri wao unawashawishi au Upstairs...
  13. George Charles007

    Nani ni sababu ya migogoro kati ya mwanamke na mwanaume?

    Nani ni sababu ya migogoro kati ya mwanamke na mwanaume? Je, yawezekana kuishi katika mahusiano bila kupishana kabisa?
  14. Brain Kingdom

    Ujumbe wa kunyanduana ukiandaliwa na mwanamke una mvuto na vibes zaidi na kukonga nyoyo kuliko kumbe zetu sisi mabaharia

    Amani ya Mungu iwe nanyi. Ebana kuna kamanzi/kadada kammoja kameibuka huku mitandaoni anaelekeza namna ya kunyandua ndizi na apple ni mkali balaa, ana vionio kama vyote wenye video ya visa mafunzo vya ndizi na apple atupashe madesa, simbi na vizenga tafadhari. Ni hayo kwa uchache tu...
  15. sanalii

    Mwanaume akisalitiwa anaacha, mwanamke akisalitiwa analipiza, hakuna anayesamehe

    Kuna wanaume wanahisi wanawake hawaumii sana kama wao kuhusu suala la usaliti, ukweli ni kuwa: Siku mkeo anakukamata na usaliti hiyo ndo siku umemtafutia mchepuko. Mke wangu akijafanya ujinga afanye kwa kuamua ila suala la kuchepuka siwezi fanya hivyo, Baki njia kuu mchepuko sio deal
  16. P

    Huyu mwanamke ana sonona. Msaada wakuu

    Anawatoto watano sasa. Mume wake aliondoka miaka 5 iliyopita, akaacha watoto watano: wamwisho (miezi 9), wakati huo mtoto wa pili (3) kutoka mwisho anaumwa (Athma). Mwanaume akaondoka kachukua mke wa watu kijiji jirani wakaenda Katavi. Hakuwasiliana na familia yake muda wote akiwa Katavi...
  17. Optimists

    Nashindwa kumsamehe huyu mpenzi wangu

    Wakuu naomba mnipe msaada wa mawazo maana tunatofautiana experience humu ndani. Nilikua na mpenzi tuliyedumu naye miaka mingi kidogo kama miaka mitano kama wapenzi, nilimfahamu nilipokua form five mpaka namaliza chuo tulikua pamoja, baada ya kumaliza chuo nilimpa huyu binti mimba, alinipa...
  18. THE FIRST BORN

    Hivi ingekuwaje kama wanawake ndio wangekuwa wanatongoza wanaume?

    Jamii yetu inaamini kuwa Mwanaume ndiye mtongozaji na Mwanamke ndie kiumbe anastahili kutongozwa, si vinginevyo, na hii ni universal accepted, hayo ya mwanamke kuanza kusema ni ya sasa hivi kizazi cha AI. Ila hata Biblia utaona mtu wa kwanza kuumbwa alikua mwanaume so it means alieanza kuhisi...
  19. Cecil J

    Nikikutana na mwanamke anayehubiri 50/50 naona nijichepushe mapema

    ...
  20. technically

    Hivi unaanzaje kuoa mwanamke aliyezaa?

    Mwanaume timamu hata kama una watoto 5 nje ya ndoa unaanzaje kuoa mwanamke mwenye mtoto? Kwamba mwanamke aliyezaa hata ukilala naye siku moja unashindwa kujua kwamba kazaa? Unadanganywa kwamba sijazaa unakubali? Mwanaume usikubali kuanza maisha na mwanamke mwenye mtoto Labda kama unapasha tu...
Back
Top Bottom