mwanamke

  1. Mabaharia karibuni mtoe na nyinyi sifa zenu za marriage application

    *Mzuri wa sura sio unakuwa na demu sura kama ngiri. *Mweupe au rangi ya chocolate au maji ya kunde na sio mweusi. *Shepu lazima awe na msambwanda medium size,Sio shape kama Sanchoka maana ile ni kero. *Awe mrefu kiasi sivutiwi kabisa na short chassis. *Miguu isiwe na gaga,vidole vya miguu...
  2. Mwanamke wa shoka

  3. M

    Mwanamke ni kiumbe asiyeishiwa maajabu

    Ukikaa ukatafakari matukio uliyokwisha kutana nayo kwa wanawake utaungana na mimi. Hawa watu wanamaajabu mengi na siku zote hawaishiwi maajabu Kuna jambo moja kwangu nataka leo mnisaidie kunifafanulia Haya mambo hutokea hasa sehemu za makazini, mtaani na hata chuoni. Wadada wanaonyesha kuwa...
  4. J

    Mwanamke jua unachohitaji mapema

    Leo naomba nizungumze na wanawake. Nyie wanawake baadhi yenu ni wa.pu.uzi sana. Umri ukienda ndio mnajua mnachohitaji yaani mwanaume serious mtu mzima tena mnatambua hilo baada ya kuchezewa sana sana na masharobaro na mabraza meni. Mnapokuwa katika umri mzuri na mna mvuto mnakuwaga na nyodo...
  5. Ni kwanini wiki 1 au 2 kabla ya Kilele cha Sikukuu ukitongoza Mwanamke ni ngumu kukataliwa?

    Kwani hizi Sikukuu Kubwa Kubwa hasa za Kiimani huwa sina Siri gani Kubwa na iliyojificha na Wanawake kiasi kwamba Ukitongoza tu Wiki Mbili au Moja kabla ya Kilele cha Sikukuu za Idi, Pasaka na Krismasi uwezekano wa Wewe Kukataliwa ( Kutoswa ) naye ni 0%? Wajuzi wa hili hebu njooni mtupe Elimu...
  6. Kwanini ni nadra sana kusikia Mwanamke kajiua kwa ajili ya mapenzi kuliko Mwanaume?

    Au labda Mwenyezi Mungu alivyowaumba Wanawake hakuwawekea ile roho dhaifu ya kutaka Kujitoa Uhai ( Kujiua ) kama ambayo inaonekana kwa Wanaume hiyo Roho si tu kwamba aliiweka bali aliigundisha kabisa na Super Glue kama si Gesi au Shaba ili isitoke milele? Wanawake wote mliopo hapa JamiiForums...
  7. Mwanamke akinikataa namchukia automatically

    Habari wanajukwaa kongwe kabisa la JF, ingawa bado tunachangamoto ya kirusi hiki hatari kabisa cha COVID-19 lakini tuendeleee kunawa mikono mara kwa mara. Ni muda wa mwaka na nusu sasa mimi kama expert member wa JF sijaweza kupost Uzi hasa katika jukwaa hili. Naenda straight to the point, mimi...
  8. Nisipomuona mwanamke yeyote duniani kwa siku nitakufa siku hiyo hiyo

    Nimeshajipima na kujitambua siwezi kuishi kabisa bila kumuona mwanamke duniani ! Ikitokea hivyo nitakufa instantly hakika. Women hasa ambao sio bloodline hakika wananiumiza mno.Nakiri udhaifu wangu kwao. Kifupi naumwa bila ladies.!!!
  9. Je, ni kweli kwamba ukiona Ndugu wengi wa Mke (Mwanamke) wanafululiza kuja Nyumbani Kwako ni dalili ya kwamba Umeshakamatika Kindumba?

    Kuna nyumba mbili napakana nazo huu ni Mwaka wa Tatu sasa naona tu ndugu wa upande wa Mwanamke (Mke) wakifululiza kuja na hata wakija huwa wanakaa hadi waamue wao kuondoka ila Ndugu wa Mwanaume (Mume) wakija huwa hawakai hata siku tatu na wakati mwingine utakuta Mwanaume ndiyo anawaambia...
  10. Kipi bora kuoa mwanamke mwenye mtoto au Mwanamke alotoa mimba?

    Nauliza kipi bora hasa Unakuta mwanamke mwenye mtoto watu wanamkimbia bila kujua faida zake Ni Bora ambaye Ana mtoto maana kuna muda anakupa matumain kuwa hujaoa mgumba au akizaa watoto awafi Unamkuta dada mdogo, hajawahi kuzaa, hajaolewa, lakini anatumia uzazi wa mpango. Hapo hapo kashatoa...
  11. Wanaume tunapokutana na wanawake kuna ambao wanavutia kwa ndoa na kuna ambao wanavutia kwa ngono tu

    Wengi hushangaa kwa nini kajikuta kaoa mwanamke mwenye heshima na adabu msomi lakini sio mzuri,hana umbile ambalo alitamani hapo mwanzo awe nalo mwanamke atakaemuoa. Wanaume wengi utawakuta wameoa wanawake ambao wako nje na malengo yao ya zamani na maisha bado yanakwenda. Wakati mwingine huwa...
  12. Binti aliyenipagawisha

    Closed
  13. Tatizo sio mwanamke kupenda pesa, tatizo ni kukuomba hela huku huna hizo hela.

    Oh! Mara yule mwanamke anapenda sana Pesa, mara anatamaa sana. Mara anazingua nampiga chini! Tatizo sio kukuomba fedha, tatizo ni kwamba anakuomba fedha huku wewe huna? Nje ya mada : Dada poa mmoja Alisikika akisema " tarehe za mshahara biashara inakuwa nzuri sana.
  14. A

    Ukweli siku zote unauma

    Jamani kuna kitu kimenitatiza lakini baada ya kumuuliza muhusia akawa mkali wala hakunipa jibu la kueleweka man alianza kuja juu kujifanya mtakatifu,issue yenyewe n kama ifutavyo; Kuna mdada tunafanya nae kazi office moja anajifanya mlokoe kunizidi hadi mimi, yeye kila siku jumapili na siku za...
  15. Unaweza kumuoa mwanamke anayefanya kazi bar akatulia?

    Mwanamke akifanya kazi bar anaweza kuwa mwaminifu? Unaweza kumuoa akawa mke mwema? Vipi kuhusu yafuatayo 1.Kuendelea na tabia ya kuona kwamba ni jambo la kawaida kutoa penzi akapewa hela? 2.Kuwachukulia watu wote bila staha na akawaona kama wale walevi wa bar alokuwa anawahudumia? 3.Ulevi je?
  16. Utafiti: Ukitaka mwanamke asikuangalie sana fanya haya...

    Wanawake ni viumbe vinavyopenda Sana kuchunguza Mambo madogomadogo ya watu ikiwemo muonekano. Mwanamke akikuangalia Sana jua anakuthaminisha kihivi... Rangi Urefu Umbile Kipato Nini unamzidi Kipi anakuzidi Anakudefine pia who u might be Sasa tafiti zinaonyesha kwamba mwanamke akikuangalia...
  17. C

    Natafuta Mwanamke wa kuoa ambaye ana hizi sifa

    1. si mpenda pesa 2. si mwenye dharau 3. si mwana wa shetani 4. si muongo na mbabaishaji 5. si malaya / muhuni 6. si mwizi na mchawi 7. si mpumbavu na mnafiki wasifu wangu kiufupi majina: cellulaire mjukuu chirama dini: mkristo wa dhehebu la katoliki kabila: myao kutoka mkoani lindi umri...
  18. Kumridhisha Mwanamke inategemeana na nini?

    Wadau hivi kuna uhusiano wowote kati ya size ya uume na kumfikisha mwanamke kileleni? Mwenye uzoefu tafadhari sana.
  19. Sifa 10 za mwanamke bora wa kuoa

    Mwanamke ni utukufu wa mwanaume kwa sababu ametoka kwenye ubavu wake. Mwanamke bora ni huyu hapa: 1. Mwenye heshima kwa wadogo mpaka wakubwa. (USAFI WA MWILI, MATENDO & MDOMO) -Sio anatukana tu ovyo ovyo halafu we unaenda kuoa, atakuja kutukana wazazi wako...
  20. Mwanamke njoo usimulie ulivyompata mme wako wa ndoa!!

    Wanawake hupata wanaume wa kuwaoa kwa njia mbalimbali kama vile: 1.ulimpa tunda kimasihara baadae akawa mmeo 2.ulienda kuombewa kwa mchungaji 3.ulitafta mtandaon 4.alikuwa mwalimu wako darasan 5.alikuwa mpangaji mwenzio 6.alikuchumbia Wanawake karibun mtaje njia mlizotumia kuwapata wanaume...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…